Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,228
- 2,064
Habari za humu ndani,
Juzi kuna jamaa mmoja alinipigia simu na kuniuliza kama ninataka shamba la kupanda mikorosho Lindi kwa bei ya Tsh 20000/=
Mimi nikamwambia yes but sikumwamini.
Je ni kweli Manispaa ya Lindi wanagawa mashamba kwa ajili ya kupanda mikorosho, mwenye taarifa sahihi naomba uzimwage hapa ili tukamatie fursa.
Juzi kuna jamaa mmoja alinipigia simu na kuniuliza kama ninataka shamba la kupanda mikorosho Lindi kwa bei ya Tsh 20000/=
Mimi nikamwambia yes but sikumwamini.
Je ni kweli Manispaa ya Lindi wanagawa mashamba kwa ajili ya kupanda mikorosho, mwenye taarifa sahihi naomba uzimwage hapa ili tukamatie fursa.