Ni kweli kiwango cha kukosa ajira nchini ni 7.8% kama takwimu za NBS zinavyosema?

Ni kweli kiwango cha kukosa ajira nchini ni 7.8% kama takwimu za NBS zinavyosema?

Leo nimetembelea tovuti ya NBS, katika pititia pitia nimeona kiwango cha ukosefu wa ajira nchini kipo asilimia 7.8, takwimu ambazo zilikusanywa kutoka kwenye sensa ya watu na makazi. Chapisho husika limetolewa Feb, 2024.

Nauliza hizi asilimia za NBS zinaakisi uhalisia uliopo kwa ground? Kwamba katika kila watanzania 100 wenye uwezo wa kufanya kazi, ni 7 pekee hawana hizo kazi! Zile ratio kubwa za wanaoenda kwenye interview kulinganisha nafasi zinazotangazwa, wale watu huwa wanatoka wapi?

ajira nyingi, za wazi na za kutosha ziko kwenye kilimo, biashara, ufugaji, uvuvi, usafirishaji, ujenzi n.k.

Tz kuna changamoto kidogo tu kwa wasaka ajira kwenye soko la ajira kimataifa 🐒
 
Ni sawa na kusema division 4 ni kufauru wakat uyo wa division4 serikal haimchagui popote zaid ya kua mzgo kwa wazazi
 
Leo nimetembelea tovuti ya NBS, katika pititia pitia nimeona kiwango cha ukosefu wa ajira nchini kipo asilimia 7.8, takwimu ambazo zilikusanywa kutoka kwenye sensa ya watu na makazi. Chapisho husika limetolewa Feb, 2024.

Nauliza hizi asilimia za NBS zinaakisi uhalisia uliopo kwa ground? Kwamba katika kila watanzania 100 wenye uwezo wa kufanya kazi, ni 7 pekee hawana hizo kazi! Zile ratio kubwa za wanaoenda kwenye interview kulinganisha nafasi zinazotangazwa, wale watu huwa wanatoka wapi?

NBC ni waongo na watu wa ovyo hapa Duniani
 
Leo nimetembelea tovuti ya NBS, katika pititia pitia nimeona kiwango cha ukosefu wa ajira nchini kipo asilimia 7.8, takwimu ambazo zilikusanywa kutoka kwenye sensa ya watu na makazi. Chapisho husika limetolewa Feb, 2024.

Nauliza hizi asilimia za NBS zinaakisi uhalisia uliopo kwa ground? Kwamba katika kila watanzania 100 wenye uwezo wa kufanya kazi, ni 7 pekee hawana hizo kazi! Zile ratio kubwa za wanaoenda kwenye interview kulinganisha nafasi zinazotangazwa, wale watu huwa wanatoka wapi?

Yule mama mtakwimu ni mpishi mzuri wa kuzipika tangu enzi ya Magu akionyesha mfumuko wa bei kushuka Kila mwezi na uchumi kukua Kila mwaka.
 
ajira nyingi, za wazi na za kutosha ziko kwenye kilimo, biashara, ufugaji, uvuvi, usafirishaji, ujenzi n.k.

Tz kuna changamoto kidogo tu kwa wasaka ajira kwenye soko la ajira kimataifa 🐒
Sidhani kama za wazi, watu wengi wamefanya mapambano katika maeneo tajwa na wameangukia pua..

Wapo watu kijijini wamekulia kwenye sekta ya kilimo na wanaijua hasa lakini imeshindwa kuwasogeza popote..
 
Back
Top Bottom