kinda la baba
Senior Member
- Jun 13, 2024
- 117
- 125
Hakuna ni izrailiTangu nakua mpaka leo nimezeeka, nimekuwa nikisikia watu wakisema kuwa "malaika mtoa roho anaitwa Israili".
Sina hakika kama huyo Israili jina lake linatokana na jina Israel au lah.
Kwa watu wajuzi wa mambo ya kiroho naomba mnisadie kujua kama kweli malaika mtoa roho anaitwa Israili.
Sio kuandika tu, na hiyo Wikipedia ni moja supporting evidence zipo nyingi hata kwenye Biblia, malaika wa kifo ni AzarelWikipedia anaenda kuandika mtu yeyote kwahyo wewe unaamini malaika wa mauti ndo huyo hapo kwenye picha, ushawahi kumshuhudia mtu akiwa anakufa? umewahi kuona sura inavyokuwa?.
Azrael ndio jina lakeKwani hapo mwanzo hapasomeki mkuu? nimesema anaitwa malaika wa mauti hilo ndo jina lake, israeli ni jina la nabii yaaquub baba wa wana wa israeli na israeli ndo yeye mwenyewe, na maana ya israeli ni mja wa allah yaani abdullah kwa lugha ya kihebrania, sasa iweje malaika wa mauti avalishwe hilo jina lisilomuhusu.
Kwahiyo ndiyo anawatoa roho pia ng'ombe,kuku,bata,samaki,simba,twiga,miti,nyoka,nk?usiishi kwa kukariri aisee jiongeze kichwani na akilini mwakoTangu nakua mpaka leo nimezeeka, nimekuwa nikisikia watu wakisema kuwa "malaika mtoa roho anaitwa Israili".
Sina hakika kama huyo Israili jina lake linatokana na jina Israel au lah.
Kwa watu wajuzi wa mambo ya kiroho naomba mnisadie kujua kama kweli malaika mtoa roho anaitwa Israili.
Yaani watu wengine uelewa ni shida Sana.Kwahiyo ndiyo anawatoa roho pia ng'ombe,kuku,bata,samaki,simba,twiga,miti,nyoka,nk?usiishi kwa kukariri aisee jiongeze kichwani na akilini mwako
Tupe andiko tulisome...Sio kuandika tu, na hiyo Wikipedia ni moja supporting evidence zipo nyingi hata kwenye Biblia...
Mbona hakunaga Malaika mwenye jina la kibantu?Sio kuandika tu, na hiyo Wikipedia ni moja supporting evidence zipo nyingi hata kwenye Biblia, malaika wa kifo ni Azarel
Malaika wa Nuru ni Jegudel
Malaika wa Ulinzi ni Mikael
Malaika wa Habari njema ni Gabriel
Na wengine wengi