At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
Najiuliza sipati majibu, kama mkopo anapewa mwanafunzi ili pindi atakapomaliza chuo arejeshe huo mkopo, sasa kwanini kuwe na ubaguzi wa kutoa hiyo mikopo!? Mimi nazani mikopo wangepewa wote wenye vigezo vya kwenda chuo kikuu bila kubagua shule aidha ya serikali au binafsi.
Yani umpeleke gov akapate IV au 0 kisa unawinda mkopo.
Kati ya sera za kipumbavu kabisa kuwahi tekelezwa na CCM.
Asiyeelewa haambiwi maana
Ushauri nao kupa kwa div 2 hatusui pcb hio NI three ya advance
Abadili kombi haraka Sana ndio aende gov au aende na hio two yake best private schools
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini swala hili lisipewe kipaumbele ikaandaliwa Budget inayoweza kukidhi mahitaji ya wanafunzi wote wanaohitaji mikopo!, na pia kukawekwa utaratibu mzuri wa kufuatilia urejeshaji wa mikopo hiyo pindi wanafunzi hawa watakapokuwa wamemaliza vyuo. Mimi nazani inawezekana, ni basi tu nchi yetu inapenda kuvipa kipaumbele vitu visivyo vya msingi na vile vya msingi wanavipuuza.Budget haitoshi ndio maana wanafanya hivyo ingekuwa inatosha hata bila kulipia chuo kikuu ingewezekana
Sent using Jamii Forums mobile app