Ni kweli kuna malaika anaitwa Israili ambaye ndiyo mtoa roho?

Ni kweli kuna malaika anaitwa Israili ambaye ndiyo mtoa roho?

Tangu nakua mpaka leo nimezeeka, nimekuwa nikisikia watu wakisema kuwa "malaika mtoa roho anaitwa Israili".

Sina hakika kama huyo Israili jina lake linatokana na jina Israel au lah.

Kwa watu wajuzi wa mambo ya kiroho naomba mnisadie kujua kama kweli malaika mtoa roho anaitwa Israili.
Hakuna ni izraili
 
Wikipedia anaenda kuandika mtu yeyote kwahyo wewe unaamini malaika wa mauti ndo huyo hapo kwenye picha, ushawahi kumshuhudia mtu akiwa anakufa? umewahi kuona sura inavyokuwa?.
Sio kuandika tu, na hiyo Wikipedia ni moja supporting evidence zipo nyingi hata kwenye Biblia, malaika wa kifo ni Azarel
Malaika wa Nuru ni Jegudel
Malaika wa Ulinzi ni Mikael
Malaika wa Habari njema ni Gabriel
Na wengine wengi
 
Kwani hapo mwanzo hapasomeki mkuu? nimesema anaitwa malaika wa mauti hilo ndo jina lake, israeli ni jina la nabii yaaquub baba wa wana wa israeli na israeli ndo yeye mwenyewe, na maana ya israeli ni mja wa allah yaani abdullah kwa lugha ya kihebrania, sasa iweje malaika wa mauti avalishwe hilo jina lisilomuhusu.
Azrael ndio jina lake
 
Tangu nakua mpaka leo nimezeeka, nimekuwa nikisikia watu wakisema kuwa "malaika mtoa roho anaitwa Israili".

Sina hakika kama huyo Israili jina lake linatokana na jina Israel au lah.

Kwa watu wajuzi wa mambo ya kiroho naomba mnisadie kujua kama kweli malaika mtoa roho anaitwa Israili.
Kwahiyo ndiyo anawatoa roho pia ng'ombe,kuku,bata,samaki,simba,twiga,miti,nyoka,nk?usiishi kwa kukariri aisee jiongeze kichwani na akilini mwako
 
Kwahiyo ndiyo anawatoa roho pia ng'ombe,kuku,bata,samaki,simba,twiga,miti,nyoka,nk?usiishi kwa kukariri aisee jiongeze kichwani na akilini mwako
Yaani watu wengine uelewa ni shida Sana.

Hilo bandiko na ulichoandika vina mahusiano!??
 
Sio kuandika tu, na hiyo Wikipedia ni moja supporting evidence zipo nyingi hata kwenye Biblia, malaika wa kifo ni Azarel
Malaika wa Nuru ni Jegudel
Malaika wa Ulinzi ni Mikael
Malaika wa Habari njema ni Gabriel
Na wengine wengi
Mbona hakunaga Malaika mwenye jina la kibantu?
 
Back
Top Bottom