Usijisahau sana mkuu, kunasheria humu inaitwa "name calling"Huyo mtu huwezi kumuona wiki nzima humu yupo kwenye majonzi ya mimba feki, wao wanaugulia zaidi ya huyo boss wao aliyefeki mimba ukimtaka kwa haraka nenda istagram sachi wemareplies ndo jina analolitumia huko ukamuone anavyolia.
Sijam-quote wala sijam-tag angalia vizuri,ila nimetaja jina lake la insta ambalo haliwahusu watu wa JF.Usijisahau sana mkuu, kunasheria humu inaitwa "name calling"
Atakureport silently, tahamaki ujishtukie uko banned.
Daaah Bongo bwanaInasemekana wema kafumaniwa akila maraha na petitman wakuache, ambae huwa anasema mtoto wake mmmh sasa wema na petit si mama na mwana mbona wanakulana kama kuku
Idris nae amemind nini wakati ye mwenyewe alimkwapua rafiki ake luismunana
Ubuyu ni mwingi hadi nachoka
Nifah warumi My hubby danya @m.s Lincoln Madame B brenda18
View attachment 323042
?Bongo kutiana shombo wanawake wapo nje gharama ni viza tu