baiser
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 1,480
- 2,239
Ndugu wana jf nataka kujuzwa kuhusu uvumi uliopo kuwa mtoto akifanyiwa tohara umri mdogo basi uume wake huwa unakuwa mdogo ukiringanisha na atayefanya tohara akiwa mtu mzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app