Ni kweli nafasi ya Diamond imechukuliwa na Darassa?

isho_boy

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2015
Posts
2,145
Reaction score
1,892
Kutokana na ngoma aliyotoa Darassa kuifunika ngoma ya Rich Mavoko aliyomshirikisha Diamond, inasemekana kuna dalili tosha kuwa Diamond kijiti anaanza kumpatia Darassa taratibu bila yeye kujua.

Je kuna ukweli wowote hapo???
 
Aina ya mziki anaofanya darasa haiwezi kutishia mzik wa Diamond, hivi unaweza kudhani kwamba Rhamos kung'aa na kutupia goli kwenye el clasico kunaweza kuhatarisha nafasi ya Ronado!?
 
Kutokana na ngoma aliyotoa Darassa kuifunika ngoma ya Rich Mavoko aliyomshirikisha Diamond, inasemekana kuna dalili tosha kuwa Diamond kijiti anaanza kumpatia Darassa taratibu bila yeye kujua.

Je kuna ukweli wowote hapo???
Hakuna ukweli, una swal jingine?
 
Big NO

1. Wimbo wa kokoro sio wa Diamond ni wa Rich mavoko

2. Kokoro haijafunikwa na Muziki si kwa kitaa, itunes, youtube, social media trend, wala mkito

3. Diamond ndio kioo cha wasanii maana kila msanii akipiga kihatua kidogo lazima ajitizame kwenye kioo. Kijiti cha Diamond hakijachukuliwa na yeyote na kama ni King basi Crown prince bado hajazaliwa...!!!
 
Unajua kinachombeba diamond ni menejiment yake iko vizuri kuliko king kiba na ndio maana diamond anang'ara ad leo unadhan kiba angekuwa anamenejiment kama hile angekuwa mbali sana
 
Unajua kinachombeba diamond ni menejiment yake iko vizuri kuliko king kiba na ndio maana diamond anang'ara ad leo unadhan kiba angekuwa anamenejiment kama hile angekuwa mbali sana
Kaka sijakuelewa kiba kahusikaje na hii mada mbona kama umepuyanga iv ebu soma upy bandiko lng afu urudi kutoa Maoni upya
 
ngoma ya darassa imetokea kupendwa sana kwasasa bongo nzima kwenye station za radio na luninga ,kwenye makumbi ya starehe na mtaani pia kuliko zote zilizotoka kwa kipindi hiki kama hiyo keroro na nyingine lakin usilinganishe watu wanao Fanya mziki wa aina tofauti .
 
Inategemeana unatumia vigezo gani kulinganisha!

Ila hizo ni nyimbo mbili zenye mahadhi tofauti.Ukitaka kuamini diamond anatisha nenda mpaka kwenye mashughuli vijijini huko utakuta wazee wanakata tu mauno ikigongwa kitu salome mara kidogo

Kijiti chake bado sana kumuachia mtu mwingine
 
Mm nimeangalia kutrend kwa izo ngoma kuanzia kwenye media adi kitaani kuhusu aina ya mziki wanaoimba ata mm najua kila mtu ana style yake
 
kushindanisha hip hop na afro pop ni kushindanisha vitu usivyovielewa hata siku moja huwez kusikia swali eti jay z na chris brown nani mkali!
 
Unajua kinachombeba diamond ni menejiment yake iko vizuri kuliko king kiba na ndio maana diamond anang'ara ad leo unadhan kiba angekuwa anamenejiment kama hile angekuwa mbali sana

Kwahiyo WCB ni label kubwa na bora kuliko SONY na ROCKSTAR?

Sasa yale makelele ya kusainiwa na Sony na kumbeza Diamond yalikuwa ya nini?
 
nahisi mtoa mada anamaanisha kwa kiasi flani upepo umebadilika sio kila siku mtu mmoja tu kwa sasa hivi kwa sisi tunaochelewa kulala nyimbo ya darasa ina vibe kuliko hilo "korombwezo" rudi utotoni usipotembea utabebwa mgongoni.....hapo kila mtu lazima anachanua mikono tu huku tunasubiria sauti ya ben pol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…