usipende kuchezea vitu muhimu, viache naturalNdugu wana jf nataka kujuzwa kuhusu uvumi uliopo kuwa mtoto akifanyiwa tohara umri mdogo basi uume wake huwa unakuwa mdogo ukiringanisha na atayefanya tohara akiwa mtu mzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Lol means mkono wa sweta???usipende kuchezea vitu muhimu, viache natural
Na yále mauchafu ya gomvi si utakimbiwa?usipende kuchezea vitu muhimu, viache natural
Kuna Kaukweli Hapo.
Namuita [HASHTAG]#Mzizimkavu[/HASHTAG].
I agree with youKuondoa ngozi ile ya juu hakuna uhusiano wowote na kukua kwa uume
Size ya uume hutegemea na vichocheo (hormones), kurithi (genetics), vyakula etc..
Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha aa,capt.jacky sparrow....I agree with you
Pirate
nini kazi ya maji?
MmmmhhSi kweli ukitaka kudhinitisha hayo waarabu wanatahiri kuanzia wiki mbili baada ya mtoto kuzaliwa lakini nyumba zao zinakwenda heshima.
usipende kuchezea vitu muhimu, viache natural
FactKuondoa ngozi ile ya juu hakuna uhusiano wowote na kukua kwa uume
Size ya uume hutegemea na vichocheo (hormones), kurithi (genetics), vyakula etc..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha haha akijua maana yake....Sawa laiyoni.
Ha haha akijua maana yake....
Mwambie bora au tumuite Daby[emoji23]Ha haha akijua maana yake....
Vipi jirani,Mwambie bora au tumuite Daby[emoji23]