Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Nenda pale Muhimbili Madaktari watakwambia kuhusu Janabi!! Huyo hakustahili hata kuwa Mkurugenzi Wa Hospitali Taifa ya Muhimbili. Kijiupepo tu

Sasa kule Who wanakwenda kumuengua kwenye hatua za awali kabisa.

Tabu ya Watanganyika ni tabia ya kuwaamini WACHEKESHAJI.
Akina Steven nyerere! Ahhhhaaaa!
 
Mkurugenzi wa WHO Kanda ya Afrika anahitaji sifa mbalimbali, ikiwa ni pamoja na ujuzi wa kuandika na kuzungumza Kifaransa. Hapa kuna sifa hizo:

1. Utaalamu wa Afya: Elimu ya juu katika sayansi za afya, kama vile udaktari au afya ya umma.

2. Uzoefu wa Kazi: Uzoefu katika sekta ya afya, hasa katika mazingira ya Afrika.

3. Uongozi na Usimamizi: Uwezo wa kuongoza na kusimamia timu kubwa, huku ukihamasisha ushirikiano.

4. Uelewa wa Sera za Afya: Maarifa kuhusu sera za afya za kimataifa na mahitaji ya kiafya ya Afrika.

5. Uwezo wa Kutoa Mwelekeo: Uwezo wa kupanga mikakati na kutoa mwelekeo wa kisera.

6. Uwezo wa Mawasiliano: Ujuzi mzuri wa mawasiliano ili kuweza kuwasiliana na wadau mbalimbali.

7. Uelewa wa Utamaduni: Uelewa wa tofauti za kitamaduni na kijamii katika kanda ya Afrika.

8. Uwezo wa Kujifunza na Kurekebisha: Uwezo wa kujifunza kutokana na makosa na kuboresha mikakati.

9. Ushirikiano wa Kimataifa: Uwezo wa kushirikiana na mashirika mengine ya kimataifa.

10. Uthibitisho wa Maadili: Maadili ya juu na kujitolea kwa huduma za afya.

11. Uwezo wa Kuandika na Kuzungumza Kifaransa: Uwezo wa kuwasiliana kwa ufanisi kwa lugha ya Kifaransa, ikiwa ni pamoja na kuandika ripoti na nyaraka rasmi.

12. Uwezo wa Kutatua Migogoro: Ujuzi wa kutatua migogoro katika mazingira magumu.

13. Ujuzi wa Takwimu na Utafiti: Uwezo wa kufanya na kuelewa tafiti za kiafya.

14. Uelewa wa Masuala ya Kiuchumi: Maarifa kuhusu masuala ya kiuchumi yanayoathiri sekta ya afya.

15. Ushirikiano wa Jamii: Uwezo wa kuunda na kudumisha uhusiano mzuri na jamii.

16. Uelewa wa Teknolojia ya Habari: Ujuzi wa teknolojia ya habari ili kuboresha huduma za afya.

17. Uwezo wa Kuendesha Mabadiliko: Uwezo wa kuongoza mabadiliko katika mifumo ya afya.

18. Ushirikiano na Sekta Binafsi: Uwezo wa kushirikiana na sekta binafsi.

19. Uelewa wa Mazingira: Uelewa wa jinsi mazingira yanavyoathiri afya.

20. Uthibitisho wa Kujitolea: Dhamira ya dhati ya kuboresha afya ya jamii.

Sifa hizi zitamuwezesha mkurugenzi huyo kukabiliana na changamoto za kiafya na kuboresha huduma za afya barani Afrika.
Number 10 itamharibia kama Kwa jinsi yeyote Ile ame fake...Hii wenzetu wanaiangalia sana...Unatakiwa kuwa honest na reliable...Kama ame fake baadhi ya qualifications zake basi inatia shaka self discipline yake...Unatakiwa kuwa authentic, reliable and trustworthy Ili kuonyesha integrity yako kitu Cha msingi kabisa maana maamuzi mengi yanahitaji wewe kwanza kuwa reliable na authentic
 
MKuu nimejaribu kufuatilia hata hiyo fellow ship ya moyo janabi kama amefoj, FCC wanasema fellowship ya moyo ni kwa waliosoma cadiology baada ya internal medicine kwa watu wazima au watoto.
Pia wenzake wenye fellowshi kama hizo mfano levina msuya fellowship yake pale mct wameiweka manake inatambulika ila ya janabi haitambuliki.
Nawasi wasi hiyo fellowaship hana.
Phd in cardiology pekee tu inatosha ukiacha hio fellowship.

Mjomba una wivu na phd na fellowship ya Prof janabi
 

Attachments

  • Screenshot_20241214_034737_Chrome.jpg
    Screenshot_20241214_034737_Chrome.jpg
    185.5 KB · Views: 3
Mkimwambia ukweli yaani spana za kumtosha kuna wale chawa wake lialia hawakubali wanakuja juu ila hoja hawana. Ila huyu mzee amejiaibisha sana, sasa zile swaga zake kwenye media watu watazidharau kabisa. Hata mimi sasa simuamini kwa lolote, hata hapo MNH naona limewekwa janga tu angefukuzwa tu hata huo ukurugenzi MNH maana kadanganya kwenye CV...muongo ndo jina rahisi.
Shida yetu watanzania wengi...Sijui kwanini hatutaki kuwa authentic....Ukiona watu wanadanganya hadharani hata Kwa hizo honorary degrees nakuzifanya kuwa kama vile ndizo ujue tunatatizola kimaadili na kujiamini kama taifa...Ni karibu sehemu zote kwakua tunatukuza sana Vyeti kuliko ujuzi...Chati lazima kithibituke na ujuzi vyote Kwa pamoja vinakupatia uhalisia wako.

Kuna haja kama taifa kuli address hili maana tutashindwa kuaminika kimataifa
 
Hivi wewe kwa akili yako, kuna chuo kikuu hapa kwetu ambacho kinaweza kumpa mtu cheo cha mhadhiri (lecturer) na mtu huyo akapanda vyeo hadi kuwa profesa, bila kuwa na elimu ya MMed or equivalent? Yaani unaamini chuo kikuu chetu cha udaktari (MUHAS) kilifanya hivyo kwa Dr Janabi? Kama ni hivyo basi kinapaswa kufutwa kwenye orodha ya vyuo vikuu nchini na duniani.

Tatizo lako ni kwamba hujui kuwa MMed ni equivalent to PhD degree. Terminology ya MMed ni ya hapa kwetu tu, kwingineko duniani hakuna neno kama hilo, kuna PhD tu.
Mmed sio equivalent na PhD ..
 
Mara baada ya Rais Samia kutangaza kumpigia debe Professor Janabi ili kuiwakilisha Tanzania kwenye kinyang'anyiro cha ukurugenzi mkuu wa WHO kanda ya Afrika, watu wenye akili kubwa ikabidi waingie chimbo kufukua file lenye kubeba wasifu mbali mbali kumhusu Profesa Mohamed Janabi ili kuona ana kipi cha kielimu na kisayansi, na sasa imekuja kugundulika kuwa, kumbe mwamba hakuwahi kusomea udaktari bingwa wowote (Mmed) achilia mbali udaktari bingwa wa moyo (Cardiologist) na wala hana sifa zozote stahiki za kibingwa kutibu moyo.

Na kwa mifumo ya mamlaka za usimamizi wa fani ya utabibu hapa Tanzania (Medical Council of Tanganyika), daktari asiyekuwa na sifa za kibingwa za fani huzika haruhusiwi kutoa matibabu ya kibingwa moja kwa moja kwa mgonjwa, na kwa tafsiri ya moja kwa moja, Professor Janabi hakuwahi popote moja kwa moja kutibu kibingwa moyo, na kama aliwahi kufanya hivyo anastahili kushtakiwa kwenye baraza la madaktari kwa kutenda kosa la kimaadili katika fani ya udaktari.

Hapa chini nimeambanisha wasifu wa Professor Janabi wa kidaktari unaotambulika na mamlaka za usimamizi wa taaluma ya udaktari hapa Tanzania (MCT).

Mwisho kabisa, MCT wanatakiwa kutoa maelezo kwa umma, kwa hicho ulichowahi kusomea Professor Jababi (Masters of tropical health) ambacho hakina sifa yoyote ya udaktari bingwa wa moyo (maana mhitimu yoyote wa fani ya afya anaweza kusomea), kinampaje sifa mhusika kuwa daktari bingwa wa moyo?

NOTE:
Daktari bingwa mbombezi (kama daktari bingwa wa moyo) yoyote mwenye sifa stahiki za kutambulika na baraza la madaktari la Tanganyika (MCT) ni lazima utambulisho wake kwenye ukurasa rasmi wa MCT (Professional Profile status) usomeke SUPER SPECIALIST DOCTOR. Kwa Professor Janabi hakuna hicho kitu.

View attachment 3173753
Aisee
 
Ww mweusi?? Hebu huko...kwani kitengo cha moyo cha JK ni hospital nzima? Kama ni mkurugenzi hospital nzima ni sawa pia..
Mnajikutaga mnajua kumbe hamna lolote..
Hivi unakielewa hata ulicho kiandika!?
Leta ushahidi kama anafany JK kwa sasa kama mkurugenzi.
Mashabiki wa janabi, leteni huo ushahidi janabi ni daktari bingwa wa magonjwa ya moyo na anapractice vipi hiyo taaluma huku hatambuliki labda ashakutibu moyo tupe ushahidi.
 
Back
Top Bottom