Ni kweli madirisha ya PVC white hayafai mikoa ya joto kama Dar?

Ni kweli madirisha ya PVC white hayafai mikoa ya joto kama Dar?

Nafikiri unazungumzia madirisha ya uPVC na sio PVC! Kuna utofauti mkubwa kati ya PVC (Poly Vinyl Chloride) na uPVC (unplasticized Poly Vinyl Chrolide).

Kwanza tambua uPVC ni material ngumu sana, na haijikunji kirahisi kama PVC, ndio maana uPVC inakuwa recommended kwa ajili ya frame za milango na madirisha.


Kwahiyo kukuweka sawa tu, unazungumzia madirisha ya uPVC.

Kuhusu ubora na madhara katika mazingira ya Joto.

Kwa kifupi madirisha ya uPVC ni bora kuliko madirisha ya aluminium hasa katika mazingira ya joto kwa sababu zifuatazo:-

1. Madirisha ya uPVC yana high temperature insulation kwa hiyo yana good temperature preservation Mara 1000 zaidi ya aluminium windows. Kwa mantiki hiyo chumba chenye dirisha la Aluminium kinakuwa na kiwango kikubwa cha joto kuliko dirisha la frame ya uPVC.


2. Wakati wa janga la moto dirisha la uPVC halishiki moto kwa urahisi zaidi na material yake yana uwezo wa kupunguza au kuuzia moto kabisa katika frame kwasababu limengenezwa na material inayolifanya kuwa na good combustion - retarding performance.


3. Lina himili mazingira yoyote kama ubaridi, joto hata upepo bila kuhafifisha mwonekano wake (kifupi ni imara kwa mazingira tofauti tofauti) mfano mzuri ni bomba za uPVC za maji zinafukiwa ardhini na zinauwezo wa kukaa zaidi ya miaka 25. Aluminium window ikipigwa na jua baada ya muda inahafifisha muonekano wake.


4. Lakini pia uPVC inasaidia kuzuia sauti kupita kutoka sehem moja kwenda nyingine (ina sound insulation ), ndio maana Mara nyingi zinatumiwa sana kwenye office partitions.


5. Kuhusu kutanuka wakati wa joto ni kweli ina inatanuka (expand) na sio kujikunja (bending); lakini hii inatokea hata kwa dirisha la aluminium si uPVC peke yake. Hata hivyo madirisha ya uPVC yanatanuka zaidi katika nyuzi joto kuanzia 40°C, (hivyo si rahisi kwa Dar joto kufika 40°C kwa zaidi ya masaa 6). Vile vile joto likipungua dirisha linarudi katika hali yake ya awali. Kumbuka kutanuka kunatokea pia kwenye madirisha ya aluminium.

Je kuna madhara ya kutanuka kwa dirisha la uPVC kutokana na joto?

Binafsi naweza kusema, sio madhara ya kumfanya mtu asiyatumie; utafauti utauona pale unapofunga dirisha unaweza kuhisi kuna ugumu fulani (kama ni slidding window, utahisi haiko smooth kwenye reli zake) lakini inafunga vizuri na bila shida, hata hivyo joto likipungua dirisha linakuwa vizuri. Vile vile sio rahisi hiyo hali kutokea maana ni vigumu joto la zaidi ya 40°C kudumu zaidi ya masaa 6.

Kwa maelezo hayo; jiridhishe kama ni uPVC, binafsi nakushauri kutumia.

Naomba kuwasilisha
Mkuu nashukuru sana kwa clarification...
umenisaidia sana sana.....
Mungu akubariki.
 
Nafikiri unazungumzia madirisha ya uPVC na sio PVC! Kuna utofauti mkubwa kati ya PVC (Poly Vinyl Chloride) na uPVC (unplasticized Poly Vinyl Chrolide).

Kwanza tambua uPVC ni material ngumu sana, na haijikunji kirahisi kama PVC, ndio maana uPVC inakuwa recommended kwa ajili ya frame za milango na madirisha.


Kwahiyo kukuweka sawa tu, unazungumzia madirisha ya uPVC.

Kuhusu ubora na madhara katika mazingira ya Joto.

Kwa kifupi madirisha ya uPVC ni bora kuliko madirisha ya aluminium hasa katika mazingira ya joto kwa sababu zifuatazo:-

1. Madirisha ya uPVC yana high temperature insulation kwa hiyo yana good temperature preservation Mara 1000 zaidi ya aluminium windows. Kwa mantiki hiyo chumba chenye dirisha la Aluminium kinakuwa na kiwango kikubwa cha joto kuliko dirisha la frame ya uPVC.


2. Wakati wa janga la moto dirisha la uPVC halishiki moto kwa urahisi zaidi na material yake yana uwezo wa kupunguza au kuuzia moto kabisa katika frame kwasababu limengenezwa na material inayolifanya kuwa na good combustion - retarding performance.


3. Lina himili mazingira yoyote kama ubaridi, joto hata upepo bila kuhafifisha mwonekano wake (kifupi ni imara kwa mazingira tofauti tofauti) mfano mzuri ni bomba za uPVC za maji zinafukiwa ardhini na zinauwezo wa kukaa zaidi ya miaka 25. Aluminium window ikipigwa na jua baada ya muda inahafifisha muonekano wake.


4. Lakini pia uPVC inasaidia kuzuia sauti kupita kutoka sehem moja kwenda nyingine (ina sound insulation ), ndio maana Mara nyingi zinatumiwa sana kwenye office partitions.


5. Kuhusu kutanuka wakati wa joto ni kweli ina inatanuka (expand) na sio kujikunja (bending); lakini hii inatokea hata kwa dirisha la aluminium si uPVC peke yake. Hata hivyo madirisha ya uPVC yanatanuka zaidi katika nyuzi joto kuanzia 40°C, (hivyo si rahisi kwa Dar joto kufika 40°C kwa zaidi ya masaa 6). Vile vile joto likipungua dirisha linarudi katika hali yake ya awali. Kumbuka kutanuka kunatokea pia kwenye madirisha ya aluminium.

Je kuna madhara ya kutanuka kwa dirisha la uPVC kutokana na joto?

Binafsi naweza kusema, sio madhara ya kumfanya mtu asiyatumie; utafauti utauona pale unapofunga dirisha unaweza kuhisi kuna ugumu fulani (kama ni slidding window, utahisi haiko smooth kwenye reli zake) lakini inafunga vizuri na bila shida, hata hivyo joto likipungua dirisha linakuwa vizuri. Vile vile sio rahisi hiyo hali kutokea maana ni vigumu joto la zaidi ya 40°C kudumu zaidi ya masaa 6.

Kwa maelezo hayo; jiridhishe kama ni uPVC, binafsi nakushauri kutumia.

Naomba kuwasilisha
Safi sana. Wengi hatuweki coz we can't afford them. Kusema eti hayavutii au si bora kuliko aluminium ni maneno ya kujipa moyo
 
Wakuu habari ya asubuhi.

Moja kwa moja kwenye mada.Nataka kuweka madirisha ya PVC white daraja la juu kabisa....

but kuna baadhi watu walio wahi kuweka hayo madirisha wananiambia hayafai kwenye mikoa ya joto kama Dar es salaam baada ya muda yanapinda (bend)

tafadhali yyte mwenye uelewa zaidi anaweza kunisaidia kujua ukweli tusije ingia mkenge
the floor is yours

uzi tayari.
Wanaokwambia hivyo ni Aina ya mafundi waliokuwa wanasema usinunue gari automatic transmission ni mbovu
 
Nafikiri unazungumzia madirisha ya uPVC na sio PVC! Kuna utofauti mkubwa kati ya PVC (Poly Vinyl Chloride) na uPVC (unplasticized Poly Vinyl Chrolide).

Kwanza tambua uPVC ni material ngumu sana, na haijikunji kirahisi kama PVC, ndio maana uPVC inakuwa recommended kwa ajili ya frame za milango na madirisha.


Kwahiyo kukuweka sawa tu, unazungumzia madirisha ya uPVC.

Kuhusu ubora na madhara katika mazingira ya Joto.

Kwa kifupi madirisha ya uPVC ni bora kuliko madirisha ya aluminium hasa katika mazingira ya joto kwa sababu zifuatazo:-

1. Madirisha ya uPVC yana high temperature insulation kwa hiyo yana good temperature preservation Mara 1000 zaidi ya aluminium windows. Kwa mantiki hiyo chumba chenye dirisha la Aluminium kinakuwa na kiwango kikubwa cha joto kuliko dirisha la frame ya uPVC.


2. Wakati wa janga la moto dirisha la uPVC halishiki moto kwa urahisi zaidi na material yake yana uwezo wa kupunguza au kuuzia moto kabisa katika frame kwasababu limengenezwa na material inayolifanya kuwa na good combustion - retarding performance.


3. Lina himili mazingira yoyote kama ubaridi, joto hata upepo bila kuhafifisha mwonekano wake (kifupi ni imara kwa mazingira tofauti tofauti) mfano mzuri ni bomba za uPVC za maji zinafukiwa ardhini na zinauwezo wa kukaa zaidi ya miaka 25. Aluminium window ikipigwa na jua baada ya muda inahafifisha muonekano wake.


4. Lakini pia uPVC inasaidia kuzuia sauti kupita kutoka sehem moja kwenda nyingine (ina sound insulation ), ndio maana Mara nyingi zinatumiwa sana kwenye office partitions.


5. Kuhusu kutanuka wakati wa joto ni kweli ina inatanuka (expand) na sio kujikunja (bending); lakini hii inatokea hata kwa dirisha la aluminium si uPVC peke yake. Hata hivyo madirisha ya uPVC yanatanuka zaidi katika nyuzi joto kuanzia 40°C, (hivyo si rahisi kwa Dar joto kufika 40°C kwa zaidi ya masaa 6). Vile vile joto likipungua dirisha linarudi katika hali yake ya awali. Kumbuka kutanuka kunatokea pia kwenye madirisha ya aluminium.

Je kuna madhara ya kutanuka kwa dirisha la uPVC kutokana na joto?

Binafsi naweza kusema, sio madhara ya kumfanya mtu asiyatumie; utafauti utauona pale unapofunga dirisha unaweza kuhisi kuna ugumu fulani (kama ni slidding window, utahisi haiko smooth kwenye reli zake) lakini inafunga vizuri na bila shida, hata hivyo joto likipungua dirisha linakuwa vizuri. Vile vile sio rahisi hiyo hali kutokea maana ni vigumu joto la zaidi ya 40°C kudumu zaidi ya masaa 6.

Kwa maelezo hayo; jiridhishe kama ni uPVC, binafsi nakushauri kutumia.

Naomba kuwasilisha
Mkuu asante sana umeeleza kitaalamu safi sana hadi umenibadilisha mawazo ya aluminium ndiyo nilikuwa nikanunue mara baada ya kibubu changu kujaa ila sasa nitajinyima niweke Upvc!!
 
Wakuu habari ya asubuhi.

Moja kwa moja kwenye mada.Nataka kuweka madirisha ya PVC white daraja la juu kabisa....

but kuna baadhi watu walio wahi kuweka hayo madirisha wananiambia hayafai kwenye mikoa ya joto kama Dar es salaam baada ya muda yanapinda (bend)

tafadhali yyte mwenye uelewa zaidi anaweza kunisaidia kujua ukweli tusije ingia mkenge
the floor is yours

uzi tayari.
Ni madirisha expensive sana, ila hawa wengi tunaoyasemea ubaya ni kwa sababu wengi hatuna nyumba na pia kuna kikundi kikubwa kimejiunga JF kina majibu ya hovyo hovyo ila basi waonekane wamechangia uzi
 
Yaonekana ndio umeanza kujenga ujenzi wa uzeeni unatabu sana tofautisha kati ya upvc na pvc kwanza sawa
Nyie watoto wa matajiri hamna adabu, wewe kuzaliwa tu ukajikuta tayari umefunguliwa akaunti ya bilioni mbili na umefika chuo una bilioni nane na kamjengo ka ghorofa basi unaanza kukejeri watu! Kosa babayo kuwa tajiri ungeijua dunia upande wa pili.
 
Huku kwetu Kasulu unayaweka meupe yanageuka yanakuwa nyekundu
 
Nyie watoto wa matajiri hamna adabu, wewe kuzaliwa tu ukajikuta tayari umefunguliwa akaunti ya bilioni mbili na umefika chuo una bilioni nane na kamjengo ka ghorofa basi unaanza kukejeri watu! Kosa babayo kuwa tajiri ungeijua dunia upande wa pili.
Na kosa zaidi Baba yake utajiri wenyewe kaupata baada kuiba Mali ya Umma!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu tafuta mafundi wakupe experience zao, hapa utajibiwa majibu ya kukera!!

Ila ushauri wangu tumia aluminum mm nilishauriwa na fundi kutumia aluminum na sio fibres au PVC
Kwani hapa hakuna mafundi mkuu?
 
Back
Top Bottom