Ni kweli kwamba kama hujajiandikisha kuchagua hutopata mkopo benki na kudhamini watu?

Edsheraan

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2024
Posts
659
Reaction score
1,126
Za asubuhi?

Nimeskia sehemu kwamba wanaanzisha Sheria uchwara kama hukujiandikisha kuchagua huwezi kupata mkopo benki, huwezi kumdhamini mtu.

Unatambulika sio raia wa nchi hii hali ni mbaya katika daftari la uandikishaji wananzengo waligoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…