Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Hilo dude (Phd Bioregulatory medical science) ndio uchafu mtupu, ndio maana hata yeye mwenyewe Janabi kaogopa kabisa kuliweka kwenye CV yake aliyoileta soon mitandaoni baada ya wakuda kumchana live, kwa sasa anasema hajasomea hilo badala yake kasomea Phd ya Cardiology! Sasa MCT wamemuumbua kwa kumkana, wanasema Phd yake ni ya hilo dude ambalo halihusiki popote kutibu mgonjwa, sembuse mgonjwa wa moyo.
Huyu mzee janja2 sana ndo maana alikuwa anajificha kwenye kichaka cha media kila siku kudraw attention, mara usile hiki mara lala mzungu wa 4 na mkeo wiki ya kwanza. Kumbe mweupe tu kwenye mambo ya moyo.
 
Tanzania ndio ilivyo uyo ni mtu wa system kubebwa ni lazima tu uwe na elimu usiwe na elimu utakula shavu tu

Ingawa sector ambayo naamini haijaingiliwa ni ya afya hvyo yawezekana kweli professor yupo vizuri but siasa ndio zinamchafua.
Ukizingatia kazi Maalum alizowahi kufanya.....ni lazima tuu apewe shavu lake.

Kwa kifupi mimi ninamkubali sana Janabi tokea mwanzo,hta km moja ya kazi zake maalum zinaniuma saana.
Public awareness kuhusu Afya ni Kazi saafi saana ya Janabi kwa Taifa letu.

All the best Dr Janabi.
 
Mjadala huu wote ni kwasababu jina lake halisi ni Mohamed, humu JF sikuhizi kuna tatizo fulani la kumuangalia mtu utendaji wake kwa misingi ya kibaguzi.

kuanzia Rais, na watendaji wengine wote wanapitia changamoto hiyo!!!

Na yanafanyika haya kwa lengo maalumu.
 
Pale taasisi ya moyo ya Jakaya kikwete kuna tapeli mmoja anaitwa Prof Ny........ yule jamaa jamaa ni tapeli ana clinic zake za kitapeli morogoro.Kuna jambo alilifanya nitakuja kuliweka humu hadharani siku moja
Huyo mwamba naye sijui ana connection sana?
Alishawahi kuongelewa kwenye mitandao (ikiwemo JF) kuwa ana elimu ya magumashi kwenye hayo mambo ya moyo. Inasemekana wagonjwa wengi walikufa kwa ubabaishaji wake kuanzia Mbeya hadi Morogoro.
 
Mjadala huu wote ni kwasababu jina lake halisi ni Mohamed, humu JF sikuhizi kuna tatizo fulani la kumuangalia mtu utendaji wake kwa misingi ya kibaguzi.

kuanzia Rais, na watendaji wengine wote wanapitia changamoto hiyo!!!

Na yanafanyika haya kwa lengo maalumu.
Sio kweli. Watu walio objective wanaangalia facts tu. Hayo mambo ya majina labda yako kichwani kwako wewe. Mbona usomi wa Dr Bilali (former VP) au shangazi Fatmah Karume, hautiliwi shaka hata kidogo?
 
Me mwenyewe nimehitimu MUHAS ila kulinganisha elimu ya sekta ya afya ya urusi na Tanzania ni kukosa heshima
Huyo Zanzibar-ASP anajitia uchizi wakati yeye ni timamu.
Wale jamaa wako.mbali mno.
Mpaka sasa hapo MNH hawajafanikiwa kutengeneza vaccine ya Covid-19 hao jamaa walitengeneza chap mara moja.
 
Huyo Zanzibar-ASP anajitia uchizi wakati yeye ni timamu.
Wale jamaa wako.mbali mno.
Mpaka sasa hapo MNH hawajafanikiwa kutengeneza vaccine ya Covid-19 hao jamaa walitengeneza chap mara moja.
Hakuna mtu anasema Urusi, China au India wako nyuma katika sayansi ya Afta na tiba. Wametuzidi mbali sana. Lakini linapokuja suala la kumfundisha kijana kutoka Tanzania ili kuja kuwa Daktari bora hapo tumewatangulia mnoo. Mfumo wao umeegemea kumfanya mwanafunzi kusikiliza, kusoma na KUTAZAMA (Listen,Read and observe) wakati kwa Tanzania mfumo umejikita zaidi kwenye kusikiliza, kusoma, kutazama, KUFANYA, KUFANYA, KUFANYA.....
 
Unajua Maana Ya Fellowship??
🤣🤣
Unajua Kuna Wakati kuna Maswala tuyaache tu..
Mmed Za janab zote unazijua??

Angewezaje kusoma Msc Bila Kusoma Mmed?
Sio Vyote Vinaandikwa MCT..
Kasoma MMED internal medicine hapo hapo University of Queensland in Australia Mwaka 1996 ndo alimaliza..
Fellowship alifanya na Cardiology..

Fellowship Kafanya kutoka Fellow American College of Cardiology (FACC) mwaka 1996/97 Mpaka 98

Internal Medicine and Molecular Science, Graduated in School of Medicine Osaka University Hospital Osaka, Japan 2000 (Post Doctorate)

Bergen University Norway Cardiology Department
and Medical University of South Carolina-USA Clinical attachment ya mwaka 2005
Kwa hichi ulichoandka hapa,w sio dr
Futa hyo prefix huna unachokijua
Znzibar ASP cmjui ila anachoongea n very right
Acha kuvamia profession za watu
 
Unachanganya mambo.
Wahitimu wote wa udaktari waliosoma ndani na nje ya nchi utawakuta hospitali za umma na binafsi, mijini na vijijini, hivyo kuzorota kwa huduma kokote hakuna uhusiano wowote wa kuweza kuwatofautisha, ni tatizo la mifumo.
Safi
 
Mkuu, kwa kuwa unajitambulisha kwa Jina la Dr Mambo Jambo, naomba kuuliza swali kutokana na ulichoandika. Je, Fellowship ya Moyo peke yake, inatosha kumfanya Daktari yoyote kuwa DaktrBingwa wa Magonjwa ya Moyo?

Zaidi, unaweza kutueleza sifa za Kitaaluma za Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo?

Itapendeza kunipatia majibu ya maswali haya na kufanya huu mjadala kuwa na tija zaidi.
Akikujibu niire mbwa
 
Back
Top Bottom