Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Kwani mbatizaji ma ukurasa mpya mnahusikaje na mchongo huu wa akina urio , badluck &co🤔,ni swali TU wajameni!Mbatizaji always una akili sana! Huwezi shindwa kunielewa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mbatizaji ma ukurasa mpya mnahusikaje na mchongo huu wa akina urio , badluck &co🤔,ni swali TU wajameni!Mbatizaji always una akili sana! Huwezi shindwa kunielewa!
Nakupata vemaKingai, Jumanne, Mahita, Goodluck, wote walikua ni kutoka polisi Arusha ambako Sabaya ndiyo base yake iliko. Sabaya ndiye aliye organise huu mchongo, na hakutaka kutumia polisi wa Moshi kwa sababu hakuwa na good terms na Polisi Moshi (Kilimanjaro).
Kumbuka yule RPC aliyekua Kilimanjaro ambaye sasa ni Mkurugenzi wa TAKUKURU, alimkatalia wazi kabisa juu ya tuhuma alizozitunga Sabaya kwa wamiliki wa mabasi ya Lim Safaris na Machame Safaris, kuhusu kuharibu miundo mbinu ya Reli. Ulikua ni mchongo wa Sabaya kuwatuhumu uongo wafanyabiashara wale.
Kutokana na kutokua vizuri na Polisi Kilimanjaro, aliamua kutumia polisi wa Arusha ambako yuko nao vizuri na ndiko vilikua viwanja vyake na amekulia huko akiwa UVCCM.
Ilitosha hapo hapo alivyomkana baba yake manake Kibatala alitamani amkane na si vinginevyo!Hivi ni kweli alimkana baba yake mdogo,, kwaninj kibatala hakumkomalia hapo?
Kwani tumefanyaje?Kwani mbatizaji ma ukurasa mpya mnahusikaje na mchongo huu wa akina urio , badluck &co🤔,ni swali TU wajameni!
Wewe kumwelewa kinyonga mbatizaji, kwani hachelewi kukuambia umemnukuu vibaya🤔.Kwani tumefanyaje?
Siyo kwamba yeye ndiyo kanielewa?Wewe kumwelewa kinyonga mbatizaji, kwani hachelewi kukuambia umemnukuu vibaya🤔.
Basi mmelewana.Siyo kwamba yeye ndiyo kanielewa?
Hakika! Acha ikae hivyo hivyo!Basi mmelewana.
Mahakamani kufanya nini?Mahakamani kupoteza mudaGoodluck Minja
---- Kingai
Jumanne---
--- Swila
Mahita Omari Mahita
Msekwa----
Ninaomba majina yao angalao matatu tu tuwafuatilia kwa nia njema ya kuitetea jamhuri na uhai wa watu wake
Umemaliza kila kitu mkuuKingai, Jumanne, Mahita, Goodluck, wote walikua ni kutoka polisi Arusha ambako Sabaya ndiyo base yake iliko. Sabaya ndiye aliye organise huu mchongo, na hakutaka kutumia polisi wa Moshi kwa sababu hakuwa na good terms na Polisi Moshi (Kilimanjaro).
Kumbuka yule RPC aliyekua Kilimanjaro ambaye sasa ni Mkurugenzi wa TAKUKURU, alimkatalia wazi kabisa juu ya tuhuma alizozitunga Sabaya kwa wamiliki wa mabasi ya Lim Safaris na Machame Safaris, kuhusu kuharibu miundo mbinu ya Reli. Ulikua ni mchongo wa Sabaya kuwatuhumu uongo wafanyabiashara wale.
Kutokana na kutokua vizuri na Polisi Kilimanjaro, aliamua kutumia polisi wa Arusha ambako yuko nao vizuri na ndiko vilikua viwanja vyake na amekulia huko akiwa UVCCM.
Wacha kuogopesha watu... Zama za mfu Magufuli zakuogopesha watu zimepitwa na wakati.....Ukibanwa ueleze uhalisia na uthibitisho utabaki kukodoa tu
Muhimu sana... Ipo siku watakuja kulipia haya yote waliyoyafanya..Goodluck Minja
---- Kingai
Jumanne---
--- Swila
Mahita Omari Mahita
Msekwa----
Ninaomba majina yao angalao matatu tu tuwafuatilia kwa nia njema ya kuitetea jamhuri na uhai wa watu wake
Acheni kuwa mnaongea vitu ambavyo kama sio Jamiiforums kukukingia kifua.
Ukibanwa ueleze uhalisia na uthibitisho utabaki kukodoa tu
Kwani wachagga wote wakiwa na kadi ya Chadema kuna shida gani? Mbona wanafiki wote na wajinga wote wana kadi za ccm?Hakuna Mchagga asiye na Kadi ya chadema
Una uhakika kuhusu la Kubenea na Bashite?Je ulikuwepo siku ya tukio?
Ulikuwa wapi mpaka umesubiri hii kesi ndio uanze kupayuka uongo wako?
Acheni kuwa mnaongea vitu ambavyo kama sio Jamiiforums kukukingia kifua.
Ukibanwa ueleze uhalisia na uthibitisho utabaki kukodoa tu.
Muigeni Saed Kubenea yeye amekusanya ushahidi na amefungua kesi mahakamani dhidi ya Paul Makonda.
Sasa nyinyi wangese mnakaa kupost ujinga kisa tu unamiliki smartphone na ni member wa Jamiiforums.
Tehe tehe!Kwani wachagga wote wakiwa na kadi ya Chadema kuna shida gani? Mbona wanafiki wote na wajinga wote wana kadi za ccm?
Wewe ni mpumbavuHakuna Mchagga asiye na Kadi ya chadema
Acha ike hivyo hivyo!Wewe ni mpumbavu
Yaani! Acha ikae hivyo hivyo!... mambo ya sheria sio mchezo! Hivi so far kinachotafutwa ni kuona kama Mbowe na wenzie wana kesi ya kujibu au la? Duh!
Mbona umemwacha Urio?Mahakamani kufanya nini?Mahakamani kupoteza muda
KINGAI
JUMANNE
MAHITA
GOODLUCK
Wanatakiwa kurogwa !