At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
Budget haitoshi ndio maana wanafanya hivyo ingekuwa inatosha hata bila kulipia chuo kikuu ingewezekana
Sent using Jamii Forums mobile app
Najiuliza sipati majibu, kama mkopo anapewa mwanafunzi ili pindi atakapomaliza chuo arejeshe huo mkopo, sasa kwanini kuwe na ubaguzi wa kutoa hiyo mikopo!? Mimi nazani mikopo wangepewa wote wenye vigezo vya kwenda chuo kikuu bila kubagua shule aidha ya serikali au binafsi.
Sent using Jamii Forums mobile app