Ni kweli kwamba biashara ni ngumu kipindi hiki?

Ni kweli kwamba biashara ni ngumu kipindi hiki?

JF kuna watu watoto sana humu. From the tone of the people's reasoning in here. U can tell huyu mleta mada bado kinda sana. Hata nyembe si ajabu hajaanza tumia.

Hebu, F*ck Outta Here !!
ulizoea bwerere wewe sasa kaka kafukuzwa kaz unalalamika me mtoto ndio maana najitunza wewe baki nauzee wako[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
mm naonaa baadhi ya biashara mfn biashara ya duka ya mahitaji ya nyumban inaenda tu,,sababu lazima mtu atanunua mafuta ya kupikia,mchele,unga sembe na sukari,,

ila kwenye biashara mfn maduka ya nguo ngoja waje wanaofanya hzo biashara walete mtazamo wao hapa
 
mm naonaa baadhi ya biashara mfn biashara ya duka ya mahitaji ya nyumban inaenda tu,,sababu lazima mtu atanunua mafuta ya kupikia,mchele,unga sembe na sukari,,

ila kwenye biashara mfn maduka ya nguo ngoja waje wanaofanya hzo biashara walete mtazamo wao hapa
kila biashara ina wateja tu maana mimi nina ofisi ya ushonaji kwasasa tuko na unifom wateja wapo
 
mleta mada ni mtoto wa mama hivyo hajielewi na alishazoa kula ugali dagaa kwa bamia na ngogwe tangia azaliwe hivyo haoni chochote, endelea tu hivyo hivyo lakini ujue unga umeshafikia shilingi 1800 - 2000 kwa kilo
 
Wa Tanzania sisi hua tunasombwa na upepo,likisemwa jambo linazagaa na linakua,tena wenye kulalamika ni sisi wenye maisha magumu miaka yote,nijuacho mimi hapa duniani hapajawahi kua na maisha rahisi hata siku moja,ila pia mwenye bidii ya kufanya kazi bila uoga,uvivu na aibu,hufanikiwa
 
Wa Tanzania sisi hua tunasombwa na upepo,likisemwa jambo linazagaa na linakua,tena wenye kulalamika ni sisi wenye maisha magumu miaka yote,nijuacho mimi hapa duniani hapajawahi kua na maisha rahisi hata siku moja,ila pia mwenye bidii ya kufanya kazi bila uoga,uvivu na aibu,hufanikiwa
nikweli kaka
 
mleta mada ni mtoto wa mama hivyo hajielewi na alishazoa kula ugali dagaa kwa bamia na ngogwe tangia azaliwe hivyo haoni chochote, endelea tu hivyo hivyo lakini ujue unga umeshafikia shilingi 1800 - 2000 kwa kilo
unga kupanda bei niuchumi unabadilika kama vipi nawewe uza unga kama ndo biashara nzuri
 
ulizoea bwerere wewe sasa kaka kafukuzwa kaz unalalamika me mtoto ndio maana najitunza wewe baki nauzee wako[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kweli nimeamini kuna Majuha JF. So now u know everything about me ?? [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom