kwaza za jioni.... naomba nisaidiwe nijue kama nimeshika mimba au laaaa...nimesex 31 juzi wthout kinga nina wasiwasi huenda nikawa na mimba mara ya mwisho kwenda period ilikuwa octor 16 mzunguko wangu ni wa siku 33 na sina permanent date ya p yang ninawasiwasi huenda nilipokea mimba naomba jf doctors end other member wanisaidie niondokane na wasiwasi huu kuhesabu date nashindwa kutokana na kutokuwa na tarehe kamili naomba kujibiwa nw plzzzz nisaidiwe kwa hilo .......
Peku tamu kweli jamani hacha tuuuu! ila kwa uzoefu na mafunzo niliyopata humu ndani kutoka kwa Kinguruwe mwana JF! kwa wewe wa above 28 days let say umesema unaendaga 33 anza kuesabu kuanzia 33 day kurudi nyuma siku 14 itaangukia siku ya mimba i.e October 16, 17, 18, 19, 20, 21, 22, 23, 24, 25, 26, 27, 28, 29, 30, 31, Nov 1, 2,
3, 4, 5, 6, 7, 8, 9, 10, 11, 12, 13, 14, 15, 16, 17, ..................hapo period yako inayofuata ni tar 17 Nov therefore ukifanaya KAVU siku ya tarehe 3, 4, mpaka 5 ndo mimba lakini umefanya tarehe 30 Oct obviously no! unaesabu kurudi nyuma kuanzia mwisho circle.