Umemsepa boss wakoHatutaki kushindanishwa na mtu.
Tunataka tufanye muziki mzuri tu.
Karibuni tucheze [HASHTAG]#Muziki[/HASHTAG]
Mtasingzia ving mnoUnajua kinachombeba diamond ni menejiment yake iko vizuri kuliko king kiba na ndio maana diamond anang'ara ad leo unadhan kiba angekuwa anamenejiment kama hile angekuwa mbali sana
Hehe..factSio Alikiba tena? Angalau umeanza kuamini kuwa Ally hajafikia kiwango cha mondi.
Team mondi ndiyo mnapenda kumlinganisha king na mondi halafu mnadai mondi mkali. Ningeshangaa huu uzi kupita bila kumtaja king kiba. Kama mtu mkali kwa nini mnachachawa na king[emoji23][emoji23]siyo vizuri jamani,munamkosea sana Alikiba..
Alikiba hataki msanii yeyote yule ashindanishwe na Diamond isipokuwa yeye tu..hata kiki ya ommydimpozi aliyoipata kwa Diamond mzee mzima Alikiba hakufurahia[emoji38],akajibebesha likiki la Pete ya kijani wakati hakuambiwa yeye hata haikua inamuhusu[emoji38]nayo ikabuma..
Huku munakofanya ni kumshusha Alikiba,mwenzenu anataka ashindanishwe yeye tu na Diamond na sio msanii mwingine..sasa kama mumeanza kumshindanisha na Darassa basi lengo lenu sio zuri,munataka Alikiba asisikike bali asikike Darassa tu[emoji38].
Mioyoni mnakubali king kiba ndiyo maana hamuwez pitisha uzi bila kumtaja. Hahahahahha wazee vieeewsni janjazi hehehe na tunashukuru tumelipokea jina in a positive way ni ni wanjanja kiukwelii...
alikiba ni closed mind so hata wakina seven watakua wanapata sana tabu kumbadilisha
Yess kuburudisha mashabiki ni kupiga biti za nigeria hahhahaha wapi kokoroooooo. Ni wakati wa wasanii bongo kupiga nija beats ha ha ha hua ha huaumekariri hakuna biti ya nigeria wala nini mziki ni biashara wasanii sasa hvi wanaangalia kipi kinafaa kufurahisha washabiki nasio kuimba ilimradi eti usibadilike kisa unaogopa aina ya mziki unaofanya
unataka watu waendelee kuimba sinderela wangekua hapa??badilika kijana
Nyie team kiba mnahangaika kichz hata uko insta mnapost diamond zaidi mnavyopost boss wenu sie uku wcb hatuna habari tunapunga upepo wa bahariMioyoni mnakubali king kiba ndiyo maana hamuwez pitisha uzi bila kumtaja. Hahahahahha wazee vieeews
Hahhahaa hamna habar wakat kila siku mna kibarua cha kufungua thread kumi hahahhaa. King katulia anakula vyake, but mnachachawaNyie team kiba mnahangaika kichz hata uko insta mnapost diamond zaidi mnavyopost boss wenu sie uku wcb hatuna habari tunapunga upepo wa bahari
Aliyeanzisha huu uzi ni kibarua wa mondi na hii yote ni kutaka jamaa aongelewe siku nzima. So msianzishe uzi hapa halaf mnacomplain hahahahahahivi hamuwezagi kumsifia msanii fulani bila kumweka diamond??
mkasema tu darasa mkali!!
kweli leo ndo nmeamini, Diamond ni kioo
mtu hawezi kutoka mpaka akajitazame!
kweli Diamond ni Icon
bado battle lake hamjapata mtu sahihi wa kumuweka!
hakukosea alisema ukweli kuwa hawatoweza!!!!!!
Tena huko vijijini maskin wanakata mauno ya salome sbb wamemkumbuka saida wa watu. Ungesema wanakata mauno ya kokoro ningekuelewaInategemeana unatumia vigezo gani kulinganisha!
Ila hizo ni nyimbo mbili zenye mahadhi tofauti.Ukitaka kuamini diamond anatisha nenda mpaka kwenye mashughuli vijijini huko utakuta wazee wanakata tu mauno ikigongwa kitu salome mara kidogo
Kijiti chake bado sana kumuachia mtu mwingine
Ni sawa na kusema kiba kajaza show ya fiesta. Hahahahaa wapi show ya stadium mayotte teeeeh teeeehDiamond anajaza ukumbi Zimbabwe... Darasa hawezi ijaza ata Maisha club. Wakumpiku Diamond bado ajaanza muziki, najua wengine mmemchoka ila mvumilieni tu maana mbadala wake bado sana.
Inabid darrasa awe makini maana hamkawii.kumpelekea fuvu la kichwa la Silva. Yani wivu wenu mpaka kwen hiphop khaaaa! Nikajua ni kwa king tuUnafananisha ugonjwa wa mlipuko na UKIMWI