Ni kweli Luteni Urio alitoa taarifa ya tukio au baada ya kushtukiwa mpango wake akawageuka?

Nakupata vema
 
Hivi ni kweli alimkana baba yake mdogo,, kwaninj kibatala hakumkomalia hapo?
Ilitosha hapo hapo alivyomkana baba yake manake Kibatala alitamani amkane na si vinginevyo!
 
Goodluck Minja
---- Kingai
Jumanne---

--- Swila
Mahita Omari Mahita
Msekwa----

Ninaomba majina yao angalao matatu tu tuwafuatilia kwa nia njema ya kuitetea jamhuri na uhai wa watu wake
Mahakamani kufanya nini?Mahakamani kupoteza muda
KINGAI
JUMANNE
MAHITA
GOODLUCK
Wanatakiwa kurogwa !
 
Umemaliza kila kitu mkuu
 
Goodluck Minja
---- Kingai
Jumanne---

--- Swila
Mahita Omari Mahita
Msekwa----

Ninaomba majina yao angalao matatu tu tuwafuatilia kwa nia njema ya kuitetea jamhuri na uhai wa watu wake
Muhimu sana... Ipo siku watakuja kulipia haya yote waliyoyafanya..
 
Una uhakika kuhusu la Kubenea na Bashite?

Yaani unamponda mwenzako kwamba hana ushahidi huku unasema ya Kubenea bila uthibisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…