Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Habari za asubuhi wapendwa.
Kuna mtoto wa jamaa yangu ameugua kama wiki tatu hivi, vipimo vilionesha ana uvimbe kwenye ubongo.
Hivo anatakiwa aende India kwa matibabu, siku walioanza kufanya process za kuandaa safari bahati mbaya mtoto akafariki kesho yake rest in peace baby boy, inauma sana alikua ana miaka 7 tu.
Baada ya msiba kuisha wazazi wakarudi kwa daktari kuuliza nini kinaweza kuwa chanzo cha huo ugonjwa. Wakaambiwa ni maziwa ya formula, huwa yana chemicals ambazo zinaweza kusababisha infection na ndio yamemsababishia infection kwenye ubongo.
Nimehisi ganzi kusikia chanzo cha ugonjwa nikiangalia makopo niliopanga hapa ndani Mungu asaidie, wataalamu wa afya naombeni kujua.
Haya maziwa yanatengenezwaje? Ni maziwa kweli au ni mchanganyiko tu wa vitu hadi wanapata hiyo kitu, na madhara yake? Na pia yaweza kua chanzo cha hilo tatizo kweli?
Cc: gorgeousmimi, Karucee, asakuta same na jf doctors
NB: Kama madaktari wanalijua hili kwanini sasa wanashauri tutumie?
Kuna mtoto wa jamaa yangu ameugua kama wiki tatu hivi, vipimo vilionesha ana uvimbe kwenye ubongo.
Hivo anatakiwa aende India kwa matibabu, siku walioanza kufanya process za kuandaa safari bahati mbaya mtoto akafariki kesho yake rest in peace baby boy, inauma sana alikua ana miaka 7 tu.
Baada ya msiba kuisha wazazi wakarudi kwa daktari kuuliza nini kinaweza kuwa chanzo cha huo ugonjwa. Wakaambiwa ni maziwa ya formula, huwa yana chemicals ambazo zinaweza kusababisha infection na ndio yamemsababishia infection kwenye ubongo.
Nimehisi ganzi kusikia chanzo cha ugonjwa nikiangalia makopo niliopanga hapa ndani Mungu asaidie, wataalamu wa afya naombeni kujua.
Haya maziwa yanatengenezwaje? Ni maziwa kweli au ni mchanganyiko tu wa vitu hadi wanapata hiyo kitu, na madhara yake? Na pia yaweza kua chanzo cha hilo tatizo kweli?
Cc: gorgeousmimi, Karucee, asakuta same na jf doctors
NB: Kama madaktari wanalijua hili kwanini sasa wanashauri tutumie?