Ni kweli Makonda ana ' mapungufu ' yake ila kwa hili la ' Kuzushiwa ' kwa kinachomsibu sasa Ruge tunamuonea sana!

Ni kweli Makonda ana ' mapungufu ' yake ila kwa hili la ' Kuzushiwa ' kwa kinachomsibu sasa Ruge tunamuonea sana!

Leo hujaongea mambo ya 'dally kimoko' au ndio 'figo'?

Nimemheshimu sana na namhifadhi mno Mtani wangu huyo wa Kihaya. Leo ni ' Figo ' na la ' Nyuzi ' za ' Dally Kimoko ' naomba lisiwe mjadala na niishie hapa tafadhali.
 
Ningeshangaa sana kama ' Matahaira ' na waliotungiwa Mimba zao ' Chooni ' wasingejitokeza. Huu Uzi GENTAMYCINE ningeuandika kwa Kumsema / Kumnanga Mkuu wa Mkoa Makonda wala msingekuja na ' such comments ' na tena mngemshambulia mno tu, ila kwakuwa mna chuki nae kubwa hivyo hamtaki awe anatendewa haki hata katika mengine ambayo kiukweli hastahili na hahusiki nayo.

Kwa hili nitamtetea Makonda hadi tutakesha hapa.
maneno ya kashfa/matusi hayakusaidii tupe ushaidi wa izo tuhuma kama si kweli

sio kutwambia et nimeambiwa na mtu wa karibu (kwamba yeye hawezi danganya)

ukeshe na nani hapa maana bandiko lako limejaa mahaba kwa makonda ambayo wewe unaita ukweli na haki.

ukweli upi wa kuambiwa, acha kuleta stori za vijiweni hapa
 
sijaona sehemu yoyote yenye ushaidi wa maana naona tu 'nimeambiwa na mtu wa karibu' kwani kuambiwa na mtu wa karibu ndo inafanya kuwa kweli

mara ugonjwa ni siri, hapo hapo unasema anaumwa figo tangu zamani (siri iko wapi)

mara nasimamia kweli na haki, asa kweli gani ikiwa yote niya kuambiwa na wala huna ushaidi wa hayo ya kuambiwa kama ni kweli ama laah.

Kifupi hakuna cha maana ulicho andika
Kama were, hakuna cha maana umejibu hapa
 
Mimi sijui kwakweli..i cant pick a side..!!

Sasa kama umeshasema kuwa hujui kwakweli utawezaje tena kusema kuwa huwezi kuchukua upande? Hivi hii ndiyo ' logical reasoning ' kabisa ya Wasomi wa Kitanzania wa leo?
 
maneno ya kashfa/matusi hayakusaidii tupe ushaidi wa izo tuhuma kama si kweli

sio kutwambia et nimeambiwa na mtu wa karibu (kwamba yeye hawezi danganya)

ukeshe na nani hapa maana bandiko lako limejaa mahaba kwa makonda ambayo wewe unaita ukweli na haki.

ukweli upi wa kuambiwa, acha kuleta stori za vijiweni hapa
Mkuu hata hiki ni kijiwe[emoji16] [emoji16] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Siku zote nitasimama katika ukweli na katikati bila kuwa ' Mnafiki ' au Kumuonea fulani na hivyo ndivyo nitakavyokuwa siku zote. Kwa masikitiko makubwa kabisa nimekuwa nikifuatilia sehemu mbalimbali hasa Mitandoni humu na kujikuta sasa naanza kupata wasiwasi juu ya muelekeo wa Watanzania wengi.

Yaani Watanzania badala ya kuwekeza nguvu zetu nyingi katika Kumuombea Afya Njema Ndugu yetu ( Mtani wangu ) Ruge Mutahaba kutokana na matatizo yake ya ' Figo ' ambayo yanamsumbua kwa Kipindi kirefu tu sasa wengi wetu tumeanza kuhamisha Goli na kuanza ' Kumsingizia ' Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Makonda kwamba amemlisha ' Sumu ' inayomuua taratibu kwakuwa tu inasemekana wana ' Uadui ' japo Mimi GENTAMYCINE naamini kuwa umeshaisha na Wawili hawa wapo vizuri tu.

Najua leo GENTAMYCINE nitawaudhi wale ambao ' wanamchukia ' Mkuu wa Mkoa Makonda kwa sababu zao mbalimbali ila mtanisamehe tu kwakuwa huwa napenda ' Haki ' na ' Usawa ' baina ya Wawili unaochagizwa na ukweli pamoja na uhalisia wa jambo husika.

Nimeona mahala kuna Mtu mmoja ( anayeaminika sana na Watanzania wenye mrengo wa Kushoto ) akisema kwamba hata Bosi Ruge Mutahaba nae pia anaamini na ana uhakika wa 100% kuwa Ugonjwa wake huo unatokana na kuwekewa ' Sumu ' inayomuua taratibu na huyo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Makonda.

Kama ni kweli Mtani wangu Ruge Mutahaba maneno haya ameyasema Yeye basi nitaanza Kumpunguzia ' marks ' zangu za ' Umakini ' ambazo nimemuwekea tokea nianze Kumfahamu kwakuwa ni Mtu mmoja ambaye namkubali sana na hasa kutokana na uwezo wake mkubwa mno wa Ubunifu, Uthubutu na Utendaji Kazi wake. Ila mpaka sasa siamini kama kweli Ruge amesema haya maneno ambayo huyo ' Mtanzania Mghaibuni ' anayaeneza.

Kwa sababu za Kimaadili na hasa kwa taarifa za Afya ya Mtu huwa si desturi nzuri kwa Mtu kuanza ama Kuuzungumzia au hata Kuutaja Ugonjwa wa Mtu lakini hapa niseme tu ya kwamba tatizo hilo la Figo la Ruge Mutahaba halijaanza leo na tena kwa taarifa ambazo nimepewa ni kwamba kumbe hili tatizo la Figo limekuwa likimsumbua Ruge hata kabla Makonda hawaja ama Mkuu wa Wilaya au hivi Mkuu wa Mkoa na nimesikitika na bado naendelea kusikitika kuona sasa anahusishwa nalo.

Hata kama tunamchukia ila tujitahidi muda mwingine kutokuwa ' Wazushi ' mwishowe tukajikuta tunajichumia bure dhambi kwa Mwenyezi Mungu. Muda mwingine tufanye mambo kwa kumuogopa Mola / Allah. Najua kuwa Makonda kuna muda anakera na kuudhi na hata Mimi GENTAMYCINE huwa ' ananishangaza ' na nimekuwa nikimsema mno hapa Jamvini JF lakini kwa hili tunalomuhusisha nalo nina uhakika wa 100% kwamba wengi wetu tunaomsingizia na kumuhisha nalo tunajichumia bure dhambi na ipo siku zitakuja Kututesa.

Tumseme Mtu kwa haki na siyo kwa Kumsingizia ama Kumzushia kwani siyo jambo zuri na halina Tija wala Afya Kwetu.

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda endelea na Kazi zako za Kiutendaji ila Mimi kama GENTAMYCINE nakuomba kama itakuwa chini ya uwezo wako na najua unaweza na una Mamlaka kama Mkuu wetu wa Mkoa hebu livalie njua upesi sakata la akina Maua Sama, Soudy Brown na Shaffih Dauda ili basi waweze kuachiwa hata kwa dhamana. Sitaki pia kuamini kwamba unahusika kwa wao kuwepo ndani huko waliko sasa ila nakuomba tu ' wapiganie ' ili wawe huru na naamini watajirekebisha na maisha yataendelea.

Nitashukuru sana kama Ombi langu hili utalifanyia Kazi na najua hutoniangusha GENTAMYCINE katika hili. Akhsante.

Nawasilisha.
Unazunguka zunguka nn..sema lengo lako unataka hao akina.....watoke kwa mgongo was makonda??maelezo marefuuuu afu point yako umeweka mwisho..lakin sio makonda aliewashtaki??wa kuwatoa ni hao waliowashtaki!!!
 
Jamani mnauhakika gani? Ukimwi siku hizi siyo ugonjwa ni kufuata masharti tu, huyo Ruge tatizo itakuwa hiyo figo au sumu kawa walimwengu wasemavyo

La ' Dally Kimoko ' naomba nisilitolee maoni yoyote, la Figo nina uhakika nalo 100% na la Kumuhusisha Mkuu wa Mkoa Makonda kuwa amemuwekea ' Sumu ' nalikataa kwa 100%. Tumezidi sasa Kumuonea na Kumzushia Makonda hata kwa matatizo ambayo yanatokana na Upopoma / Upumbavu wetu wenyewe.
 
maneno ya kashfa/matusi hayakusaidii tupe ushaidi wa izo tuhuma kama si kweli

sio kutwambia et nimeambiwa na mtu wa karibu (kwamba yeye hawezi danganya)

ukeshe na nani hapa maana bandiko lako limejaa mahaba kwa makonda ambayo wewe unaita ukweli na haki.

ukweli upi wa kuambiwa, acha kuleta stori za vijiweni hapa

Your STUPIDITY IS APPROVED.
 
Mkuu muimba taraabu wa kiume hurembua hata macho.


Omary Kopa R.I.P Hao shilawadu hakuna tofauti.
 
Your STUPIDITY IS APPROVED.
huna unacho kijua mkuu acha kujitutumua, nikajua unakuja na ripoti ya daktari kuonesha hakuna sumu iliyo kutwa kwenye damu ya ruge

umekazana kwa hili mnamsingizia as if uko na bashite muda wote

leta ushaidi shekhe mambo ya kuambiwa yana uhakika gani?
 
sijaona sehemu yoyote yenye ushaidi wa maana naona tu 'nimeambiwa na mtu wa karibu' kwani kuambiwa na mtu wa karibu ndo inafanya kuwa kweli

mara ugonjwa ni siri, hapo hapo unasema anaumwa figo tangu zamani (siri iko wapi)

mara nasimamia kweli na haki, asa kweli gani ikiwa yote niya kuambiwa na wala huna ushaidi wa hayo ya kuambiwa kama ni kweli ama laah.

Kifupi hakuna cha maana ulicho andika
Na sijaona ripoti ya doctors hata ndugu
 
Hiyo ni tuhuma kubwa sana,hizi habari kama huna hakika na ziache. Mimi naamini hawezi kufanya hayo.
 
Back
Top Bottom