Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huyo Mwanao anafanya Kazi gani naona unafatilia update huku yeye akila Bata tu tena Ni KE!Kuna kijana kasema amepata matokeo yake ya mitihani kupitia chuoni kwake. Je hii ni kweli kuwa mitihani imeshatumwa kwenye vyuo?
Tujuzane!
Mbona unaongea kama up stairs kuna tatizo?Mkuu huyo Mwanao anafanya Kazi gani naona unafatilia update huku yeye akila Bata tu tena Ni KE!
UnaboaMbona unaongea kama up stairs kuna tatizo?
Mfundishe kufatilia Mambo yake na kuwa update sio kila kitu wewe Mzazi. Unafatilia hata Mambo madogo Kama matokeo kuwa makini.!Mbona unaongea kama up stairs kuna tatizo?
Unajuaje kuwa mimi siyo mwanafunzi? Do you know why I am taking all this trouble? Usiseme mambo kama hukwenda shule. Unanifundisha cha kufanya? Jibu hoja kama huna just skip the thread! Sijapenda hata kidogoMfundishe kufatilia Mambo yake na kuwa update sio kila kitu wewe Mzazi. Unafatilia hata Mambo madogo Kama matokeo kuwa makini.!
By the way, nimeshapata jawabu la thread yangu. All is OkMatokeo ya nini? au ya sensa?
True and confirmed! asante. Kulikuwa na hii tabia ya kulipa ada kabla ya matokeo wakati mtu kadisco na hela hairudi. Kama unajali lazima hili likusumbue maana huwezi ku guarantee kuwa ata passTayari wametuma kuna mdogo wangu anasoma bumbuli cotc nimemuuliza anasema tayari