Nimesikia baadhi ya watu wakisema kuwa Kidoletumbo hakina umuhimu ndani ya mwili wa binadamu zaidi sana ni matatizo tu pale kinapojaa mchanga na mawe, na hata kusababisha kifo kikipasuka ndani ya tumbo.
Je hii ni kweli? Na ina maana Mungu aliyetuumba wakamilifu kakiweka cha nini?
Je hii ni kweli? Na ina maana Mungu aliyetuumba wakamilifu kakiweka cha nini?