acontinuer
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 241
- 246
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sisi wa uchwara tunaocustomize kwa templates za WordPress tukae ama tuondoke..??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sisi wa uchwara tunaocustomize kwa templates za WordPress tukae ama tuondoke..??
NakubaliSubirini hapo hapo
Umeiona ile design ya kule ilivyo ? Naona sijui wamenisikia wameondoa button na muda wamesogeza MbeleMimi ui/ux designer pia developer. Kama mtu yupo serious tufanye kazi. Na tupo wengi tu ambao tupo vizuri lakini tumekaa kimya tu. Tunapiga kazi.
Mkuu hawawezi kukupa kazi kwa kuwakosoa, wanawaamini waliopoYaan nimeduwaa sijaelewa una maanisha nini, sawa wewe umeijenga website kwa ajili ya desktop sawa sijakataa nakubariana na wewe lakini je huo muonekano wake UI umeangalia kwenye simu zetu hizi za smartphone inaonekanaje in accordance to UX umeuliza users wako kadhaa wanaonaje au ipo ipoje brothers hivi hatuna sisi kweli hatuna watu walioiva kwenye masuala ya SE, CS, IS & CE hivi kweli good UX/UI Developers hapa kwetu jamani mpaka tunatengenezeana vituko humu mitandaoni brothers au ndio copy & paste templates then modify hadi huko juu ? Well fine nimeona umeijenga from scratch but ipo na poor design, design yake ni mbovu sana muonekano mbovu havutii users
Nikuelekeze kitu badirisha padding up & down ili upate muonekano mzuri kwenye header maana natamani niseme Ila sina pa kusema kingine kwenye body padding left & right badirisha ili upate muonekano mzuri
Kingine unawekaje link kote Ila kwenye tukio muhimu unaficha link wewe tukueleweje wewe kwanini unaficha link wewe ?
Si bora mara 100 ungeweka 404 tujue moja au button usingeiweka kabisa tusisumbuane
Message sent
Namba zakoMimi ui/ux designer pia developer. Kama mtu yupo serious tufanye kazi. Na tupo wengi tu ambao tupo vizuri lakini tumekaa kimya tu. Tunapiga kazi.