Ni kweli Makonda ana ' mapungufu ' yake ila kwa hili la ' Kuzushiwa ' kwa kinachomsibu sasa Ruge tunamuonea sana!

Ni kweli Makonda ana ' mapungufu ' yake ila kwa hili la ' Kuzushiwa ' kwa kinachomsibu sasa Ruge tunamuonea sana!

huna unacho kijua mkuu acha kujitutumua, nikajua unakuja na ripoti ya daktari kuonesha hakuna sumu iliyo kutwa kwenye damu ya ruge

umekazana kwa hili mnamsingizia as if uko na bashite muda wote

leta ushaidi shekhe mambo ya kuambiwa yana uhakika gani?
Tuanze hapa mkuu. Weka prof kuwa ruge kapewa sum na rc. Then tuendelee maana wrote mnazunguka tu@zipompa,
 
Makonda mimi nathubutu kusema nahusika 100%

Kitendo cha kuuza usingizi wa Ruge yaani Zamaradi tayari na yeye ni mhusika mkuu acha unafiki unalijua hilo........... Na mnaosema ni Ukimwi TOBAAA ina maana hata mama watoto wake yuko hapo hapo...........? ila naye ana roho ngumu bado akathubutu kuzaa tena Mungu nusuru kizazi hiki..........(Sina uhakika na wewe unaesema ukimwi.... siku hizi ukimwi matunzo tuu)
 
Tuanze hapa mkuu. Weka prof kuwa ruge kapewa sum na rc. Then tuendelee maana wrote mnazunguka tu@zipompa,
mkuu izi ni tuhuma nami nimezisikia kama ambavyo wewe umezisikia yawezekana zimetoka kwenye chanzo cha karibu na watu hao.

baada ya ugonjwa wa bwana ruge watu wakaunganisha dot. yawezekana tuhuma ni za kweli

mtoa bandiko/bashite walitakiwa watoe ushaidi wa uhakika kwamba hizi tuhuma si kweli ( kwa ripoti ya daktari ama uchunguzi wa damu)

sio kutwambia tu nimeambiwa na mtu wa karibu
 
Siku zote nitasimama katika ukweli na katikati bila kuwa ' Mnafiki ' au Kumuonea fulani na hivyo ndivyo nitakavyokuwa siku zote. Kwa masikitiko makubwa kabisa nimekuwa nikifuatilia sehemu mbalimbali hasa Mitandoni humu na kujikuta sasa naanza kupata wasiwasi juu ya muelekeo wa Watanzania wengi.

Yaani Watanzania badala ya kuwekeza nguvu zetu nyingi katika Kumuombea Afya Njema Ndugu yetu ( Mtani wangu ) Ruge Mutahaba kutokana na matatizo yake ya ' Figo ' ambayo yanamsumbua kwa Kipindi kirefu tu sasa wengi wetu tumeanza kuhamisha Goli na kuanza ' Kumsingizia ' Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Makonda kwamba amemlisha ' Sumu ' inayomuua taratibu kwakuwa tu inasemekana wana ' Uadui ' japo Mimi GENTAMYCINE naamini kuwa umeshaisha na Wawili hawa wapo vizuri tu.

Najua leo GENTAMYCINE nitawaudhi wale ambao ' wanamchukia ' Mkuu wa Mkoa Makonda kwa sababu zao mbalimbali ila mtanisamehe tu kwakuwa huwa napenda ' Haki ' na ' Usawa ' baina ya Wawili unaochagizwa na ukweli pamoja na uhalisia wa jambo husika.

Nimeona mahala kuna Mtu mmoja ( anayeaminika sana na Watanzania wenye mrengo wa Kushoto ) akisema kwamba hata Bosi Ruge Mutahaba nae pia anaamini na ana uhakika wa 100% kuwa Ugonjwa wake huo unatokana na kuwekewa ' Sumu ' inayomuua taratibu na huyo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Makonda.

Kama ni kweli Mtani wangu Ruge Mutahaba maneno haya ameyasema Yeye basi nitaanza Kumpunguzia ' marks ' zangu za ' Umakini ' ambazo nimemuwekea tokea nianze Kumfahamu kwakuwa ni Mtu mmoja ambaye namkubali sana na hasa kutokana na uwezo wake mkubwa mno wa Ubunifu, Uthubutu na Utendaji Kazi wake. Ila mpaka sasa siamini kama kweli Ruge amesema haya maneno ambayo huyo ' Mtanzania Mghaibuni ' anayaeneza.

Kwa sababu za Kimaadili na hasa kwa taarifa za Afya ya Mtu huwa si desturi nzuri kwa Mtu kuanza ama Kuuzungumzia au hata Kuutaja Ugonjwa wa Mtu lakini hapa niseme tu ya kwamba tatizo hilo la Figo la Ruge Mutahaba halijaanza leo na tena kwa taarifa ambazo nimepewa ni kwamba kumbe hili tatizo la Figo limekuwa likimsumbua Ruge hata kabla Makonda hawaja ama Mkuu wa Wilaya au hivi Mkuu wa Mkoa na nimesikitika na bado naendelea kusikitika kuona sasa anahusishwa nalo.

Hata kama tunamchukia ila tujitahidi muda mwingine kutokuwa ' Wazushi ' mwishowe tukajikuta tunajichumia bure dhambi kwa Mwenyezi Mungu. Muda mwingine tufanye mambo kwa kumuogopa Mola / Allah. Najua kuwa Makonda kuna muda anakera na kuudhi na hata Mimi GENTAMYCINE huwa ' ananishangaza ' na nimekuwa nikimsema mno hapa Jamvini JF lakini kwa hili tunalomuhusisha nalo nina uhakika wa 100% kwamba wengi wetu tunaomsingizia na kumuhisha nalo tunajichumia bure dhambi na ipo siku zitakuja Kututesa.

Tumseme Mtu kwa haki na siyo kwa Kumsingizia ama Kumzushia kwani siyo jambo zuri na halina Tija wala Afya Kwetu.

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda endelea na Kazi zako za Kiutendaji ila Mimi kama GENTAMYCINE nakuomba kama itakuwa chini ya uwezo wako na najua unaweza na una Mamlaka kama Mkuu wetu wa Mkoa hebu livalie njua upesi sakata la akina Maua Sama, Soudy Brown na Shaffih Dauda ili basi waweze kuachiwa hata kwa dhamana. Sitaki pia kuamini kwamba unahusika kwa wao kuwepo ndani huko waliko sasa ila nakuomba tu ' wapiganie ' ili wawe huru na naamini watajirekebisha na maisha yataendelea.

Nitashukuru sana kama Ombi langu hili utalifanyia Kazi na najua hutoniangusha GENTAMYCINE katika hili. Akhsante.

Nawasilisha.
kuna tetesi Bashite anawashikilia watangazaji wa Ruge..
 
mkuu izi ni tuhuma nami nimezisikia kama ambavyo wewe umezisikia yawezekana zimetoka kwenye chanzo cha karibu na watu hao.

baada ya ugonjwa wa bwana ruge watu wakaunganisha dot. yawezekana tuhuma ni za kweli

mtoa bandiko/bashite walitakiwa watoe ushaidi wa uhakika kwamba hizi tuhuma si kweli ( kwa ripoti ya daktari ama uchunguzi wa damu)

sio kutwambia tu nimeambiwa na mtu wa karibu
Hapo sawa, maana nilipoona unasema"unamtetea bashite as if uko nae kila siku" nikajua una proof.
Nimekuelewa mkuu
 
mkuu izi ni tuhuma nami nimezisikia kama ambavyo wewe umezisikia yawezekana zimetoka kwenye chanzo cha karibu na watu hao.

baada ya ugonjwa wa bwana ruge watu wakaunganisha dot. yawezekana tuhuma ni za kweli

mtoa bandiko/bashite walitakiwa watoe ushaidi wa uhakika kwamba hizi tuhuma si kweli ( kwa ripoti ya daktari ama uchunguzi wa damu)

sio kutwambia tu nimeambiwa na mtu wa karibu
Kwa maelezo haya we jamaa ni jinga kwelikweli,

binafsi nilijua utakuja na ushahidi usio shaka kwamba bashite anahusika?

-mkuu em nambie kwanini nisikuite fala!
 
Jamani mnauhakika gani? Ukimwi siku hizi siyo ugonjwa ni kufuata masharti tu, huyo Ruge tatizo itakuwa hiyo figo au sumu kawa walimwengu wasemavyo
Kuna mahali ARV zinadunda,tena huyo anao ule UKIMWI wa zamani,hivi unamfahamu yule kocha wa Yanga marehemu Mziray alikuwa na UKIMWI dawa zilipoamua kudunda zikadunda na leo ni Marehemu.Ruge nae vilevile dawa zimefikia mwisho wake hakuna cha sumu wala nini.
 
Kwa maelezo haya we jamaa ni jinga kwelikweli,

binafsi nilijua utakuja na ushahidi usio shaka kwamba bashite anahusika?

-mkuu em nambie kwanini nisikuite fala!
hahahahaa niite mkuu wala usijali

unataka mimi nikupe ushaidia upi zaidi ya kuona hali ya ruge ikizolota baada ya kuwa na bifu na bashite

aliye toa uhakika wa bob wine kulishwa sumu ni nani? baada ya kuwepo shutuma (kama izi)

yaani wewe huna tofauti na wale makatibu wa wizara walio muita kafulila tumbili (wewe unaita fala) bàada ya kuibua shutuma

lisemwalo lipo mkuu, afya ya ruge pia inazungumza
 
Namuogopa sana Mwenyezi Mungu / Allah hivyo sipendi kabisa ama ' Kumzushia ' au ' Kumsingizia ' Binadamu mwenzangu kwa lolote lile. Kwa hili tunamuonea na tunamsingizia sana Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda. Tumuogopeni Mola!
Mkuu una uhakika kuwa Ruge kweli anasumbuliwa na figo na hamna kitu kingine?
Je unahakika kuwa hata kama alikuwa akiugua figo hapo kabla ya Paul kuwa RC Dar, kwamba pengine hakuna kitu cha ziada kiliingia mwilini mwake then ndio kikaamsha maumivu yake ya figo?
....Zaidi ungetuwekea ushahidi wa kitabibu kwa hayo unayosema zaidi ya kuandika "unasikia" kama ambavyo huyo anayesema Ruge alipewa sumu anavyosema "kasikia"!
 
' Sometimes ' tunamsingizia na kumuonea sana kwakuwa tu tayari yumo ' Mioyoni ' mwetu kwa Chuki kama siyo Husuda. Hata Mtu wa karibu kabisa na Ruge amenielezea kuwa Bosi Ruge hilo tatizo amekuwa nalo kwa muda mrefu na kwamba amekuwa akisafiri mara kwa mara nchi za nje kwa matatibabu yake ila kwa sasa wanaona kama vile Dawa zinaanza ' Kukataa ' japo wanaomtibu wanajitahidi huku wengine wakizidisha ' maombi ' yao.

Kwa hili nitamtetea Makonda hadi mnune na mninunie. Tuache Kuzushazusha tu kwasababu ya Chuki zetu zilizopitiliza. Tunamuonea mno katika hili na ikiwezekana wale wote ambao nanyi mmeamini na kudhani kuwa ni kweli basi muda bado mnao wa ' Kutubu ' kwa Mungu / Allah na bado mtasamehewa tu ' dhambi ' zenu.

Sawa Mkuu! NIMETUBU
 
Kuna mahali ARV zinadunda,tena huyo anao ule UKIMWI wa zamani,hivi unamfahamu yule kocha wa Yanga marehemu Mziray alikuwa na UKIMWI dawa zilipoamua kudunda zikadunda na leo ni Marehemu.Ruge nae vilevile dawa zimefikia mwisho wake hakuna cha sumu wala nini.

Kuna Watu ' mishipa ' ya ' Kuogopa ' au ' Kuficha ' mambo naona Mwenyezi Mungu ' hakuwabariki ' nayo tokea anawaumba.

Shikamoo Mkuu!
 
Kuna picha ya gari Daudi alipost na kusema kuna mlevi gari yake imekwama siku ya nne aje aichukue,tafsiri yake imepatikana,gari siku ya NNE ni kina soudy wapo ndani siku ya NNE,mlevi asiejiweza ni Ruge,bado jamaa watu wasi muhisi tu?
 
Kuna picha ya gari Daudi alipost na kusema kuna mlevi gari yake imekwama siku ya nne aje aichukue,tafsiri yake imepatikana,gari siku ya NNE ni kina soudy wapo ndani siku ya NNE,mlevi asiejiweza ni Ruge,bado jamaa watu wasi muhisi tu?

Ulichokiandika hapa kina ' Uhusiano ' gani na hisia za kumuwekea ' Sumu ' Ruge Mutahaba? Tuache Uswahili, Chuki na Uzushi.
 
Siku zote nitasimama katika ukweli na katikati bila kuwa ' Mnafiki ' au Kumuonea fulani na hivyo ndivyo nitakavyokuwa siku zote. Kwa masikitiko makubwa kabisa nimekuwa nikifuatilia sehemu mbalimbali hasa Mitandoni humu na kujikuta sasa naanza kupata wasiwasi juu ya muelekeo wa Watanzania wengi.

Yaani Watanzania badala ya kuwekeza nguvu zetu nyingi katika Kumuombea Afya Njema Ndugu yetu ( Mtani wangu ) Ruge Mutahaba kutokana na matatizo yake ya ' Figo ' ambayo yanamsumbua kwa Kipindi kirefu tu sasa wengi wetu tumeanza kuhamisha Goli na kuanza ' Kumsingizia ' Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Makonda kwamba amemlisha ' Sumu ' inayomuua taratibu kwakuwa tu inasemekana wana ' Uadui ' japo Mimi GENTAMYCINE naamini kuwa umeshaisha na Wawili hawa wapo vizuri tu.

Najua leo GENTAMYCINE nitawaudhi wale ambao ' wanamchukia ' Mkuu wa Mkoa Makonda kwa sababu zao mbalimbali ila mtanisamehe tu kwakuwa huwa napenda ' Haki ' na ' Usawa ' baina ya Wawili unaochagizwa na ukweli pamoja na uhalisia wa jambo husika.

Nimeona mahala kuna Mtu mmoja ( anayeaminika sana na Watanzania wenye mrengo wa Kushoto ) akisema kwamba hata Bosi Ruge Mutahaba nae pia anaamini na ana uhakika wa 100% kuwa Ugonjwa wake huo unatokana na kuwekewa ' Sumu ' inayomuua taratibu na huyo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Makonda.

Kama ni kweli Mtani wangu Ruge Mutahaba maneno haya ameyasema Yeye basi nitaanza Kumpunguzia ' marks ' zangu za ' Umakini ' ambazo nimemuwekea tokea nianze Kumfahamu kwakuwa ni Mtu mmoja ambaye namkubali sana na hasa kutokana na uwezo wake mkubwa mno wa Ubunifu, Uthubutu na Utendaji Kazi wake. Ila mpaka sasa siamini kama kweli Ruge amesema haya maneno ambayo huyo ' Mtanzania Mghaibuni ' anayaeneza.

Kwa sababu za Kimaadili na hasa kwa taarifa za Afya ya Mtu huwa si desturi nzuri kwa Mtu kuanza ama Kuuzungumzia au hata Kuutaja Ugonjwa wa Mtu lakini hapa niseme tu ya kwamba tatizo hilo la Figo la Ruge Mutahaba halijaanza leo na tena kwa taarifa ambazo nimepewa ni kwamba kumbe hili tatizo la Figo limekuwa likimsumbua Ruge hata kabla Makonda hawaja ama Mkuu wa Wilaya au hivi Mkuu wa Mkoa na nimesikitika na bado naendelea kusikitika kuona sasa anahusishwa nalo.

Hata kama tunamchukia ila tujitahidi muda mwingine kutokuwa ' Wazushi ' mwishowe tukajikuta tunajichumia bure dhambi kwa Mwenyezi Mungu. Muda mwingine tufanye mambo kwa kumuogopa Mola / Allah. Najua kuwa Makonda kuna muda anakera na kuudhi na hata Mimi GENTAMYCINE huwa ' ananishangaza ' na nimekuwa nikimsema mno hapa Jamvini JF lakini kwa hili tunalomuhusisha nalo nina uhakika wa 100% kwamba wengi wetu tunaomsingizia na kumuhisha nalo tunajichumia bure dhambi na ipo siku zitakuja Kututesa.

Tumseme Mtu kwa haki na siyo kwa Kumsingizia ama Kumzushia kwani siyo jambo zuri na halina Tija wala Afya Kwetu.

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda endelea na Kazi zako za Kiutendaji ila Mimi kama GENTAMYCINE nakuomba kama itakuwa chini ya uwezo wako na najua unaweza na una Mamlaka kama Mkuu wetu wa Mkoa hebu livalie njua upesi sakata la akina Maua Sama, Soudy Brown na Shaffih Dauda ili basi waweze kuachiwa hata kwa dhamana. Sitaki pia kuamini kwamba unahusika kwa wao kuwepo ndani huko waliko sasa ila nakuomba tu ' wapiganie ' ili wawe huru na naamini watajirekebisha na maisha yataendelea.

Nitashukuru sana kama Ombi langu hili utalifanyia Kazi na najua hutoniangusha GENTAMYCINE katika hili. Akhsante.

Nawasilisha.
Uko sawa
 
Kwa hili tunamuonea na tunamsingizia sana Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda. Tumuogopeni Mola!
Mkuu GENTAMYCINE umeongea vizuri sana;
Kila mtu ana mambo yake ya siri, ambayo hapendi yafahamike kwenye jamii; Hivyo hata suala hilo linawezekana au Likawa ni uongo, hivyo i vyema wakati unatiririka ukaonyesha hauko upande wowote; As long as Makonda sio Mungu anaweza kuteleza kwenye hilo;
 
Ningeshangaa sana kama ' Matahaira ' na waliotungiwa Mimba zao ' Chooni ' wasingejitokeza. Huu Uzi GENTAMYCINE ningeuandika kwa Kumsema / Kumnanga Mkuu wa Mkoa Makonda wala msingekuja na ' such comments ' na tena mngemshambulia mno tu, ila kwakuwa mna chuki nae kubwa hivyo hamtaki awe anatendewa haki hata katika mengine ambayo kiukweli hastahili na hahusiki nayo.

Kwa hili nitamtetea Makonda hadi tutakesha hapa.
Hapa ulipaniki
 
Back
Top Bottom