Ni kweli Luteni Urio alitoa taarifa ya tukio au baada ya kushtukiwa mpango wake akawageuka?

Ni kweli Luteni Urio alitoa taarifa ya tukio au baada ya kushtukiwa mpango wake akawageuka?

NewPage

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2021
Posts
1,321
Reaction score
2,106
Kuna kila dalili Luteni Urio alikuwa na mpango wa kula hela za Mbowe kupitia wale vijana na wakati huo huo alikuwa na matarajio kuwa CHADEMA ingeshinda angepata ukubwa Jeshini. Hilo lina asilimia kubwa ya ukweli.

Luteni Urio baada ya kuona mambo yamebadilika aliamua kugeuka ingawa inavyosemwa kugeuka kwake kulikuwa ni baada ya muda mrefu sana sana na hata maelezo yake yalibandikwa tarehe ingine ya nyuma ili kuyahalalisha.

Za chini chini zinaonesha kuwa Urio alikuwa ni mpenzi mkubwa na wa kweli wa CHADEMA na hata kadi anayo. Lakini baada ya kuonesha huo ushabiki wake wa wazi wazi alishtukiwa na Mwajiri wake na Serikali pia na ndiyo maana alichobaki nacho ni kuendelea kujitetea ili asipoteze ugali wake.

Haya niliyoyaandika yatajitokeza mara pale Jaji atakapotamka kuwa akina Mbowe wana kesi ya kujibu na wao kuanza kujitetea.

Haya yanaweza tu kubaki tetesi iwapo Jaji ataamua kuwa washtakiwa hawana kesi ya kujibu kwani mchezo ndiyo utakuwa umeishia hapo!
 
...
Haya niliyoyaandika yatajitokeza mara pale Jaji atakapotamka kuwa akina Mbowe wana kesi ya kujibu na wao kuanza kujitetea.
..
... mambo ya sheria sio mchezo! Hivi so far kinachotafutwa ni kuona kama Mbowe na wenzie wana kesi ya kujibu au la? Duh!
 
Mimi nina hasira na goodluck Kingai jumanne swila Mahita na msekwa. Hawa wameua ndugu zetu hawawezi kujikausha hivi hata kwa shiriki wajue tupo front kwa mparange tutawafikisha
Je ulikuwepo siku ya tukio?

Ulikuwa wapi mpaka umesubiri hii kesi ndio uanze kupayuka uongo wako?

Acheni kuwa mnaongea vitu ambavyo kama sio Jamiiforums kukukingia kifua.
Ukibanwa ueleze uhalisia na uthibitisho utabaki kukodoa tu.

Muigeni Saed Kubenea yeye amekusanya ushahidi na amefungua kesi mahakamani dhidi ya Paul Makonda.

Sasa nyinyi wangese mnakaa kupost ujinga kisa tu unamiliki smartphone na ni member wa Jamiiforums.
 
Je ulikuwepo siku ya tukio?

Ulikuwa wapi mpaka umesubiri hii kesi ndio uanze kupayuka uongo wako?

Acheni kuwa mnaongea vitu ambavyo kama sio Jamiiforums kukukingia kifua.
Ukibanwa ueleze uhalisia na uthibitisho utabaki kukodoa tu.

Muigeni Saed Kubenea yeye amekusanya ushahidi na amefungua kesi mahakamani dhidi ya Paul Makonda.

Sasa nyinyi wangese mnakaa kupost ujinga kisa tu unamiliki smartphone na ni member wa Jamiiforums.
Tunakwenda ndio mahakamani kwani umesikia nataka kuwakaba shingo zao? Au we ndio Kingai mwenyewe basi subito zamu yako mkuu acha ungese
 
Mimi nina hasira na goodluck Kingai jumanne swila Mahita na msekwa. Hawa wameua ndugu zetu hawawezi kujikausha hivi hata kwa shiriki wajue tupo front kwa mparange tutawafikisha
Goodluck Minja
---- Kingai
Jumanne---

--- Swila
Mahita Omari Mahita
Msekwa----

Ninaomba majina yao angalao matatu tu tuwafuatilia kwa nia njema ya kuitetea jamhuri na uhai wa watu wake
 
Mimi nafikiri Mbowe na Urio walikuwa washikaji na ni kweli Mbowe alimwambia Uruo amtafutie walinzi ila inaonekana serekali ilianza kufuatilia mawasiliano ya Mbowe ndipo wakakuta kuna mawasiliano kati ya Mbowe na Urio ndipo polisi wakambananisha Urio wakamtumia kama mamluki wakatengeneza kesi.
 
Je ulikuwepo siku ya tukio?

Ulikuwa wapi mpaka umesubiri hii kesi ndio uanze kupayuka uongo wako?

Acheni kuwa mnaongea vitu ambavyo kama sio Jamiiforums kukukingia kifua.
Ukibanwa ueleze uhalisia na uthibitisho utabaki kukodoa tu.

Muigeni Saed Kubenea yeye amekusanya ushahidi na amefungua kesi mahakamani dhidi ya Paul Makonda.

Sasa nyinyi wangese mnakaa kupost ujinga kisa tu unamiliki smartphone na ni member wa Jamiiforums.
Mkuu mbona Ni Kama umepigwa na kitu kizito kwenye jinsia.
 
Je ulikuwepo siku ya tukio?

Ulikuwa wapi mpaka umesubiri hii kesi ndio uanze kupayuka uongo wako?

Acheni kuwa mnaongea vitu ambavyo kama sio Jamiiforums kukukingia kifua.
Ukibanwa ueleze uhalisia na uthibitisho utabaki kukodoa tu.

Muigeni Saed Kubenea yeye amekusanya ushahidi na amefungua kesi mahakamani dhidi ya Paul Makonda.

Sasa nyinyi wangese mnakaa kupost ujinga kisa tu unamiliki smartphone na ni member wa Jamiiforums.
Pumbavu mavi ya kuku wewe huna huruma na waliouawa kwa vile sio nduguzo siyo?
Au labda wee ni mmoja wao!
Vyombo vya dola havitaki kufanya kazi! Hata Makonda ni Marekani waliomuumbua na yale maumbavu aliyotenda clouds! kama sivyo angedunda tu!
Sabaya kama siyo wajanja wa huko kupiga kelele ingekuwaje!
watu wanatekwa wanauawa wanateswa wanatupwa mtoni na baharini halafu unakalia kutisha wenzio. Ni hivi tunataka majina yao matatu ama sivyo dola ichukue hatua!
Erick Kabendera amemkumbuka Goodluck! Tito Magoti amemkumbuka jumanne!
Acha dola ya wananchi itende kazi!! kama wewe ndiye hao wapendwa karibu gheto!!
 
Je ulikuwepo siku ya tukio?

Ulikuwa wapi mpaka umesubiri hii kesi ndio uanze kupayuka uongo wako?

Acheni kuwa mnaongea vitu ambavyo kama sio Jamiiforums kukukingia kifua.
Ukibanwa ueleze uhalisia na uthibitisho utabaki kukodoa tu.

Muigeni Saed Kubenea yeye amekusanya ushahidi na amefungua kesi mahakamani dhidi ya Paul Makonda.

Sasa nyinyi wangese mnakaa kupost ujinga kisa tu unamiliki smartphone na ni member wa Jamiiforums.
Duh

Ova
 
Mimi nafikiri Mbowe na Urio walikuwa washikaji na ni kweli Mbowe alimwambia Uruo amtafutie walinzi ila inaonekana serekali ilianza kufuatilia mawasiliano ya Mbowe ndipo wakakuta kuna mawasiliano kati ya Mbowe na Urio ndipo polisi wakambananisha Urio wakamtumia kama mamluki wakatengeneza kesi.
Ni kweli mkuu! Sabaya waliogopa mziki wa akina adamoo! wakatumie mandata
 
Mimi nina hasira na goodluck Kingai jumanne swila Mahita na msekwa. Hawa wameua ndugu zetu hawawezi kujikausha hivi hata kwa shiriki wajue tupo front kwa mparange tutawafikisha
Kati ya hao kuna adui yangu mkubwa...sisemi chochote muda utasema
 
... mambo ya sheria sio mchezo! Hivi so far kinachotafutwa ni kuona kama Mbowe na wenzie wana kesi ya kujibu au la? Duh!
Yah ndo kinachotafutwa ... Wasipokutwa na kesi ya kujibu ndo basi tena.
Mpaka sasa kuna mashtaka yameshajiua yenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom