Ni kweli mafuta ya alizeti hayana mwisho wa matumizi?

Ni kweli mafuta ya alizeti hayana mwisho wa matumizi?

Lanlady

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2019
Posts
1,836
Reaction score
6,303
Kuna mtu kanunua mafuta ya alizeti, akauliza 'expire date' akaambiwa hayana 'expire date'. Kwamba ni kama asali.

Je, kweli? Kwani baadhi ya 'package' za bidhaa hiyo haionesho mwisho wa matumizi. Na nyingine inaonesha lakini tayari imeshapita japo bado iko sokoni!

Naomba kwa anayejua anisaidie!
 
Kuna mtu kanunua mafuta ya alizeti, akauliza 'expire date' akaambiwa hayana 'expire date'.
Kwamba ni kama asali.
Je, kweli? Kwani baadhi ya 'package' za bidhaa hiyo haionesho mwisho wa matumizi.
Na nyingine inaonesha lakini tayari imeshapita japo bado iko sokoni!
Naomba kwa anayejua anisaidie!
Na me nasubil jibu pia
 
Wahuni hao na inawezekana umepigwa tayari, tunasubiri kuona manyoya tu!
 
Kuna mtu kanunua mafuta ya alizeti, akauliza 'expire date' akaambiwa hayana 'expire date'.
Kwamba ni kama asali.
Je, kweli? Kwani baadhi ya 'package' za bidhaa hiyo haionesho mwisho wa matumizi.
Na nyingine inaonesha lakini tayari imeshapita japo bado iko sokoni!
Naomba kwa anayejua anisaidie!
Hilo haliwezekani kuwa kweli.Hayo ndio matatizo ya kuwa kila mtu analima na kukamua mafuta na kuanza kuyauza bila chombo chochote cha serikali kufuatilia.Na hata wanaoweka tarehe ya muda wa matumizi ni kwa kukariri tu,labda mwaka mmoja,kutokana na kuona mwingine ameweka hivyo,lakini anakuwa hana sababu ya kisayansi ya kuweka muda huo.
 
Back
Top Bottom