Ni kweli kuwa watu wote walioko kwenye ndoa au waliooana wanapendana?

Ni kweli kuwa watu wote walioko kwenye ndoa au waliooana wanapendana?

Kama hujafunga ndoa...angalia machungu mwenzio anayokupa kabla hamjaoana...tafakari uyawaze..jiulize mkishaoana utaweza kuyavumilia?

Ikiwa unaona utaweza kuyavumilia (tamaa ya pesa/mali, lugha mbaya, ulevi, uongo, kutokuwa mwaminifu, uchafu, uvivu, kutokuwa na huruma, kutokuwa na kauli nzuri/tamu, kutokusema samahani, kutokujua kubembeleza, ubinafsi, uchoyo) BASI KAFUNGENI NDOA na hii ni kwa wote wanawake kwa wanaume.
 
....nice one WoS, ...unajua mimi ningeulizaje?

MAISHA YANGEKUWA YANA ''AJUA'' , UNGEMUOA MKE ULIYENAYE SASA/ UNGEKUBALI KUOLEWA NA MUME ULIYENAYE SASA?

Tena ningeweka na kura, Jibu la NDIO au HAPANA.

....nadhani kura zitafungana.

AM
 
....nice one WoS, ...unajua mimi ningeulizaje?



Tena ningeweka na kura, Jibu la NDIO au HAPANA.

....nadhani kura zitafungana.

AM

Mkuu Mbu binadamu tunapokuwa kwenye mapenzi mara nyingi huwa ni raha tupu. Binadamu tunazijua kasoro zretu ambazo wapenzi wanaweza kuzikubali na nyingine ambazo hawatakuwa tayari kuzikubali hivyo kipindi hicho cha mapenzi moto moto ni nadra sana kuzijua kasoro za umpendaye. Sasa unapoamua kuolewa naye au kumuoa basi ndiyo sasa anaanza kuonyesha makucha yake na kama nilivyosema kuna kasoro nyingine zinavumilika kabisa maana hakuna binadamu ambaye yuko perfect. Kwangu binafsi sipendi uongo, uchafu, wizi, uhuni, ulevi, dharau, kutokubali makosa na kusema samahani , kutojua kupika, uvivu wa kupita kiasi. Hizi kwa kweli si rahisi kuvumilika kabisa ukiuingia mkenge kama huu ni bora kujinasua haraka sana kabla ya kukumbana na matatizo utakayoyajutia kwa miaka mingi baadaye.
 
Si kweli WOS wengine waliingia kwenye ndoa kwa sababu ya fashions na wao waonekane wanandoa :A S-rose:
Wengine waliingia kwenye ndoa kwa kujilazimisha
Wengine walibeba mimba ikawalazimu kuingia kwenye ndoa
Wengine wamefata pesa au mali ndani ya ndoa
Wengine wanajiegesha jua litulie kisha waendelee na safari
Wengine wapo kwa ajili ya heshima ya wazazi.
wengine ni kweli wanapendana..:A S-rose:
NK. Nk.
 
....nice one WoS, ...unajua mimi ningeulizaje?



Tena ningeweka na kura, Jibu la NDIO au HAPANA.

....nadhani kura zitafungana.

AM

Itabidi tuwe na poll on this at some point....
 
Si kweli WOS wengine waliingia kwenye ndoa kwa sababu ya fashions na wao waonekane wanandoa :A S-rose:
Wengine waliingia kwenye ndoa kwa kujilazimisha
Wengine walibeba mimba ikawalazimu kuingia kwenye ndoa
Wengine wamefata pesa au mali ndani ya ndoa
Wengine wanajiegesha jua litulie kisha waendelee na safari
Wengine wapo kwa ajili ya heshima ya wazazi.
wengine ni kweli wanapendana..:A S-rose:
NK. Nk.


Umenena vema Shostito!
 
Mkuu Mbu binadamu tunapokuwa kwenye mapenzi mara nyingi huwa ni raha tupu. Binadamu tunazijua kasoro zretu ambazo wapenzi wanaweza kuzikubali na nyingine ambazo hawatakuwa tayari kuzikubali hivyo kipindi hicho cha mapenzi moto moto ni nadra sana kuzijua kasoro za umpendaye. Sasa unapoamua kuolewa naye au kumuoa basi ndiyo sasa anaanza kuonyesha makucha yake na kama nilivyosema kuna kasoro nyingine zinavumilika kabisa maana hakuna binadamu ambaye yuko perfect. Kwangu binafsi sipendi uongo, uchafu, wizi, uhuni, ulevi, dharau, kutokubali makosa na kusema samahani , kutojua kupika, uvivu wa kupita kiasi. Hizi kwa kweli si rahisi kuvumilika kabisa ukiuingia mkenge kama huu ni bora kujinasua haraka sana kabla ya kukumbana na matatizo utakayoyajutia kwa miaka mingi baadaye.

Hapo kwenye nyeusi tiii BAK!
Wapo wengi walioziona tabia hizi - kama siyo zote basi baadhi na kudhani watarekebishana mbele kwa mbele!
Utakuta labda mfano tu: Mwanaume mhuniii kupitiliza lakini bashasha zake usipime, au mwanamke mvivuuuu hajui hata kupika uji lakini mwanaume kafa hasikiii kisa urembo wa bibie au lugha lainiii ..mahabat! Mwaume mleviii komba kasingiziwa lakini faranga ziko za kutupatupa...nadhani ni swala la kupima na kuona mtu anataka nini mwisho wa siku...... nahaya hupelekea ndoa chungu mwanzo mwisho.
 
Kama alivyosema FL1 kila mtu aliingia kwenye ndoa kwa sababu zake binafsi. lakini wapo walioingia kwa mapenzi makubwa lakini kumbe hawakujua tabia halisi za wapenzi wao na ndio chanzo cha machungu mengi kwenye ndoa.
 
1. Wachache sana wanaopendana kwa dhati. Walio wengi wapowapo tu.
2. Kabla ya ndoa unategemea mambo mengi sana.....baadae ukiwa ndoani unakuta ni sifuri au tano ya mia tu!!!
3. Mkiwa wachumba mabaya yote ya mwenzio yanaongezeka mara tatu hivi baada ya ndoa.
4. Baada ya ndoa sasa unapata hali halisi ya mwenzio. Usuke au unyoe ni hiari yako.
5.Hali hii inatokana na wachumba kujifanya watakatifu sana kabla ya ndoa.
6. Wakati fulani ndoa ni kama mchezo wa bahati nasibu ambapo baada ya kununua tiketi, huwezi kuichana ukigundua hujashinda.
7. Hata hivyo ndoa ni uhusiano mwema sana sana, utadhani wapo peponi, na ndio maana wenye wivu hutaka kuingilia
8. Upande mwingine hakuna jehanamu kama kwenye ndoa, wanandoa wengi huuana. Ugomvi huanza taratibu mwisho kifo.

Ushauri:
1. Mpende sana sana mwenzio
2. Siku zote mtendee haki.
3. Mvumilie na msamehe. Usilipize kisasi
4. Hata siku moja usihesabu mabaya yake.
5. Mtunze, mheshimu sana na umjali.
6. Usimdanganye na uwe mwaminifu hadi kufa.
7. Yeye kwanza kwa kila jambo.
8. Acha wivu wa kijinga
9. Epuka kumkwaza mwenzio.
10. Usimdharau mwenzio.

Hayo ni baadhi tu ya mambo na mkiweza hayo ndoa hiyo itakuwa ni raha tupu, raha ya ajabu sana.
 
Ishu ya ndoa ni complex sana, si wote walio ndani ya ndoa wanapendana, ndoa nyingine ni kwa mashindikizo ya wazazi, mke au mume. Ndoa ukiiwaza sana kichwa kinauma na kama we bachela unaweza usioe, Muombe Mungu umpate mke mzuri.:dance:
 
Mwingine anafahamu mwenzie ana tabia kadha wa kadha anajipa moyo kuwa maybe atachange, wakifika ndani inakuwe worse na hapo ndipo majuto huanza!!! FL1 you said it all!!!
 
Kabla sijamuoa huyu mama matesha wangu nilikuwa na mpenzi wangu niliyekuwa nampenda sana. Ki ukweli tulipendana sana. Na tuliachana bila kujua kimetokea nini. Niliumia sana, nilitaabika sana. Sikuwa nahitaji kuwa na uhusiano na mwanamke mwingine awaye yote. Nilitamani kuwa padre.

Mpaka alipotokea huyu rafiki yake nu huyo mpenzi wangu wa zamani. Alikuwa ananionea huruma sana, alikuwa ananifariji na kunipa moyo. (Tulipoachana na mpenzi wangu, mpenzi wangu huyo alitokomea kubeba mabox na mpaka leo hajarudi -RIP kama ameshakufa). Huyu rafiki yake ndio huyu mama matesha wangu.

Nadiriki kusema nashukuru niliachana na mpenzi wangu yule wa zamani kwa kuwa huyu mke wangu wa sasa ndio ulikuwa mpango wa Mungu awe mke wangu. She is beautiful, loving and caring. Sitajuta kuonana naye (sijawahi kujuta miaka yote 15 ya kufahamiana toka urafiki, upenzi, uchumba mpaka ndoa.

Hivi thread inasemaje?? Oooh Yes.... Mimi na mke wangu Tunapendana sana. Ndani ya ndoa yetu tunapendana. Period!!!
(Am sore leo sina hangover ya kutosha)
 
Kama alivyosema FL1 kila mtu aliingia kwenye ndoa kwa sababu zake binafsi. lakini wapo walioingia kwa mapenzi makubwa lakini kumbe hawakujua tabia halisi za wapenzi wao na ndio chanzo cha machungu mengi kwenye ndoa.

Ni ngumu sana kujua tabia halisi ya mpenzi wako mpaka mtakapoanza kuishi pamoja, hapo ndio utauona uhalisia wa mtu!... Lakini kuna vile vitu vya kuweza kuonekana kama ulevi kupindukia/uchafu nk lakini bado hapo hapo anaweza ku petend kwamba amebadilika kwa nia ya kukupata mkishaingia ndani vyote vnajirudia kama awali...heee
 
Kama hujafunga ndoa...angalia machungu mwenzio anayokupa kabla hamjaoana...tafakari uyawaze..jiulize mkishaoana utaweza kuyavumilia?

Ikiwa unaona utaweza kuyavumilia ( tamaa ya pesa/mali,lugha mbaya, ulevi, uongo, kutokua mwaminifu, uchafu, uvivu,kutokuwa na huruma, kutokuwa na kauli nzuri/tamu, kutokusema samahani, kutokujua kubembeleza, ubinafsi,uchoyo, ) BASI KAFUNGENI NDOA na hii ni kwa wote wanawake kwa wanaume.

This is a very strong post; na ukiisoma kijuu-juu utaogopa; lakini hii inaonyesha umuhimu wa kujuana kabla ya ndoa
tunatakiwa tufike sehemu hata ukiambiwa partner wako kafanya kitu wala hushangai kwani mnajuana
as always, to be committed to someone, one needs a checklist and the positives must outweigh negatives --- in totality yaani hata waliozunguka penzi lenu

BUT ALL IN ALL, LONELINESS IS MORE SCARY AND SUICIDAL IN NATURE....

THERE IS A SONG NI WA ZAMANI LAKINI K-CI WA JOCEDI ALIIMBA KWENYE SOUNDTRACK MOJA UNAITWA "IF YOU THINK YOU LONELY NOW" - LOVELY

I just wanna dedicate this song to all the lovers
tonight
And I expect that might be the whole world
Because everybody needs someone or something to love,
yeah

When its cold outside, girl, who are you holding
Youll be holding me, well, well, well, well

Said if yall dont mind, can I talk about this woman
I have
Shes always complainin bout the things she got
And the things her girlfriend got
But lady, I wanna let you know
I cant be in two places at one time

If you think youre lonely now, ooh, yeah
Wait until tonight, girl
If you think youre lonely now Oh, you better wait
till tonight, yeah, baby
Wait until tonight, girl Ill be long gone

If you think youre lonely now Yes, I will
Wait until tonight, girl You better wait until
tonight
When scary ghost come out of your closet, it chased
you all around the room
Memories sail like a ghost, ah, baby, baby

If you think youre lonely now If you think youre
lonely now
Wait until tonight Wait until tonight, wait until
tonight, baby
If you think youre lonely now Yeah, yeah

If you think youre lonely now Hold on, ooh, yeah
Wait until tonight, girl Ooh, ha
I wanna testify, I wanna testify
I wanna testify to you, I just got one thing to say
If you think youre lonely now

If you think youre lonely now Baby, yeah
Wait until tonight, girl Sugar, feel, oh
If you think youre lonely now Ooh, yeah

Wait until tonight, girl Oh, dont be a fool

If you think youre lonely now Baby, please dont be
a fool
Wait until tonight, girl
If you think youre lonely now I want you, baby,
baby, baby, huh
Wait until tonight, girl

 
ni ngumu sana kujua tabia halic ya mpenzi wako mpaka mtakapoanza kuishi pa1, hapo ndio utauona uhalisia wa mtu!...lakini kuna vile vitu vya kuweza kuonekana kaam ulevi kupindukia/uchafu nk lakini bado hapo hapo anaweza ku petend kwamba amebadilika kwa nia ya kukupata mkishaingia ndani vyote vnajirudia kama awali...heee

Unaona faida ya kumegana kabla ya kuoana?
 
Kabla sijamuoa huyu mama matesha wangu nilikuwa na mpenzi wangu niliyekuwa nampenda sana. Ki ukweli tulipendana sana. Na tuliachana bila kujua kimetokea nini. Niliumia sana, nilitaabika sana. Sikuwa nahitaji kuwa na uhusiano na mwanamke mwingine awaye yote. Nilitamani kuwa padre.

Mpaka alipotokea huyu rafiki yake nu huyo mpenzi wangu wa zamani. Alikuwa ananionea huruma sana, alikuwa ananifariji na kunipa moyo. (Tulipoachana na mpenzi wangu, mpenzi wangu huyo alitokomea kubeba mabox na mpaka leo hajarudi -RIP kama ameshakufa). Huyu rafiki yake ndio huyu mama matesha wangu.

Nadiriki kusema nashukuru niliachana na mpenzi wangu yule wa zamani kwa kuwa huyu mke wangu wa sasa ndio ulikuwa mpango wa Mungu awe mke wangu. She is beautiful, loving and caring. Sitajuta kuonana naye (sijawahi kujuta miaka yote 15 ya kufahamiana toka urafiki, upenzi, uchumba mpaka ndoa.

Hivi thread inasemaje?? Oooh Yes.... Mimi na mke wangu Tunapendana sana. Ndani ya ndoa yetu tunapendana. Period!!!
(Am sore leo sina hangover ya kutosha)

,....:mmph:..Zile Mila za nini sasa
 
,....:mmph:..Zile Mila za nini sasa
Mila na desturi lazima zienziwe. Mila zinaleta uzoefu na mbinu mpya katika pafomensi ya kudumisha ndoa...... Askofu unatakiwa kanisani mida hii
 
jibu: hapana
wengine wapo kwenye ndoa kwa sababu wanahisi ni wajibu wao kwa jamii
wengine wako kwenye ndoa kwa sababu wanataka watoto na wangependa kupata mwenza wa kuwasaidia kulea
wengine wako kwenye ndoa kufuatia maslahi binafsi
wengine wako kwenye ndoa kwa manufaa ya wazazi
wengine wako kwenye ndoa kwa kuwa ameona labda inaweza kuleta mabadiliko katika maisha yake yaliyokuwa yamedorora
wengine wako kwenye ndoa ili kukimu mahitaji ya mwili
wengine wako kweenye ndoa kwa kukidhi mahitaji ya kiroho
nakadhalika na kadhalika
 
jibu: hapana
wengine wapo kwenye ndoa kwa sababu wanahisi ni wajibu wao kwa jamii
wengine wako kwenye ndoa kwa sababu wanataka watoto na wangependa kupata mwenza wa kuwasaidia kulea
wengine wako kwenye ndoa kufuatia maslahi binafsi
wengine wako kwenye ndoa kwa manufaa ya wazazi
wengine wako kwenye ndoa kwa kuwa ameona labda inaweza kuleta mabadiliko katika maisha yake yaliyokuwa yamedorora
wengine wako kwenye ndoa ili kukimu mahitaji ya mwili
wengine wako kweenye ndoa kwa kukidhi mahitaji ya kiroho
nakadhalika na kadhalika
Wewe uko kwenye ndoa / utakuwa kwenye ndoa kwa sababu gani?
 
Back
Top Bottom