Tatizo mwenye saccos yake hataki. Si unaona Lema ameamua kurudi zake Canada baada ya kuona manyokanyoka ya mwenye saccos?!!Ni kweli ni maarufu ila hata akishindwa bora apambane humohumo, akihama atakuwa kama alivyokuwa Lyatonga. Chama kinambeba kwa kiasi kikubwa mno licha ya umaarufu alionao.
Wee nifiche lakini nitaelewa tuu.naunga mkono Chadema
naunga mkono Chadema
Wakianza kampeni nitasikiliza sera zao na kuamuaHao wote wanaotajwa hapo wanawania nafasi ya mwenyekiti Taifa wa chama
Je unamuunga mkono nani kati yao kwa ajili ya mafanikio na ustawi zaidi wa hiyo CHADEMA unayoiunga mkono?
Mbona unajiuma uma mzee tatizo nini?
Ameyaongea wapi hayo? Nilichogundua una uelewa mzuri sana , ila lijapo swala la Lissu huwa unamsikiliza vizuri tu, halafu unaamua kumuelewa vile utakavyo siyo kwa ule uelewa wako mzuri bali uutakao kulingana na agemda yakoTatizo kubwa la Lissu ni kushindwa kupanga mikakati ya muda mfupi na muda mrefu.
Ukimsikiliza Lissu kama kiongozi utagundua aliitaka nafasi ya Mwenyekiti taifa bila maandalizi sahihi.Lissu kama Makamu Mwenyekiti ana nafasi kubwa ya kurithi Mikoba ya mwenyekiti bila kutumia nguvu kubwa ambayo anaitumia sasa.
Lissu bila aibu anasema ndani ya Kamati kuu Heche,Lema,Msigwa na Wenje walikuwa na misimamo inayorandana na yeye.Anamlaumu Wenje kageuka.
Lissu badala ya kupigania ustawi wa chama kama Makamu Mwenyekiti alikuwa anapigania migogoro na utengano ndani ya chama kama sababu kubwa ya kumwangusha Mwenyekiti wake.Kwa maneno rahisi Lissu alishaunda kikundi chake cha kulazimisha mabadiliko ikiwemo kukibagaza chama.
Mpaka sasa hesabu zinamkataa kwa kiasi kikubwa labda miujiza itokee lakini kushindwa ni dhahiri.Lissu ana ushawishi mkubwa nje ya mifumo rasmi ya chama has huko club house.
Naliona anguko kubwa la kisiasa labda apatie tena hisani na viongozi wake wakuu ambao tayari wamejifunza mengi sana ikiwemo ukosefu wa adabu,shukrani na uungwana.
Mbowe atakuja na sera mpya kumbe!Wakianza kampeni nitasikiliza sera zao na kuamua
Na harakati zimeanza uko kura feki, akishinda mbowe wameshinda kina wenjeKuna tetesi kutoka viunga vya watu wakubwa kwamba mfumo (dola) imemtishia mzee Mbowe kuwa endapo hatagombea uenyekiti, basi wataweka hadharani asali yote aliyoilamba (miamala yote aliyopokea toka ccm/ serikali ktk nyakati tofauti tofauti za kutuliza dhoruba ya kisiasa nchini.
Siyo kwamba Mbowe haoni jinsi umma unavyomkataa na hajui madhara yake kwenye chama chake, lkn hana namna. Analipia asali aliyoilamba.
Je, kuna ukweli katika tetesi hizi??
Kama ni kweli, basi hii inanikumbusha wimbo mmoja wa Mzee Yusufu una kibwagizo kisemacho "umekunywa soda yangu mie, utanibeba leo".
Nyie ndiyo mnajitekenya na kucheka. Leo hii Lissu akiamua kutoka CHADEMA basi itakufa rasmi. Mbowe amechokwa mpaka basi. Miaka 20 kwenye madaraka kiongozi hata uwe mzuri gani ni lazima utachosha watu na watakuchukia. Ni kweli Mbowe atakuwa amejenga mtandao wake ndani ya chama lakini hawa ni watu wachache sana. Chama siyo mtandao wa mwenyekiti bali chama ni wanachama na wapenzi. Akijidanganya na kukubali kusaidiwa na CCM kupora uchaguzi basi atabaki yeye mwenyewe na wafuasi wachache kama Lipumba. Haya mambo hayahitaji ujanja ujanja wa kibongo kama unavyotaka kuleta hapa.Tatizo kubwa la Lissu ni kushindwa kupanga mikakati ya muda mfupi na muda mrefu.
Ukimsikiliza Lissu kama kiongozi utagundua aliitaka nafasi ya Mwenyekiti taifa bila maandalizi sahihi.Lissu kama Makamu Mwenyekiti ana nafasi kubwa ya kurithi Mikoba ya mwenyekiti bila kutumia nguvu kubwa ambayo anaitumia sasa.
Lissu bila aibu anasema ndani ya Kamati kuu Heche,Lema,Msigwa na Wenje walikuwa na misimamo inayorandana na yeye.Anamlaumu Wenje kageuka.
Lissu badala ya kupigania ustawi wa chama kama Makamu Mwenyekiti alikuwa anapigania migogoro na utengano ndani ya chama kama sababu kubwa ya kumwangusha Mwenyekiti wake.Kwa maneno rahisi Lissu alishaunda kikundi chake cha kulazimisha mabadiliko ikiwemo kukibagaza chama.
Mpaka sasa hesabu zinamkataa kwa kiasi kikubwa labda miujiza itokee lakini kushindwa ni dhahiri.Lissu ana ushawishi mkubwa nje ya mifumo rasmi ya chama has huko club house.
Naliona anguko kubwa la kisiasa labda apatie tena hisani na viongozi wake wakuu ambao tayari wamejifunza mengi sana ikiwemo ukosefu wa adabu,shukrani na uungwana.
Mbona hilo lipo wazi kabisa. Lisu akiwa mwenyekiti ataisumbua serikali ya Puerto Rico katika jumuiya ya kimataifa na ukizingatia hawapendi kuchafuka. Maana Lisu anaweza kuwa anaitisha matamko na maandamano hata peke yake ilimradi akamatwe atengeneze habari jumuiya ya kimataifa.Kuna tetesi kutoka viunga vya watu wakubwa kwamba mfumo (dola) imemtishia mzee Mbowe kuwa endapo hatagombea uenyekiti, basi wataweka hadharani asali yote aliyoilamba (miamala yote aliyopokea toka ccm/ serikali ktk nyakati tofauti tofauti za kutuliza dhoruba ya kisiasa nchini.
Siyo kwamba Mbowe haoni jinsi umma unavyomkataa na hajui madhara yake kwenye chama chake, lkn hana namna. Analipia asali aliyoilamba.
Je, kuna ukweli katika tetesi hizi??
Kama ni kweli, basi hii inanikumbusha wimbo mmoja wa Mzee Yusufu una kibwagizo kisemacho "umekunywa soda yangu mie, utanibeba leo".
Mkuu wewe uko mbele ya wakati ktk fikra na upeo. Umepita mule mule.Mbona hilo lipo wazi kabisa. Lisu akiwa mwenyekiti ataisumbua serikali ya Puerto Rico katika jumuiya ya kimataifa na ukizingatia hawapendi kuchafuka. Maana Lisu anaweza kuwa anaitisha matamko na maandamano hata peke yake ilimradi akamatwe atengeneze habari jumuiya ya kimataifa.
Ingekuwa ni Uganda kwa Museveni, wala asingemuogopa Lisu, lakini kule Puerto Rico, unafiki mwingi hawapendi kuonekana wabaya jumuiya ya kimataifa, hivyo Lisu anaweza kuwachafua bure!
Hivyo tunaita ramli chonganishi.Kuna tetesi kutoka viunga vya watu wakubwa kwamba mfumo (dola) imemtishia mzee Mbowe kuwa endapo hatagombea uenyekiti, basi wataweka hadharani asali yote aliyoilamba (miamala yote aliyopokea toka ccm/ serikali ktk nyakati tofauti tofauti za kutuliza dhoruba ya kisiasa nchini.
Siyo kwamba Mbowe haoni jinsi umma unavyomkataa na hajui madhara yake kwenye chama chake, lkn hana namna. Analipia asali aliyoilamba.
Je, kuna ukweli katika tetesi hizi??
Kama ni kweli, basi hii inanikumbusha wimbo mmoja wa Mzee Yusufu una kibwagizo kisemacho "umekunywa soda yangu mie, utanibeba leo".
Whatever the case.. Kuna mkono wao juu ya hiliKuna tetesi kutoka viunga vya watu wakubwa kwamba mfumo (dola) imemtishia mzee Mbowe kuwa endapo hatagombea uenyekiti, basi wataweka hadharani asali yote aliyoilamba (miamala yote aliyopokea toka ccm/ serikali ktk nyakati tofauti tofauti za kutuliza dhoruba ya kisiasa nchini.
Siyo kwamba Mbowe haoni jinsi umma unavyomkataa na hajui madhara yake kwenye chama chake, lkn hana namna. Analipia asali aliyoilamba.
Je, kuna ukweli katika tetesi hizi??
Kama ni kweli, basi hii inanikumbusha wimbo mmoja wa Mzee Yusufu una kibwagizo kisemacho "umekunywa soda yangu mie, utanibeba leo".
nadhani hatari ya chadema kuingiliwa na kumezwa na vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ndicho haswa kilichomlazimu Freeman Mbowe kugombea uenyekiti wa chadema Taifa, ili walau kumdhibiti kibaraka asikivuruge chama.
Bila kibaraka kuchange gia angani Mbowe alikusudia kustaafu uongozi mwaka huu
hutakiwa kuonesha unamuunga mkono nani, ukionekana tu habari zako hazitaaminika. Ila unaonekana uko upande wa mbowenaunga mkono Chadema