Ni kweli kwamba hatuna Software Developers, Web Developers, UX/UI Designers hadi tunatengeneza vituko?

Mimi ui/ux designer pia developer. Kama mtu yupo serious tufanye kazi. Na tupo wengi tu ambao tupo vizuri lakini tumekaa kimya tu. Tunapiga kazi.
 
Mimi ui/ux designer pia developer. Kama mtu yupo serious tufanye kazi. Na tupo wengi tu ambao tupo vizuri lakini tumekaa kimya tu. Tunapiga kazi.
Umeiona ile design ya kule ilivyo ? Naona sijui wamenisikia wameondoa button na muda wamesogeza Mbele

404: Page Not Found
 
Mkuu hawawezi kukupa kazi kwa kuwakosoa, wanawaamini waliopo
 
Mkuu hawawezi kukupa kazi kwa kuwakosoa, wanawaamini waliopo
Yes mkuu ndio hivyo, nimejipa kazi ya kuwaambia makosa yao I wish ningewafanyia kazi kwa kujitolea

404: Page Not Found
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…