hiki ndo kile kinachohifadhi mawe unayokula kula ikatokea mawe yamejaa kinauma na ikibidi ni operation kinatolewa kina kazi ndugu
sasa mi najiuliza kwanini hayo mawe yasipitilize moja kwa moja hadi kwenye njia ya haja kubwa badala ya kuingia kwenye appendix? hapa kweli kulikua na makosa ya uwepo wa hicho kidude tumboni
Nimecheka tu ahahaha kulikua na nini eti
kama kingekua na umuhimu, hayo mawe yanayoingia humo kene kidoletumbo ikiwa yanakaribia kujaa bas kidoletumbo kinatakiwa kijifrash ili mawe yatoke na ishu nyingine ziendelee. sasa mawe yanajaa Had kina burst bado sjaona faida ya uwepo wake hicho kidude
LIKE Niku ADD
Nimesikia baadhi ya watu wakisema kuwa Kidoletumbo hakina umuhimu ndani ya mwili wa binadamu zaidi sana ni matatizo tu pale kinapojaa mchanga na mawe, na hata kusababisha kifo kikipasuka ndani ya tumbo.
Je hii ni kweli? Na ina maana Mungu aliyetuumba wakamilifu kakiweka cha nini?