Ni kweli Nelson Mandela alifia gerezani 1985?

Ni kweli Nelson Mandela alifia gerezani 1985?

Hongera mhenga
=============================
Ooh mwanangu dunia ina mambo,
sikia maneno,
nakwambiaka,
mupe roho yako Mola wako,
heshima kwa wazazi eee mwanangu.

Dunia hii mama lukumba lukumba,
dunia hii ina mambo mwendo wa ngamia,
dunia hii mama lukumba lukumba,
dunia hii ina mambo mwendo wa ngamia.

Chunga mwenjiyo atakudanganya,
kwa yote ile atapenda yeye,
kipenda roho kila mutu na yake,
yake ni yake na yako ni yako.

Dunia hii mama lukumba lukumba,
dunia hii ina mambo mwendo wa ngamia,
dunia hii mama lukumba lukumba,
dunia hii ina mambo mwendo wa ngamia.

Mwendo wa kobe maele maele,
mwendo wa chui kuwinda winda,
mwendo wa nyoka lukumba lukumba,
mwendo wa ngarama ah njia ya faradhi.

Dunia hii mama lukumba lukumba,
dunia hii ina mambo mwendo wa ngamia,
dunia hii mama lukumba lukumba,
dunia hii ina mambo mwendo wa ngamia.

Tabu na raha inakungojea,
inategemea akili yako,
tafutaaaa eh utapata eh,
kumbuka maneno nakwambiaka.

Dunia hii mama lukumba lukumba,
dunia hii ina mambo mwendo wa ngamia,
dunia hii mama lukumba lukumba,
dunia hii ina mambo mwendo wa ngamia.

By Lady Issa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wadau, katika pitapita zangu nimekutana na mwandishi mmoja anayedai kuwa mtu anayefahamika kwa jina la Nelson Mandela, si huyu tunaye mfahamu sisi, Nelson original alifia jela mwaka 1985. Kwa mujibu wa maelezo yake nikwamba huyu tunaye mfahamu alitafutwa mtu anayeendana naye kidogo na alilazimishwa kutoa talaka kwa Winnie Mandela maana wangekaa pamoja kwa muda mwanamama huyu angejua kuwa hakuwa Mandela Original.

Inasemekana mwanamuziki Johnny Clegg alishawahi pia kuimba kitu hiki katika wimbo wake wa "Asimbonanga" yaani hatujamwona yeye. Kwenye wimbo huo kuna maneno Asimbonang' uMandela thina akimaanisha hatujamwona Mandela Laph'ekhona - mahali alipo Laph'ehleli - mahali alipo zikwa. Wimbo huu ulitoka mwaka 1987.

Nani aliyetolewa gerezani 1990?

Inasemekana ni mtu ajulikanaye kwa jina la Gibson Makanda ambaye alipelekwa katika gereza la Pollsmor mwezi May mwaka 1985 na akiwa huko alifanyiwa plastic surgery iliyofanywa na timu ya madaktari wachache toka London Uingereza, mara baada ya zoezi hilo kufanikiwa alipatiwa mazoezi ya kuongea na kutembea kama Nelson Mandela mpaka alipo fuzu ndipo mpango wa kumtoa ukatekelezwa ndomaana hata baada yakutoka alilegeza sana masharti kwa watu weupe.

Nilipitia pia vyanzo mbalimbali mtandaoni nikakutana na zaidi ya waandishi 50 tofauti wakizungumzia juu ya Gibson Makanda kuigiza kama Nelson Mandela.

Je, nikweli Nelson Mandela alifariki mwaka 1985?

Watanzania kwa akili ndogo mnaamini hakuna kitu kama hicho mkuu yaani hata watu wa kwao wadanganyike? Winnie ubavu wake asimjue mandela?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
=============================
Ooh mwanangu dunia ina mambo,
sikia maneno,
nakwambiaka,
mupe roho yako Mola wako,
heshima kwa wazazi eee mwanangu.

Dunia hii mama lukumba lukumba,
dunia hii ina mambo mwendo wa ngamia,
dunia hii mama lukumba lukumba,
dunia hii ina mambo mwendo wa ngamia.

Chunga mwenjiyo atakudanganya,
kwa yote ile atapenda yeye,
kipenda roho kila mutu na yake,
yake ni yake na yako ni yako.

Dunia hii mama lukumba lukumba,
dunia hii ina mambo mwendo wa ngamia,
dunia hii mama lukumba lukumba,
dunia hii ina mambo mwendo wa ngamia.

Mwendo wa kobe maele maele,
mwendo wa chui kuwinda winda,
mwendo wa nyoka lukumba lukumba,
mwendo wa ngarama ah njia ya faradhi.

Dunia hii mama lukumba lukumba,
dunia hii ina mambo mwendo wa ngamia,
dunia hii mama lukumba lukumba,
dunia hii ina mambo mwendo wa ngamia.

Tabu na raha inakungojea,
inategemea akili yako,
tafutaaaa eh utapata eh,
kumbuka maneno nakwambiaka.

Dunia hii mama lukumba lukumba,
dunia hii ina mambo mwendo wa ngamia,
dunia hii mama lukumba lukumba,
dunia hii ina mambo mwendo wa ngamia.

By Lady Issa
Imbaga kabisa papa ya munenr
 
Hata Yesu wa kweli akija hamtamjua ndo kwanzaaa mtamkimbia.
Pulasitoki sajare
 
Neno, Neno, Neno
Inahitajika mtu alieshikiwa akili kuamini upuuzi kama huu. Nelson Mandela alifungwa jela na wenzake wengi tu (wakiwemo Walter Sisulu; Ahmed Kathrada, Raymond Mhlaba, Andrew Mlangeni, Dennis Goldberg, Wilton Mkwayi na wengine wengi). Ina maana wote hao hakuwa na uwezo wa kumtambua huyo Mandela fake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inahitajika mtu alieshikiwa akili kuamini upuuzi kama huu. Nelson Mandela alifungwa jela na wenzake wengi tu (wakiwemo Walter Sisulu; Ahmed Kathrada, Raymond Mhlaba, Andrew Mlangeni, Dennis Goldberg, Wilton Mkwayi na wengine wengi). Ina maana wote hao hakuwa na uwezo wa kumtambua huyo Mandela fake?
Huu Uzi nimeishia kuusoma hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii swala la laweza kuwa na mahusiano kwanini hakuhudhuria kwe msiba wa mpigania uhuru mwenzake tena wenye mikakati iliyoendana...
hapa kuna vitu vingi tumefichwa technology inatuumiza na kutubana uhuru wa fikra.
Kama aliamua kuiga kila kitu alishindwa kuiga uswahiba wake na Nyerere?

Nimesahau nilisema nimeishia pale kusoma huu uzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ni kwamba kati ya wanaharakati wa Uhuru waliokuwa ni watata na wenye msimamo wasiokuwa na uwoga pia watemi kupigania haki katika Africa Mandela alikuwa miongoni mwao iweje Leo atoke jela awe kama moyo safi wa kaasisi ina maana Jela alikwenda kuwa mtakatifu? Hili swali nilijiuliza mda mrefu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nachohisi alipewa masharti kadhaa ili aachiwe sio zaidi ya Hapo

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana kama wazungu waliweza kutengemeza sinema ya iddi amini na watu wanaamini yule ndio iddy amini wa kweli wakati ni mkenya tena jaluo pia kama wazungu wameweza kutengenza sinema ya yesu feki na watu wanaamini yule ndio yesu hawashindwi kumbadilisha mandela og na kutuletea feki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wadau, katika pitapita zangu nimekutana na mwandishi mmoja anayedai kuwa mtu anayefahamika kwa jina la Nelson Mandela, si huyu tunaye mfahamu sisi, Nelson original alifia jela mwaka 1985. Kwa mujibu wa maelezo yake nikwamba huyu tunaye mfahamu alitafutwa mtu anayeendana naye kidogo na alilazimishwa kutoa talaka kwa Winnie Mandela maana wangekaa pamoja kwa muda mwanamama huyu angejua kuwa hakuwa Mandela Original.

Inasemekana mwanamuziki Johnny Clegg alishawahi pia kuimba kitu hiki katika wimbo wake wa "Asimbonanga" yaani hatujamwona yeye. Kwenye wimbo huo kuna maneno Asimbonang' uMandela thina akimaanisha hatujamwona Mandela Laph'ekhona - mahali alipo Laph'ehleli - mahali alipo zikwa. Wimbo huu ulitoka mwaka 1987.
Huyu jamaa alikuzwa sana kuliko viongozi wengi wa Afrika ila ukifuatilia hakuna la maana alilowafanyia Wa South Africa zaidi eti ya viongozi wa serikali kuwa weusi huku makaburu wakiendelea kufaidi mema ya nchi.
 
Sijuti,
Aliwezaje kukariri historia isiyomuhusu

Huenda ni kweli nilishtushwa na hatua yake ya kukataa kuja kumzika Mwalimu.
Ila si alisema ameshindwa kuja kutokana na afya yake na alisema kutokana na emotions ambazo angezipata akimwona jamaa yake amelala zingeathiri zaidi afya yake?
 
Back
Top Bottom