Ni kweli kwamba nafasi za polisi zimetoka?


hapo kwenye red kwani kidato cha sita wameshamaliza 2012:lol:
 
nadhani kutakuwa na makosa kwenye tangazo hili. Kwa uelewa wangu hapa naona sasa hivi polisi watakuwa wanachukua candidates kuanzia form 6 na kuendelea juu badala ya form 4, ambapo f6 watakuwa ni wale watakao kula mbavu/vumbi and then graduates wataanza na nyota 1 (assistant inspector) kwenda juu. Nina uhakika na ninachokiandika
 
Jamani kazi hii ya polisi ni ya kweli "search 'Tanzania police force" kuna tangazo pale.

Nimejaribu kuulizia kwanini wanataka kidato cha sita tu, nimejibiwa kuwa ktk masuala ya usalama ni vizuri zaidi ukipata vijana ambao hawako exposed sana na mambo ya mtaani (esp. jeuri, utii, utapeli, n.k) ukilinganisha na hao wanaotoka shule (they are believed to be loyal and submissive). Nilishindwa kuendelea kuuliza sababu jibu niliona kama limejitosheleza kidogo. Na hao form six wanasubiliwa wamalize kwanza shule ndio maana baadhi ya fomu za kujiunga zipo huko mashuleni kwao.
 
Umeniacha hoi graduate hana cha zaidi ! Dah labda wewe huja-graduate ndo maana huwezi kutambua utofauti ! Na kama ume-graduate basi ni vyuo vya kariakoo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…