U beter take her to counsellor.atamshauri vzr na atatulia.nadhan ana tatizo la kisaikolojia.pia afanye followup ni kwa nini znatoka,i.e aonane na wataalam.ktk kuta2a hli ni bora mumshirikishe na kaka yenu.inawezekana kaka yenu ana mpa presure ya mtoto bt nyinyi hamjui.kama ushauri haujakufaa,UPOTEZEE!