Hussein J Mahenga
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 750
- 656
Jamani,mimi ni mwanafunzi wa shule moja hapa nchini.Niko na rafiki yangu darasa moja,sasa ameingia mgogoro na mkuu wa shule sasa amemuahidi kwamba atamharibia matokeo.Naombeni msaada,ni kweli matokeo yanaweza kuharibiwa na mkuu wa shule?