Jay2525
Member
- Mar 5, 2014
- 68
- 120
Ni kweli maprofesa wengi hawataki utajiri?
Binafsi nimekuwa nikijiuliza swali hili kwa muda mrefu sana. Kwani nakumbuka nikiwa mdogo mama aliniambia ukitaka maisha mazuri fanya bidii katika masomo yako,faulu vizuri ili uende chuo kisha utapata kazi nzuri na kuwa na maisha mazuri.
Kauli hii iliniaminisha kuwa elimu ndo kila kitu katika mafanikio.Lakini cha ajabu sasa nipo mwaka wa tatu chuoni na wakufunzi wangu walio wengi ni maprofesa lakini cha ajabu maisha yao ni ya kawaida saana. Hata usafiri wanao tumia hauna tofauti na tax zinazo randa randa mitaani.
Hili lilinifanya nivunje ukimya nu kumulliza mmoja wa wakufunzi wangu ambae ni profesa kwamba mbona yeye sio tajiri ijapokuwa anaelimu kubwa na kazi nzuri ya uhadhili? akanijibu amejitolea kuhudumia jamii.
Utajiri sio kipaumbele maishani mwake. Jibu hili ndio msingi wa swali langu wanajanvi naomba majibu.
Je ? ni kweli maprofesa hawataki utajiri . kwani hata matajiri wengi niwa juao sio wasomi wakubwa
Binafsi nimekuwa nikijiuliza swali hili kwa muda mrefu sana. Kwani nakumbuka nikiwa mdogo mama aliniambia ukitaka maisha mazuri fanya bidii katika masomo yako,faulu vizuri ili uende chuo kisha utapata kazi nzuri na kuwa na maisha mazuri.
Kauli hii iliniaminisha kuwa elimu ndo kila kitu katika mafanikio.Lakini cha ajabu sasa nipo mwaka wa tatu chuoni na wakufunzi wangu walio wengi ni maprofesa lakini cha ajabu maisha yao ni ya kawaida saana. Hata usafiri wanao tumia hauna tofauti na tax zinazo randa randa mitaani.
Hili lilinifanya nivunje ukimya nu kumulliza mmoja wa wakufunzi wangu ambae ni profesa kwamba mbona yeye sio tajiri ijapokuwa anaelimu kubwa na kazi nzuri ya uhadhili? akanijibu amejitolea kuhudumia jamii.
Utajiri sio kipaumbele maishani mwake. Jibu hili ndio msingi wa swali langu wanajanvi naomba majibu.
Je ? ni kweli maprofesa hawataki utajiri . kwani hata matajiri wengi niwa juao sio wasomi wakubwa