Hahahah ni ama agombee, ama arudishe asali alizolamba toka Mbogamboga PP.Kuna tetesi kutoka viunga vya watu wakubwa kwamba mfumo (dola) imemtishia mzee Mbowe kuwa endapo hatagombea uenyekiti, basi wataweka hadharani asali yote aliyoilamba (miamala yote aliyopokea toka ccm/serikali ktk nyakati tofauti tofauti za kutuliza dhoruba ya kisiasa nchini.
Siyo kwamba Mbowe haoni jinsi umma unavyomkataa na hajui madhara yake kwenye chama chake, lkn hana namna. Analipia asali aliyoilamba.
Je, kuna ukweli katika tetesi hizi??
Kama ni kweli, basi hii inanikumbusha wimbo mmoja wa Mzee Yusufu una kibwagizo kisemacho "umekunywa soda yangu mie, utanibeba leo".
Yaani ni full tafraniHahahah ni ama agombee, ama arudishe asali alizolamba toka Mbogamboga PP.
Hizo ni sehemu za propaganda za uchaguzi.Kuna tetesi kutoka viunga vya watu wakubwa kwamba mfumo (dola) imemtishia mzee Mbowe kuwa endapo hatagombea uenyekiti, basi wataweka hadharani asali yote aliyoilamba (miamala yote aliyopokea toka ccm/ serikali ktk nyakati tofauti tofauti za kutuliza dhoruba ya kisiasa nchini.
Siyo kwamba Mbowe haoni jinsi umma unavyomkataa na hajui madhara yake kwenye chama chake, lkn hana namna. Analipia asali aliyoilamba.
Je, kuna ukweli katika tetesi hizi??
Kama ni kweli, basi hii inanikumbusha wimbo mmoja wa Mzee Yusufu una kibwagizo kisemacho "umekunywa soda yangu mie, utanibeba leo".
Awe amelamba au la haiusu , Mungu mwemaKuna tetesi kutoka viunga vya watu wakubwa kwamba mfumo (dola) imemtishia mzee Mbowe kuwa endapo hatagombea uenyekiti, basi wataweka hadharani asali yote aliyoilamba (miamala yote aliyopokea toka ccm/ serikali ktk nyakati tofauti tofauti za kutuliza dhoruba ya kisiasa nchini.
Siyo kwamba Mbowe haoni jinsi umma unavyomkataa na hajui madhara yake kwenye chama chake, lkn hana namna. Analipia asali aliyoilamba.
Je, kuna ukweli katika tetesi hizi??
Kama ni kweli, basi hii inanikumbusha wimbo mmoja wa Mzee Yusufu una kibwagizo kisemacho "umekunywa soda yangu mie, utanibeba leo".
Haya ni maneno yako wewe. Lisu hajasema hivyo. Hiyo misimamo ya hao uliowataja, Lisu amerejelea kwenye jambo mahususi. Mbona hulitaji jambo lenyewe?? Una ajenda ya siri mkuu ya kumchafua Lisu.Lissu badala ya kupigania ustawi wa chama kama Makamu Mwenyekiti alikuwa anapigania migogoro na utengano ndani ya chama kama sababu kubwa ya kumwangusha Mwenyekiti wake.
Anaendeshwa kama Power PointKuna tetesi kutoka viunga vya watu wakubwa kwamba mfumo (dola) imemtishia mzee Mbowe kuwa endapo hatagombea uenyekiti, basi wataweka hadharani asali yote aliyoilamba (miamala yote aliyopokea toka ccm/ serikali ktk nyakati tofauti tofauti za kutuliza dhoruba ya kisiasa nchini.
Siyo kwamba Mbowe haoni jinsi umma unavyomkataa na hajui madhara yake kwenye chama chake, lkn hana namna. Analipia asali aliyoilamba.
Je, kuna ukweli katika tetesi hizi??
Kama ni kweli, basi hii inanikumbusha wimbo mmoja wa Mzee Yusufu una kibwagizo kisemacho "umekunywa soda yangu mie, utanibeba leo".
Yaani Lisu aanguke kwa kukosa cheo ndani ya cdm, uko serious au unatania?Tatizo kubwa la Lissu ni kushindwa kupanga mikakati ya muda mfupi na muda mrefu.
Ukimsikiliza Lissu kama kiongozi utagundua aliitaka nafasi ya Mwenyekiti taifa bila maandalizi sahihi.Lissu kama Makamu Mwenyekiti ana nafasi kubwa ya kurithi Mikoba ya mwenyekiti bila kutumia nguvu kubwa ambayo anaitumia sasa.
Lissu bila aibu anasema ndani ya Kamati kuu Heche,Lema,Msigwa na Wenje walikuwa na misimamo inayorandana na yeye.Anamlaumu Wenje kageuka.
Lissu badala ya kupigania ustawi wa chama kama Makamu Mwenyekiti alikuwa anapigania migogoro na utengano ndani ya chama kama sababu kubwa ya kumwangusha Mwenyekiti wake.Kwa maneno rahisi Lissu alishaunda kikundi chake cha kulazimisha mabadiliko ikiwemo kukibagaza chama.
Mpaka sasa hesabu zinamkataa kwa kiasi kikubwa labda miujiza itokee lakini kushindwa ni dhahiri.Lissu ana ushawishi mkubwa nje ya mifumo rasmi ya chama has huko club house.
Naliona anguko kubwa la kisiasa labda apatie tena hisani na viongozi wake wakuu ambao tayari wamejifunza mengi sana ikiwemo ukosefu wa adabu,shukrani na uungwana.
Nadhani hafahamu kuwa Lisu ni taasisi. Lisu hata akihamia TADEA leo hii, atakifanya chama hiki kuwa kikubwa kuliko chadema.Yaani Lisu aanguke kwa kukosa cheo ndani ya cdm, uko serious au unatania?
NDIOKuna tetesi kutoka viunga vya watu wakubwa kwamba mfumo (dola) imemtishia mzee Mbowe kuwa endapo hatagombea uenyekiti, basi wataweka hadharani asali yote aliyoilamba (miamala yote aliyopokea toka ccm/ serikali ktk nyakati tofauti tofauti za kutuliza dhoruba ya kisiasa nchini.
Siyo kwamba Mbowe haoni jinsi umma unavyomkataa na hajui madhara yake kwenye chama chake, lkn hana namna. Analipia asali aliyoilamba.
Je, kuna ukweli katika tetesi hizi??
Kama ni kweli, basi hii inanikumbusha wimbo mmoja wa Mzee Yusufu una kibwagizo kisemacho "umekunywa soda yangu mie, utanibeba leo".
Unamuunga mkono nani kati ya hao miamba wawili?Kampeni zina kuchafua na kusafisha
nadhani hatari ya chadema kuingiliwa na kumezwa na vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ndicho haswa kilichomlazimu Freeman Mbowe kugombea uenyekiti wa chadema Taifa, ili walau kumdhibiti kibaraka asikivuruge chama.Kuna tetesi kutoka viunga vya watu wakubwa kwamba mfumo (dola) imemtishia mzee Mbowe kuwa endapo hatagombea uenyekiti, basi wataweka hadharani asali yote aliyoilamba (miamala yote aliyopokea toka ccm/ serikali ktk nyakati tofauti tofauti za kutuliza dhoruba ya kisiasa nchini.
Siyo kwamba Mbowe haoni jinsi umma unavyomkataa na hajui madhara yake kwenye chama chake, lkn hana namna. Analipia asali aliyoilamba.
Je, kuna ukweli katika tetesi hizi??
Kama ni kweli, basi hii inanikumbusha wimbo mmoja wa Mzee Yusufu una kibwagizo kisemacho "umekunywa soda yangu mie, utanibeba leo".
naunga mkono ChademaUnamuunga mkono nani kati ya hao miamba wawili?
Ni kweli ni maarufu ila hata akishindwa bora apambane humohumo, akihama atakuwa kama alivyokuwa Lyatonga. Chama kinambeba kwa kiasi kikubwa mno licha ya umaarufu alionao.Nadhani hafahamu kuwa Lisu ni taasisi. Lisu hata akihamia TADEA leo hii, atakifanya chama hiki kuwa kikubwa kuliko chadema.