Marcy JF-Expert Member Joined Aug 12, 2013 Posts 2,430 Reaction score 5,910 Oct 11, 2024 #1 Wanasema nyoka hawezi kuwang'ata hao watu wenye mahitaji maalumu na ikitokea amewang'ata basi kuna namna kuna ukweli wowote hapa Ipi sababu inayopelekea wasing'atwe na nyoka hasa kwa mtoto maana muda mwingine unaweza kuta anacheza nae na asimng'ate
Wanasema nyoka hawezi kuwang'ata hao watu wenye mahitaji maalumu na ikitokea amewang'ata basi kuna namna kuna ukweli wowote hapa Ipi sababu inayopelekea wasing'atwe na nyoka hasa kwa mtoto maana muda mwingine unaweza kuta anacheza nae na asimng'ate
stephot JF-Expert Member Joined Mar 1, 2012 Posts 17,216 Reaction score 26,225 Oct 11, 2024 #2 Inawezekana Nyoka anajua kuwa huyu ni mtoto hawezi kumdhuru...
covid 19 JF-Expert Member Joined May 9, 2014 Posts 6,967 Reaction score 17,452 Oct 11, 2024 #3 Marcy said: Wanasema nyoka hawezi kuwang'ata hao watu wenye mahitaji maalumu na ikitokea amewang'ata basi kuna namna kuna ukweli wowote hapa Ipi sababu inayopelekea wasing'atwe na nyoka hasa kwa mtoto maana muda mwingine unaweza kuta anacheza nae na asimng'ate Click to expand... We thubutu.. Nyoka wasio na sumu sawa ila hawa kina black mamba usisubutu
Marcy said: Wanasema nyoka hawezi kuwang'ata hao watu wenye mahitaji maalumu na ikitokea amewang'ata basi kuna namna kuna ukweli wowote hapa Ipi sababu inayopelekea wasing'atwe na nyoka hasa kwa mtoto maana muda mwingine unaweza kuta anacheza nae na asimng'ate Click to expand... We thubutu.. Nyoka wasio na sumu sawa ila hawa kina black mamba usisubutu