Ni kweli Mwigulu Nchemba ana PhD ya Uchumi?

Ni kweli Mwigulu Nchemba ana PhD ya Uchumi?

John120

Senior Member
Joined
Jun 13, 2021
Posts
139
Reaction score
281
Ni kwa maoni yangu binafsi siamini kama rais wa mawe ana Phd ya uchumi,na hii imedhihirika wazi kabisa jinsi anavyoendesha wizara hii na yeye akiwa ndio mwenye dhamana.

Amekuwa na uwezo mdogo sana wa kufikiri kuhusu kuongeza njia za kukusanya mapato ,

Ni waziri mzigo ambaye analididimiza taifa na kuweka maumivu makubwa sana kwa wananchi wengi.

Hizi tozo zinazoibuka zinaumiza sana wananchi,

Mapendekezo yangu
  • Nakuomba uachie madaraka ili uendelee kulinda heshima ya aliyekuteua.
  • Heshimu sauti za wananchi maana hao ndio waliokupa dhamana..

Kuwa muungwana Tanzania ni yetu sote.
 
Ni kwa maoni yangu binafsi siamini kama rais wa mawe ana Phd ya uchumi,na hii imedhihirika wazi kabisa jinsi anavyoendesha wizara hii na yeye akiwa ndio mwenye dhamana.

Amekuwa na uwezo mdogo sana wa kufikiri kuhusu kuongeza njia za kukusanya mapato ,

Ni waziri mzigo ambaye analididimiza taifa na kuweka maumivu makubwa sana kwa wananchi wengi.

Hizi tozo zinazoibuka zinaumiza sana wananchi,

Mapendekezo yangu
  • Nakuomba uachie madaraka ili uendelee kulinda heshima ya aliyekuteua.
  • Heshimu sauti za wananchi maana hao ndio waliokupa dhamana..

Kuwa muungwana Tanzania ni yetu sote.
Mwinguli ndio nani? Au ulimaanisha Mwinjanku?
 
Mama kama anapita huku jf basi alianglie na hili,sio kuagiza wenzake tuu eti na hili mkaliangalie[emoji23]
 
Thesis Yake itakua alikua anafanyia juu ya mawe.
 
Ukiona mtu Kila akiongea anatanguliza kusema 'unaajua unaongea na dokta wa uchumi' au Nina gpa ya ngapi sijui basi ukae nae Kwa machale sana. Genuine doctors hawajitangazagi wanatangazwa na matendo Yao
 
Tozo kwenye umeme, kupanga, maji, miamala, manunuzi, mishahara, petrol, taja na wewe.
 
Rais Wa Mawe Ni Janjajanja Tupu
Unajua Wakati Wa Jiwe Alipotimuliwa Uwaziri

JIWE Alisema Watu Wanakufa Waziri Yupo Hata Kutoa Pole Hawezi
Yaani Anazurura Akasema Nimemtimua Aende Akazurure Vizuri
 
Elimu za kuungaunga huwa siziamini muda mwingine.
 
Back
Top Bottom