Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu naomba kuelewa imekaaje unakuwa na mwanamke akawa nuksi unaweza kumtambuaje?
Mkuu salama nashukuru kwa ufafanuzi. Naomba kuuliza je huo mlango wa nane wa mwanamke utajuaje kama ni nuksi au sio nuksi au utafahamu baada ya kukutana naye matokeo ndo yanakupa majibu?Dhana ya Mlango wa 8 kama wamaanishavyo Waswahili
Mshana Jr, Arestkimario na Rakims tafadhali tunawaomba hapa! Kuna ufafanuzi wa kitaalam wa Kifyatu heshima kwake lakini Tukija kwenye tafsiri ya kawaida ya 'kiswahili' kwa muktadha wa mtoa mada mlango wa nane ni roho ya kufisha na kuharibu Kama mtu akioa mwanamke mlango wa nane vyote alivyowahi...www.jamiiforums.com
Mlango wa nane ni daraja la juu zaidi na si kila mwanamke ana nuksi bali sometimes ni NGUVU za kinyotaMkuu salama nashukuru kwa ufafanuzi. Naomba kuuliza je huo mlango wa nane wa mwanamke utajuaje kama ni nuksi au sio nuksi au utafahamu baada ya kukutana naye matokeo ndo yanakupa majibu?
Sema mshangazi umekuja kibusiness zaidi mpaka nyuzi za betting wewe ni biashara tuuu.....MIMI huwa naleta BARAKA tu!
Unanifaa wewe kuja inbox chapMIMI huwa naleta BARAKA tu!
Wakuu naomba kuelewa imekaaje unakuwa na mwanamke akawa nuksi unaweza kumtambuaje?
Kushana ni kufanyaje mkuuMimi siwezi kusema mlango wa nane upo au haupo. Ila hapa Kimara Temboni kulikua na barmaid mmoja mzuri tu. Aisee kila aliyetoka nae lazima mabaya yalimkuta. MADEREVA wa malori ya mchanga Ni mashahidi. Ukilala nae kesho tajiri anaomba ufunguo. Kama unafanya kwa wahindi ujue kibarua kwishne, Kama ulikua na dili la pesa ujue limeshaharibika. I don't know why lakini kila aliyejaribu yalimkuta.
Kwa wapare hua Wana avoidi Sana kuoa ukoo wa kina mshana. May be ni kwasababu ya uchawi maana Ile taaluma ya kushana walikua nayo wao tu na wakaihusisha na uchawi ili wengine wasijaribu kushana.
Aiseeh !MIMI huwa naleta BARAKA tu!
NaiombaMIMI huwa naleta BARAKA tu!
Acha hizo mshangazi weeMIMI huwa naleta BARAKA tu!