wanaume wengi huwa wanaanzia hapo, kwa sisi wanawake asilimia kubwa tunaanzia na love.
Na wewe bana, haya soma hapa chini nilishasema mbona.
Kuna mifano mingi tu ya watu ambao walikuwa wanapendana sana tu.Na hata kujuana tabia vizuri,lakini baada ya muda wakiwa ndani ya ndoa upendo unaisha,tena wanakuwa maadui wakubwa(ninao mfano hai) Hii inatokana na nini wakuu?
binafsi nilianza na love kisha nika plus alpha zangu, tukafunga ndoa ndio tukaingia kwenye sex.[/QUOTE]
Hongera sana ndugu.
Hapo mhhh, ulikuwa na moyo sana. Binafsi nilichukulia hiyo risk sawa na kununua mbuzi kwenye gunia. Testing was mandatory!
Si kweli WOS wengine waliingia kwenye ndoa kwa sababu ya fashions na wao waonekane wanandoa :A S-rose:
Wengine waliingia kwenye ndoa kwa kujilazimisha
Wengine walibeba mimba ikawalazimu kuingia kwenye ndoa
Wengine wamefata pesa au mali ndani ya ndoa
Wengine wanajiegesha jua litulie kisha waendelee na safari
Wengine wapo kwa ajili ya heshima ya wazazi.
wengine ni kweli wanapendana..:A S-rose:
NK. Nk.
binafsi nilianza na love kisha nika plus alpha zangu, tukafunga ndoa ndio tukaingia kwenye sex.[/QUOTE]
Hongera sana ndugu.
Hapo mhhh, ulikuwa na moyo sana. Binafsi nilichukulia hiyo risk sawa na kununua mbuzi kwenye gunia. Testing was mandatory!
ungekuta testing haijakuridhisha inamaana ungemuacha?
so maybe ni kweli wanaume nao wanaoa kwa Mapenzi Plus Alpha. 😀
wanawake na wanaume tuko pamoja kumbe................mapenzi matupu NO...mpaka Alpha ipatikane kumbe
binafsi nilianza na love kisha nika plus alpha zangu, tukafunga ndoa ndio tukaingia kwenye sex.
ungekuta testing haijakuridhisha inamaana ungemuacha?
so maybe ni kweli wanaume nao wanaoa kwa Mapenzi Plus Alpha. 😀
wanawake na wanaume tuko pamoja kumbe................mapenzi matupu NO...mpaka Alpha ipatikane kumbe
G, testing inafanyika ili kumpatia mtu uhakika kabla ya kufanya uamuzi. Test ikifeli maana yake uamuzi utafanyika (informed decision) badala ya kukurupuka. Ningeweza kuachia ngazi lakini pia kuna hizo factors nyingine (umeamua kuita alpha). Kwa ujumla kuna vitu vingi sana vya kuangalia na kama nilivyosema, kikubwa kwangu ilikuwa ni urafiki wetu. Ila kama ingeonekana sexually hatuko compartible ningeanza mbele. Mungu angenisamehe kwa hilo!
Walikuwa hawapendani..walikuwa wanatamaniana... Period!!Kuna mifano mingi tu ya watu ambao walikuwa wanapendana sana tu.Na hata kujuana tabia vizuri,lakini baada ya muda wakiwa ndani ya ndoa upendo unaisha,tena wanakuwa maadui wakubwa(ninao mfano hai) Hii inatokana na nini wakuu?
Hongera sana.
Swali....katika ndoa ulikuta mapungufu yoyote yanayotokana na kutotest kabla ya ndoa?(kama watu wengi wanavyodai) kama uliyakuta usiyotegemea ni yapi?
Kitu gani kilikupa hiyo nguvu ya kuvumilia mpka ndoa ndo mkasex?
Asante.Naweza kusema Gaijin ni MLOKOLE!charity.....i strongly believe kuwa zinaa haikubaliki kwa mungu.................so i tried ku avoid kujiingiza katika mazingira yatakayopelekea huko.
hang out katika public places, at least semi-public places. masuala ya kwenda kwake sijui kumpikia i never did. nafikiri some privilagies ni baada ya kuona only.........if i dont go and cook to my friend why should i go and do it for him? if i dont go and sleep at my friend's, i wont do for a boyfriend, thank you very much!
Umesahau kuwa si wote wasemao Bwana Bwana........Asante.Naweza kusema Gaijin ni MLOKOLE!
kuna yale maswali mengine hujajibu.......tunasubiri!
Walikuwa hawapendani..walikuwa wanatamaniana... Period!!
Umesahau kuwa si wote wasemao Bwana Bwana........[/QUOTE]
Hapo kaka. Ni bahati kwamba mioyo siyo transparent, baadhi ya watu wangeshakufa siku nyingi kwa pressure!
hang out katika public places, at least semi-public places. masuala ya kwenda kwake sijui kumpikia i never did. nafikiri some privilagies ni baada ya kuona only.........if i dont go and cook to my friend why should i go and do it for him? if i dont go and sleep at my friend's, i wont do for a boyfriend, thank you very much!
Asante.Naweza kusema Gaijin ni MLOKOLE!
kuna yale maswali mengine hujajibu.......tunasubiri!
Hapo kaka. Ni bahati kwamba mioyo siyo transparent, baadhi ya watu wangeshakufa siku nyingi kwa pressure!
Laiti mioyo ingekuwa transparent, Laiti kuta zingekuwa zinasema.......
Laiti, laiti , laiti.......................... MUNGU AEPUSHIE MBALI
Umesahau kuwa si wote wasemao Bwana Bwana........