Ni kweli Mungu hana Upendo? Au sisi tu ndio hatumuelewi!?

Ni kweli Mungu hana Upendo? Au sisi tu ndio hatumuelewi!?

Kiwango kikubwa kabisa cha ujinga wa Imani kwa aishie kwa Imani. Kwangu Imani ni upungufu wa Maarifa. 1÷1 =2 kwa nini niseme nina imani ni 2? Kitabu kimeandikwa na binadamu na binadamu ndiye kaandika upendo na Mungu hivyo binadamu kwa vyovyote vile ndiye kamuumba Mungu kisha kutujengea imani ili tuamini alichoandika hata kwa reference. Beleshi si kijiko kikubwa bali Beleshi period.

Turudi kwenye familia una watoto 5. Upendo ulio nao kwa watoto wako ambao unajua watakosea basi umuue mtoto mmoja ili abebe dhambi za wengine ni ujinga uliokubuhu. Siwezi kuwa na upendo wa aina hiyo.

Aliua watu wote wakabaki 8 kisha wametoka kwa safina huyu aliyeokolewa na watoto wake anamlaani mtoto wake na vizazi vyake vyote kwa upendo alionao.

Huyu Mungu wenu sadaka anayopenda ni sadaka ya damu lazima kiumbe kife ndio afurahi? Huyu mungu wenu ni mchagga nini? Anapenda nyama na damu kuliko mboga na mimea kwa sadaka? Nao ni UPENDO? HEBU AMKENI NA MFUNGUE AKILI ZENU. Hamjui imani ilikuja kwa ajili ya kutawala Afrika? Mlifundishwa kusali mkifunga macho mlipofungua mlikuta biblia na bunduki mkononi muuane na kufarakana kwa jina la Yesu. Wao wamechukua mali wanaishi kama peponi ninyi mtasubiri maisha mazuri mkifa.

Kwa upendo wake alimuua mwanae abebe dhambi za wanadamu hivyo ameruhusu wanadamu wafanye wajuavyo kwani makosa yao yatasamehewa kwa kifo cha mwanae UJINGA WA CHUO KIKUU HUU
 
Kiwango kikubwa kabisa cha ujinga wa Imani kwa aishie kwa Imani.
Kiko wapi?
Kwangu Imani ni upungufu wa Maarifa.
Mtu yoyote smart hajadili mambo kwa maoni binafsi bali kwa kuangalia namna jamo lilivyo kwa uhalisia wake,hatujadili maoni binafsi hapa kijana kama hujui maana ya imani ungeuliza kwanza na sio kuja hapa na "mambo binafsi" ya kusema "kwangu mimi"

Imani ina maana yake na kama huijui ni vyema ukauliza
1÷1 =2 kwa nini niseme nina imani ni 2?
Sijakuelewa...
Kitabu kimeandikwa na binadamu na binadamu ndiye kaandika upendo na Mungu hivyo binadamu kwa vyovyote vile ndiye kamuumba Mungu kisha kutujengea imani ili tuamini alichoandika hata kwa reference.
Ni sawa na useme mtu aliyeleta habari za ajali kutokea mahali fulani mtu huyo atakuwa ameiumba ajali hiyo na kwasababu hiyo haipo

Hivi unafikiria kwa namna gani wewe?
Beleshi si kijiko kikubwa bali Beleshi period.
Yaani wewe mawazo yako yamejifunga kwenye kijibox kidogo kiasi kwamba unafikiria kuwa kila mtu ametookea mkoa wa Kilimanjaro

Kilimanjaro ndio wanatumia neno Beleshi badala ya neno Koleo,sasa wewe unaandika hapa Beleshi ukifikiria kila mtu atakuelewa.Makosa ya kuweza kuona tatizo hili dogo yanakufanya uonekane huwezi kabisa kujadili masuala unayodhani unaweza kuyajadili
Turudi kwenye familia una watoto 5. Upendo ulio nao kwa watoto wako ambao unajua watakosea basi umuue mtoto mmoja ili abebe dhambi za wengine ni ujinga uliokubuhu. Siwezi kuwa na upendo wa aina hiyo.
Siwezi kukushangaa wewe kushindwa kuelewa nilichokiandika na matokeo yake unaandika unachokifikiria wewe kujibu kile ambacho umekisoma na kushindwa kukielewa

Nani kasema wapi kuwa dhambi za watoto zilifutwa kwa mtoto mwingine kufa?
Aliua watu wote wakabaki 8 kisha wametoka kwa safina huyu aliyeokolewa na watoto wake anamlaani mtoto wake na vizazi vyake vyote kwa upendo alionao.
Hii inahusiana namna gani na hiki nilichokileta hapa kwenye mada hii?
Huyu Mungu wenu sadaka anayopenda ni sadaka ya damu lazima kiumbe kife ndio afurahi?
Aliekuambia kuwa sadaka hii ya damu ni kwaajili ya Mungu ni nani?

Rudia kusoma tena nilichoandika maana hujakielewa bado....
Huyu mungu wenu ni mchagga nini? Anapenda nyama na damu kuliko mboga na mimea kwa sadaka? Nao ni UPENDO? HEBU AMKENI NA MFUNGUE AKILI ZENU.
Yaani mtu alielala anawaambia walioamka waamke,hili ni ajabu la 90 la dunia..

Wewe hujuii kitu kabisa na huwezi kujua mpaka utakapokubali hujui....
Hamjui imani ilikuja kwa ajili ya kutawala Afrika?
Hakuna kitu kibaya kama kujidai unajua mambo na kuanza kuyaelezea wakati huyajui,huo ni kama ugonjwa fulani hivi....

Hujui imani ni nini lakini unajidai kutaka kuielezea,ungejua imani ni nini wala usingeihusisha na mambo ya kutawala.....
Mlifundishwa kusali mkifunga macho mlipofungua mlikuta biblia na bunduki mkononi muuane na kufarakana kwa jina la Yesu. Wao wamechukua mali wanaishi kama peponi ninyi mtasubiri maisha mazuri mkifa.
Hizi hadithi tulikuwa tunasimuliwa zamani sana wakati tuko watoto....

Naona leo umezileta tena...
Kwa upendo wake alimuua mwanae abebe dhambi za wanadamu hivyo ameruhusu wanadamu wafanye wajuavyo kwani makosa yao yatasamehewa kwa kifo cha mwanae UJINGA WA CHUO KIKUU HUU
Unaonekana umekuruouka kuandika bila hata kusoma nilichoandika,huwa sijadiliani na watu wa namna hii maana ni kupoteza muda....

Soma uandike vitu vyenye akili kama unataka kupata shule....
 
Kiko wapi?

Mtu yoyote smart hajadili mambo kwa maoni binafsi bali kwa kuangalia namna jamo lilivyo kwa uhalisia wake,hatujadili maoni binafsi hapa kijana kama hujui maana ya imani ungeuliza kwanza na sio kuja hapa na "mambo binafsi" ya kusema "kwangu mimi"

Imani ina maana yake na kama huijui ni vyema ukauliza

Sijakuelewa...

Ni sawa na useme mtu aliyeleta habari za ajali kutokea mahali fulani mtu huyo atakuwa ameiumba ajali hiyo na kwasababu hiyo haipo

Hivi unafikiria kwa namna gani wewe?

Yaani wewe mawazo yako yamejifunga kwenye kijibox kidogo kiasi kwamba unafikiria kuwa kila mtu ametookea mkoa wa Kilimanjaro

Kilimanjaro ndio wanatumia neno Beleshi badala ya neno Koleo,sasa wewe unaandika hapa Beleshi ukifikiria kila mtu atakuelewa.Makosa ya kuweza kuona tatizo hili dogo yanakufanya uonekane huwezi kabisa kujadili masuala unayodhani unaweza kuyajadili

Siwezi kukushangaa wewe kushindwa kuelewa nilichokiandika na matokeo yake unaandika unachokifikiria wewe kujibu kile ambacho umekisoma na kushindwa kukielewa

Nani kasema wapi kuwa dhambi za watoto zilifutwa kwa mtoto mwingine kufa?

Hii inahusiana namna gani na hiki nilichokileta hapa kwenye mada hii?

Aliekuambia kuwa sadaka hii ya damu ni kwaajili ya Mungu ni nani?

Rudia kusoma tena nilichoandika maana hujakielewa bado....

Yaani mtu alielala anawaambia walioamka waamke,hili ni ajabu la 90 la dunia..

Wewe hujuii kitu kabisa na huwezi kujua mpaka utakapokubali hujui....

Hakuna kitu kibaya kama kujidai unajua mambo na kuanza kuyaelezea wakati huyajui,huo ni kama ugonjwa fulani hivi....

Hujui imani ni nini lakini unajidai kutaka kuielezea,ungejua imani ni nini wala usingeihusisha na mambo ya kutawala.....

Hizi hadithi tulikuwa tunasimuliwa zamani sana wakati tuko watoto....

Naona leo umezileta tena...

Unaonekana umekuruouka kuandika bila hata kusoma nilichoandika,huwa sijadiliani na watu wa namna hii maana ni kupoteza muda....

Soma uandike vitu vyenye akili kama unataka kupata shule....
Hujadili wakati umeshajadili?
 
Wewe jamaa na mswali yako bana......

Tatizo kubwa la binadamu ni kule kufikiri tunajua kumbe hatujui.....
Bahati nzuri umejielewa mwenyewe kwamba hujui. Hivyo sikulaumu maana hujui kweli
 
Paul S.S

Hujasoma kabisa nilichoandika na kama imesoma hujaelewa kabisa nimeandika makala inayohusu nini..

Madai yako.yako nje ya nilichojibu na kwasababu hiyo ni kwamba hujaelewa japokuwa nimeandika kwa lugha rahisi kabisa na hii ni hatari sana kwa afya ya ubongo wako!

Rudia kusoma hata mara elfu moja huenda ukaelewa!

Mkuu mi nafikiri ungempatia jibu kama unao-uelewa juu ya alichouliza, mbona kaeleweka
 
Nikiangalia mitihani ninayopitia muda mwingine simwelewi Mungu, nikiona mateso ambayo watu wanaishi hapa duniani I js don't understand yeye ndo alituumba woooote na anaweza kila kitu sasa why can't he js make it right on the click of his hand tuishi vizuri kama paradiso
 
Watu walisha angaika sana kuandika mavitabu ya kila namna kumtafsili mungu. lakini tukiacha na yote hayo mungu hayupo.
 
Back
Top Bottom