Ni kweli kikwete kaoa binti wa meghji?

Kwani dini si inamruhusu jamani, mwacheni aoe, shida hapo ni nini?, acheni wivu wa kike!
 
Da mambo haya mazito. Naoma watu majibu hamtoaki kutoa. Tumpe mji muulizaji/mleta mada ili atupe majibu. Mwanza naye kuna mmoja mpya wanaruka wote Casino Mwanza hotel. She is pregnant now!!
 
Hii topic inaleta raha kwa ukweli maana nacheka. You guys have made my day.Kwako mkuu Malaria Sugu naomba nikufahamishe kitu kimoja Roman Catholic yamefichuka mabaya yake vile tu ni kanisa kubwa ulimwenguni linatambulika kila kona ya dunia ni rahisi sana kusikia habari zake lakini unasahau kuna machafu mengi sana yanayofanywa na wenzetu wa dini nyingine sawa na yale yamefanywa na Roman Catholic ni vile hayafahamiki kivile halafu wenye nayo wanaficha maovu hayo. Kwani uchafu wa Roman Catholic ulifichuliwa na nani si Roman Catholic wenyewe kwa vile wanajua haki ya kila mwanadamu sasa ninyi wenzetu mbona hamtoki wazi mkayabwaga yale machafu yenu. Tunafahamu machafu yenu bana acha kutuonyesha kwamba ninyi mpo safi kumbuka sote ni binadamu na tuna udhaifu na mapungufu.
 
kuna tetesi pia yakuwa amemuoa dada yake Rostam Aziz ambae anafanya kazi ubalozi wa Tanzania huko USA hizi nazo zina ukweli gani?
 
kwani padri huyo? Anaweza kuoa wanne. Lkn nyinyi mapadri mnatakiwa msioe lkn manakazania kuoa, wengine mnabaka kabisa.

we unajibu nonesense kama huna jibu kaa kimya u looks idiot
 
Hatumuachi MPAKA KIELEWEKEEEEEEEEEEEEE!!!


ikiwezekana atupe nafasi,ni kweli kamuoa mtoto wa zakia tena yule mwenye asili ya kiarabu na tayari wana mtoto harusi ilifanyika nje ya nchi kisirisri,hizi data nilizipata kutoka kwa bodguard wa karibu wa jk
 
Wana jamvi,

Nijuzeni haya:

1. Rais Kikwete ana wake wangapi halali kwa sasa?
2. Ni kweli kaoa mtoto wa Zakia Meghji
3. Ni kweli vile vile kuwa kaoa mke "mnyalukolo" mtoto wa mmiliki wa kiwanda cha maziwa cha ASAS?

Mada hii niliwahi kuileta hapa jamvini lakini wengi walisema ni umbeya. Kwa taarifa za uhakika ana wawili halali lakini pia ana nyumba ndogo nyingi kila kona ya nchi hii na dunia kwa ujumla.
 
mnh na hao wake zake wana kazi...
pressure kila siku inapanda inashuka..
manake hizi stori za wanawake lukuki zimemkaa JK kama chanda na pete...

conclusion ni kuwa ana mapungufu yake kama rais,
ila kitandani hajashindwa....mnalo hilo!!!!!!LOL:redfaces:
 
Mada hii niliwahi kuileta hapa jamvini lakini wengi walisema ni umbeya. Kwa taarifa za uhakika ana wawili halali lakini pia ana nyumba ndogo nyingi kila kona ya nchi hii na dunia kwa ujumla.


naunga mkono hoja
 
. Mmeeshaanza udini wenu, hamjiamini na dini zenu tatizo .uovu uko dini zote, hakuna cha ukristo wala uislamu,kama mnaakumbuka kwenye Uislamu kulikua na Shekhe Kassim, huyo asione mtoto wa kiume tuu ni umekwisha.Vile vile kwenye ukristo tumeona hizi kashfa za juzi juzi.

Mimi binafsi nusu niwe a victim na hawa watawa wa Catholics , nilipo kua mdogo hapo St Peter ,Oysterbay,kulikua na mwalimu mmoja, huyo mwalimu inasemekana alikua basha, nakumbuka siku tuna fanyiwa mtihani wa komunio ya kwanza , aliniita kwenye chumba, halafu akaniuliza nini maana ya KUZINI, mini nilikua najua maana yake ila nikamwambia sijui, yeye akani bembeleza niseme kwa kuniambia nisiogope kusema kwani ni kitu cha kawaida ,mimi nikamwmabia sijui,bahati nzuri akaniachia.

Baada ya hapo ndio nikasikia kua ni basha na wapo watoto wengi tuu walio kuwa abused na mwalimu huyo, mmoja wapo aliniambia yeye mwenywe kua aliitwa chumbani na kuambiwa wewe mtoto umekua umesha balehe ujiepushe na wasichana , akaambiwa avue nguo amuoneyshe uume wake wausalie na wakausalia, sasa sijui kama nini kiliendelea zaidi ya hapo.

Suala la ngono kwa hawa watu wa dini ni kila dhehebu ,kila dini lipo na wengi wanajificha kw amgongo wa dini kuficha uhomesexual wao.
 
Wana jamvi,

Nijuzeni haya:

1. Rais Kikwete ana wake wangapi halali kwa sasa?
2. Ni kweli kaoa mtoto wa Zakia Meghji
3. Ni kweli vile vile kuwa kaoa mke "mnyalukolo" mtoto wa mmiliki wa kiwanda cha maziwa cha ASAS?

Wewe acha maswali ya udaku huu ni wakati kufikiria maendelea sio nani kamuua nani, mawazo ya kichangu doa hayo.
 
Inabidi apate P.h.D nyingine ya tatu ya kuchakachua wanawake..anaonekana legelege lakini inaelekea ana spidi kunako 6 x 6 lol! kama Zuu maa
 
Kwani kuna ubaya gani, kikwete kuoa.kwa kuwa anaapa kwa kubebe Msaafu,naamini anauwezo wote ,Ana ruhusa ya Wake 4.

tatizo siyo kuoa, bali usiri unaotawala na vyeo anavyotoa watu wanadhani anawapa kama fadhila, awe muwazi tu kwani anaruhusiwa
 
watoto wa zakhia wa kike ni wawili jamila na salama na wote wameshaolewa harusi zao zilifanyikia golden tulip labda awe kaoa mtoto wa ndugu na jamaa

Superfisadi,
Harusi ya Salama Meghji ilikuwa Ubungo Plaza.
Harusi ya Jamilla Meghji ilikuwa Golden Tulip.
Acha kuchakachua.

Au mmefananisha jina la Salama Kikwete na Salama Meghji?
 
MMMMMMHH, HII SASA NI HATARI, JAMIIFORUMS HAISTAHILI KUWA NA UDINI, HILI NI JUKWAA LA HAKI USAWA NA CHANGAMOTO, MODS NAWAOMBA MUWE NA UTARATIBU WA KU WA-BAN WATU WOTE WANAOPOST STATUS ZENYE CHUKI ZA KIKABILA, DINI AU RANGI, ANZENI NA M.S. :ban:
 
MMMMMMHH, HII SASA NI HATARI, JAMIIFORUMS HAISTAHILI KUWA NA UDINI, HILI NI JUKWAA LA HAKI USAWA NA CHANGAMOTO, MODS NAWAOMBA MUWE NA UTARATIBU WA KU WA-BAN WATU WOTE WANAOPOST STATUS ZENYE CHUKI ZA KIKABILA, DINI AU RANGI, ANZENI NA M.S. :ban:

Nakubaliana na wewe. Wakati mwingine, nachelea kusema kwamba kuna baadhi ya watu wanafanya hivyo kwa makusudi ya kuwachepusha watu kutoka kwenye mada husika. Nafikiri kuna watu waliopangwa, (..labda na system, MS akidhaniwa) kuwachepusha watu kutoka kwenye mada halisi.
 
Mada hii niliwahi kuileta hapa jamvini lakini wengi walisema ni umbeya. Kwa taarifa za uhakika ana wawili halali lakini pia ana nyumba ndogo nyingi kila kona ya nchi hii na dunia kwa ujumla.

na akiwa na salma (wa magogoni) hao walio kila kona ya nchi na dunia wana kazi ya kumsubiri tu?
kwanza, nampongeza ana u-lijali wa kutisha - very deadly
pili, the big question ikiwa kuna wasanii huko ndani, wanamuziki, pilots, wanasiasa of many different ages, na hii ni kuwa mzee anacheza ktk danger zones kila wakati. Is he, himself secure???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…