Ni kweli Nelson Mandela alifia gerezani 1985?

Ni kweli Nelson Mandela alifia gerezani 1985?

Kama sehemu za Siri aliezifahamu alikuwa Winnie tu hao wengine mwisho wao nje tu. Kama ndivyo basi ilikuwa sawa kumtaliki Winnie mapema sana
Nadhani kuna tatizo la ubora wa vyakula au side effect za chemicals kwenye bongo za Watanzania. Baba yako wewe unamtambua kwa sehemu zake za siri? Dada zako, shangazi zako, rafiki zako nao hawawezi kukutambua hadi wazijue sehemu zako za siri?
Hii "hoja" yako ni ya kijinga kuliko mfano.
 
Nadhani kuna tatizo la ubora wa vyakula au side effect za chemicals kwenye bongo za Watanzania. Baba yako wewe unamtambua kwa sehemu zake za siri? Dada zako, shangazi zako, rafiki zako nao hawawezi kukutambua hadi wazijue sehemu zako za siri?
Hii "hoja" yako ni ya kijinga kuliko mfano.
😆😆😆😆
 
Tutumie picha ya Nelson Mandela original na huyu aliepandikizwa tufananishe, labda tutakuelewa mtoa mada
 
Habari zenu wadau, katika pitapita zangu nimekutana na mwandishi mmoja anayedai kuwa mtu anayefahamika kwa jina la Nelson Mandela, si huyu tunaye mfahamu sisi, Nelson original alifia jela mwaka 1985. Kwa mujibu wa maelezo yake nikwamba huyu tunaye mfahamu alitafutwa mtu anayeendana naye kidogo na alilazimishwa kutoa talaka kwa Winnie Mandela maana wangekaa pamoja kwa muda mwanamama huyu angejua kuwa hakuwa Mandela Original.

Inasemekana mwanamuziki Johnny Clegg alishawahi pia kuimba kitu hiki katika wimbo wake wa "Asimbonanga" yaani hatujamwona yeye. Kwenye wimbo huo kuna maneno Asimbonang' uMandela thina akimaanisha hatujamwona Mandela Laph'ekhona - mahali alipo Laph'ehleli - mahali alipo zikwa. Wimbo huu ulitoka mwaka 1987.

Nani aliyetolewa gerezani 1990?

Inasemekana ni mtu ajulikanaye kwa jina la Gibson Makanda ambaye alipelekwa katika gereza la Pollsmor mwezi May mwaka 1985 na akiwa huko alifanyiwa plastic surgery iliyofanywa na timu ya madaktari wachache toka London Uingereza, mara baada ya zoezi hilo kufanikiwa alipatiwa mazoezi ya kuongea na kutembea kama Nelson Mandela mpaka alipo fuzu ndipo mpango wa kumtoa ukatekelezwa ndomaana hata baada yakutoka alilegeza sana masharti kwa watu weupe.

Nilipitia pia vyanzo mbalimbali mtandaoni nikakutana na zaidi ya waandishi 50 tofauti wakizungumzia juu ya Gibson Makanda kuigiza kama Nelson Mandela.

Je, nikweli Nelson Mandela alifariki mwaka 1985?

kweli kuna stori zilizo fichwa lakini hii imekuwa too much , bado fact hizo hazinishawishi kama mandela aliye achiwa alikuwa ni mandela mwenyewe.
 
Nadhani kuna tatizo la ubora wa vyakula au side effect za chemicals kwenye bongo za Watanzania. Baba yako wewe unamtambua kwa sehemu zake za siri? Dada zako, shangazi zako, rafiki zako nao hawawezi kukutambua hadi wazijue sehemu zako za siri?
Hii "hoja" yako ni ya kijinga kuliko mfano.
Pumbaf hilo pele makalioni ulilopata ukubwani nani analijua kama si mkeo. Ubishi wa kijinga sana
 
Ni kweli Mandela yule aliyefungwa sio Yule aliyetoka jela na kuwa rais, miaka 27 jela sio midogo ni lazima umebadilike completely hasa ikizingatiwa alifungwa toka akiwa kijana. Hivyo lazima awe na tofauti kipindi kuingia na kutoka jel,watu wanabadilika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa sana.Maisha ya Jela ni ngumu kubaki na uhalisia.
 
Ata mafufol halisi alifia kwenye ndege kipindi kile walipopata ajali.Aya mambo yatawapasua vichwa
 
Habari zenu wadau, katika pitapita zangu nimekutana na mwandishi mmoja anayedai kuwa mtu anayefahamika kwa jina la Nelson Mandela, si huyu tunaye mfahamu sisi, Nelson original alifia jela mwaka 1985. Kwa mujibu wa maelezo yake nikwamba huyu tunaye mfahamu alitafutwa mtu anayeendana naye kidogo na alilazimishwa kutoa talaka kwa Winnie Mandela maana wangekaa pamoja kwa muda mwanamama huyu angejua kuwa hakuwa Mandela Original.

Inasemekana mwanamuziki Johnny Clegg alishawahi pia kuimba kitu hiki katika wimbo wake wa "Asimbonanga" yaani hatujamwona yeye. Kwenye wimbo huo kuna maneno Asimbonang' uMandela thina akimaanisha hatujamwona Mandela Laph'ekhona - mahali alipo Laph'ehleli - mahali alipo zikwa. Wimbo huu ulitoka mwaka 1987.

Nani aliyetolewa gerezani 1990?

Inasemekana ni mtu ajulikanaye kwa jina la Gibson Makanda ambaye alipelekwa katika gereza la Pollsmor mwezi May mwaka 1985 na akiwa huko alifanyiwa plastic surgery iliyofanywa na timu ya madaktari wachache toka London Uingereza, mara baada ya zoezi hilo kufanikiwa alipatiwa mazoezi ya kuongea na kutembea kama Nelson Mandela mpaka alipo fuzu ndipo mpango wa kumtoa ukatekelezwa ndomaana hata baada yakutoka alilegeza sana masharti kwa watu weupe.

Nilipitia pia vyanzo mbalimbali mtandaoni nikakutana na zaidi ya waandishi 50 tofauti wakizungumzia juu ya Gibson Makanda kuigiza kama Nelson Mandela.

Je, nikweli Nelson Mandela alifariki mwaka 1985?

Ex-Special Forces Recce and POW, Wynand du Toit, reflects on Operation Argon



Source : Tales Less Told Podcast

More : From a book :

Judas goat : Betrayal for the sake of survival, by Lt Colonel (rtd) Wynand du Toit

More info :
the fascinating story of the wheeler-dealer Frenchman Jean-Yves Ollivier :
Plot for Peace : The untold story of apartheid's fall in South Africa and the mysterious French businessman who helped secure Nelson Mandela's release from jail. Source : A Wheeler-Dealer Turned Broker for Racial Justice (Published 2014)
 
Nimeshangaa sana aisee[emoji23][emoji23][emoji23]
Nadhani kuna tatizo la ubora wa vyakula au side effect za chemicals kwenye bongo za Watanzania. Baba yako wewe unamtambua kwa sehemu zake za siri? Dada zako, shangazi zako, rafiki zako nao hawawezi kukutambua hadi wazijue sehemu zako za siri?
Hii "hoja" yako ni ya kijinga kuliko mfano.
 
Kathrada, Raymond Mhlaba, Andrew Mlangeni, Dennis Goldberg, Wilton Mkwayi na wengine wengi). Ina maana wote hao hakuwa na uwezo wa kumtambua huyo Mandela fake
kama walitenganishwa kwenye magereza mbalimbali kwa muda wa karibu miaka 30 unategemea nini hapo?After all Mandela alifungwa mwenyewe kwenye gereza,visiwa vya Robins!
 
Cuba ina watu zaidi ya Million 11 kwa maisha hayo-hayo wameyakubali.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Cuba,North Korea life wanayoishi wanaijua wao wenyewe.Maisha ya Tanzania kipindi cha Nyerere yana nafuu kwa 100%.Tanzania mnalalamika kwamba mnapambana na mabeberu kwenye vita vya kiuchumi?Sasa hawa watu wa Cuba,North Korea ndio wanaona nguvu halisi ya hawa mnaowaita mabeberu!
 
Back
Top Bottom