Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamzaa wewe kwenye mambo ya seriousUnashangaa nini mkuu khangi Lugola wa 1991
Naongezea na Salim Ahmed Salim.Mirisho Sarakikya alokuwa mkuu wa majeshi akiwa na miaka 28. Samwel Sita alikuwa wazirinakiwa na miaka 31. George Kahama alikuwa waziri akiwa na miaka 27. Kwa hiyo si ajabu. Uteule hauangalii miaka.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji119]Unashangaa nini mkuu khangi Lugola wa 1991
Ndiyo maana ana akili za kitoto huyu waziriKama ana busara na hekima kwenye utendaji wake, mengine haina shida.
Mkuu unataka picha ya kigwangala [emoji3] [emoji3]Weka picha mkuu
itakua alikua anatembeza ndonga tu huko alikokuaSalimu Ahmed Salim alipata ubalozi akiwa na miaka 22.