Ni kweli mimba hutolewa?

Si muumini wa kutoa mimba lakini kama kuna matatizo ya ki afya ambayo yanahatarisha maisha ya mama, wataalamu wanashauri wiki 12 ndiyo muda mzuri kutolewa hospitali.
 
Umempa mimba mwanafunzi??
 
Yani mpaka hapa umeshajiExpose kwamba unania Ovu ya kufanya kitendo kiovu cha KUUA kiumbe kisicho na hatia!! Acha hayo mawazo mkuu...
Note:fake id haisaidii
 
Habari zenu wakuu
Kwa sheria za Tz haziruhusu kutoa mimba ila ni pale tu inakapothibitika na jopo la madaktari wasio pungua watatu ya kuwa mimba hiyo itahatarisha uhai wa huyo mama bas mama baada ya kuelezwa na kukubali atasaini fomu maalum kisha hiyo mimba itatolewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…