Ni kweli Kambarage, Kawawa na Malecela hawakuwa Watanzania?

Ni kweli Kambarage, Kawawa na Malecela hawakuwa Watanzania?

mtaliitz

Member
Joined
Jun 15, 2013
Posts
32
Reaction score
5
Baada ya kupitia historia ya Oscar Kambona, kuna sehemu amekiri kuwa hawa watatu hawakuwa Raia wa Tanzania.Hii ilitokana na Nyerere pia kudai kuwa Kambona hakuwa raia, sasa wanahistoria ukweli uko wapi?

Karibuni.
 
Sasa si kwanza utuambie kwenye hizo tuhuma walikuwa wanatuhumiana kuwa ni watu wa wapi
 
Kama alivyo mwinyi sio mzanzibar na she in pia sio mzanzibar karume sio mzanzibar salmon amour sio mzanzibar kumbe pia sio mzanzibar alive kua mzanzibar ni idrisa Abdul wakil tu
 
Kama alivyo mwinyi sio
mzanzibar na she in pia sio mzanzibar karume sio mzanzibar salmon amour
sio mzanzibar kumbe pia sio mzanzibar alive kua mzanzibar ni idrisa
Abdul wakil tu
hivyo haya madai yana ukweli fulani!
 
Nadhan unazungumzia uraia wao kutokana na asili yao ila baada ya uhuru wote walio ndan ya tanganyika walihesabika watanganyika kwa mfano wangoni hawana asili ya Tanzania ni watu wa afrika ya kusini ila saa hv wangoni waliopo Tanzania ni Watanzania
 
Nadhan unazungumzia uraia wao kutokana na asili yao ila baada ya uhuru wote walio ndan ya tanganyika walihesabika watanganyika kwa mfano wangoni hawana asili ya Tanzania ni watu wa afrika ya kusini ila saa hv wangoni waliopo Tanzania ni Watanzania

Nikweli
 
malecela kuwa mkongo inawezekana kwani le mutuz kwa tabia zake hana tofauti na wakongo waliojazana hapa mjini ,kuvaa macheni,nk
 
Kwa upande wa MALECELA naunga mkono 100% kuwa jamaa yamezekana kweli ni mkongo na LE MUTUZ amerithi tabia ya babu yake PAPA WEMBA.
 
baada ya kupitia historia ya oscar kambona, kuna sehemu amekiri kuwa hawa watatu hawakuwa raia wa tanzania. hii ilitokana na nyerere pia kudai kambona hakuwa raia, sasa wanahistoria ukweli uko wapi? karibuni.

Huu uzushi mwingine sio wa kujadili.
 
baada ya kupitia historia ya oscar kambona, kuna sehemu amekiri kuwa hawa watatu hawakuwa raia wa tanzania. hii ilitokana na nyerere pia kudai kambona hakuwa raia, sasa wanahistoria ukweli uko wapi? karibuni.

Of course hili ni suala la kihistoria, kwani Tanfanyika ya zamani hapo kabla ilikaliwa na wahamiaji wengi tu na hata ukisoma historia ya Kiswahili utakuta lahaja zake zinaanzia Cameroon halaf wazungumzaji wanashuka mpaka Africa ya Mashariki. So kwa kipindi hicho wala utanganyika na utanzania haukuwepo,

yalikuwa ni makoloni tu ya watawala wa kizungu, na kuhama huku kulikuwa ni kuhama kwa koo nzima mfano mzuri ni ile ya Ngoni Migration wao walitokea kwenye Zulu kingdom.

Unaweza kumwita nyerere si mtanzania kwa muktdha huu, ila huwezi kataa ukweli kwamba alizaliwa Butiama..
 
baada ya kupitia historia ya oscar kambona, kuna sehemu amekiri kuwa hawa watatu hawakuwa raia wa tanzania. hii ilitokana na nyerere pia kudai kambona hakuwa raia, sasa wanahistoria ukweli uko wapi? karibuni.

Of course hili ni suala la kihistoria, kwani Tanfanyika ya zamani hapo kabla ilikaliwa na wahamiaji wengi tu na hata ukisoma historia ya Kiswahili utakuta lahaja zake zinaanzia Cameroon halaf wazungumzaji wanashuka mpaka Africa ya Mashariki. So kwa kipindi hicho wala utanganyika na utanzania haukuwepo,

yalikuwa ni makoloni tu ya watawala wa kizungu, na kuhama huku kulikuwa ni kuhama kwa koo nzima mfano mzuri ni ile ya Ngoni Migration wao walitokea kwenye Zulu kingdom.

Unaweza kumwita nyerere si mtanzania kwa muktdha huu, ila huwezi kataa ukweli kwamba zalizaliwa Butiama..
 
tukianza kupekuapekua asili za watu humu unaweza kuta hata mtoa mada sio mtanganyika.tanganyika ni nchi iliyochanganya ustahara wa watu kutoka sehemu mbalimbali.tukianza kunyooshea asili za makabila yetu utakuta hata mkurugenzi wa uhamiaji mkongo au mnyarwanda
 
Sidhan kama vijana ss ambao tunatakiwa kuitunza historia ya nchi hii tunazungumza mambo ambayo hayana ukweli wowote zaid ya propaganda zakupotosha akili zetu.....tubadilike wadau
 
Back
Top Bottom