Tetesi: Ni kweli Mwanry anakuja kua Rc Dar?

Tetesi: Ni kweli Mwanry anakuja kua Rc Dar?

Mh, sidhani kama DAB atatoka Dar hivi karibuni! Ila akitolewa itakuwa poa sana tena wampeleke Katavi au kwao Simiyu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bashite akitoka dam anaenda Dodoma.


dab anajia kujipendekeza.


Mimi nikila UDC Leo nakua nawasweka ndani chadema na zitto akikatiza wilaya yangu lazima nimsweke ndani ili nijihakikishie ugali.



njaa mbaya sana
 
Yule ndio anaendana na mkulu ila sidhani kama ni kweli ataenda dar badala ya dom anakotarajiwa bosi wake kwenda!
 
bashite akitoka dam anaenda Dodoma.


dab anajia kujipendekeza.


Mimi nikila UDC Leo nakua nawasweka ndani chadema na zitto akikatiza wilaya yangu lazima nimsweke ndani ili nijihakikishie ugali.



njaa mbaya sana

[emoji23][emoji23][emoji23]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom