ni kweli mimba ni kipimo cha mapenzi ndani ya ndoa?

mungu aniepushe na mawifi,nataka mume wangu mtarajiwa kwao awe amezaliwa peke yake au madume tupu lol
<br />
<br />
kila la kheri mdada natumai mungu atasikia sala zako kilichopo ucpende kutoa mambo yenu ya ndani hata kwa hao shemejio!
 
<br />
<br />
i promise ntalifanyia kazi.thanx much
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…