Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
kuna jamaa yangu mmoja ana pumbu moja na mpaka sasa ana miaka 37 hana mtoto. Kila mwanamke anayekaa nae kama mke hazai. Akimwacha tu akikutana na wanaume wengine anabeba mimba.
Swali hapa ni kweli mwanaume mwenye pumbu moja hana uwezo wa kuzaa?
Nawasilisha.
Swali hapa ni kweli mwanaume mwenye pumbu moja hana uwezo wa kuzaa?
Nawasilisha.