Nimeitizama:Nimeweka link hapo chini mkuu! Icheki then tusikie maoni yako!
Ok, najua unafahamu mengi kuhusu wanamuziki WA kikongo, video ipo hapo juu, comment no. 36, ipitie hafu uje utuambie kila ulichoona Na uzoefu wako kwa mambo haya! Coz kwenye vyombo vya habari vya Kongo habari ndo hiyo video, Na wanamuziki wakubwa WA Kongo wanasema jamaa kauwawa! Wewe Ni mfatiliaji WA muziki WA kongo, nataka kusikia toka kwako baada ya kuicheki hiyo video.
kwenye mada hizi unafiti sana,...Mkuu Wanamuziki wa DR Congo hata tu ukifa kwa KIPINDUPINDU kwa uchafu wako mwenyewe watasema UMEULIWA. Franco tu ambaye kila Mtu anajua kuwa alifariki kwa kuugua SIDA ( UKIMWI ) Wakongo wanakuambia aliwekewa SUMU na Hayati Mobutu aliyekuwa Rais wa Zaire enzi hizo wakisema walitofautiana Kisiasa. Kama hiyo KIFO cha Tabu Ley ambaye hakuna asiyejua kuwa aliuguwa mno saratani lakini alipokufa tu Wakongo wanakuambia KAUWAWA na yote tisa kumi mwaka jana mwanamuziki wa Bendi namba mbili au ya Kikosi cha pili cha Wenge BCBC kiitwacho PPU aitwae Tatty Nkusa ambaye ndiyo alikuwa ameshapandishwa Kikosi cha kwanza alipata AJALI ya kugongwa na gari alipokuwa anaendesha pikipiki yake akitokea katika kumbi za starehe lakini hao hao Wakongo wanakuambia KAUWAWA.
Labda nikusaidie tu kukuambia kuwa hakuna Watu wajanja na wanaoenda na FURSA kama Wanamuziki wa Congo na kwa taarifa yako tu hao hao unaowasikia wanasema PAPA WEMBA kauliwa watatumia Msiba huu KUJINEEMESHA kimaslahi huku wengine wakiandaa sasa MATAMASHA ya Kumbukumbu ya KIFO cha PAPA WEMBA sehemu mbalimbali ili wapige HELA na huko watakapokuwa wanaenda watakuwa wanawaseti Watu wazidishe UVUMI kuwa jamaa kauwawa na propaganda zao zingine nyingi nyingi ili mradi tu wajaze nyomi ukumbini au uwanjani.
PAPA WEMBA wiki moja kabla alikuwa na tatizo la heart attack na physician wake alimwambia apumzike wiki mbili ndipo arudi kuendelea na mziki na ile siku aliyofariki ndiyo kwanza alikuwa kamaliza siku ya tano ( 5 ) tokea atoke kupewa huo ushauri na daktari wake je ulitegemea nini hapo Mkuu? Na ukumbuke kuwa hawa Wanamuziki wakubwa na matajiri wa Kongo hawatibiwi na Madaktari " hohe hahe " bali Madaktari wao huwa ni wale WATAALAM na BINGWA kabisa wanaojua wanafanya nini. Uzembe wake wa kutozingatia masharti ya afya ndiyo yamemfanya apoteze maisha kwa heart failure na pengine hiki KIFO cha PAPA WEMBA kiwe fundisho kwetu kuzingatia yale yote tunayoambiwa na Madaktari.
Wakuu nimetizama video moja kwenye account ya Mwanamuziki WA Kikongo, ikionyesha Papa wemba yupo mbele ya steji akiongea na mashabiki akitumia Mic ya nadhani ya Wireless aloshika mkononi, baadaye anakuja mtu na kuiondoa Stand na mic alokua anatumia Papa Wemba, anaondoka nayo back steji, anaonekana anakuja tena huku ameshika Stand Na mic nyingine Na kuiweka nyuma ya Papa Wemba, baada ya Show kuendelea baadaye anaonekana Papa Wemba anaanguka chini, show inasimama Na Wanamziki wenzake wanamzunguka kujaribu kutoa msaada, then anaoneka mtu yule yule aliyeleta Mic mwanzo anakuja Na kuibeba Ile Stand Na mic yake alokuja nayo mwanzo, nakuondoka nayo Back steji, I hope baadhi Wakuu mmeitazama video hiyo! Kuna ukweli kinachoonekana? Kama Kuna mdau anayo anaweza itupia hapa Ili watu waitazame!
Sina tatizo na maelezo yako, but Nilidhani utazungumza ulichokiona kwenye video mkuu!Mkuu Wanamuziki wa DR Congo hata tu ukifa kwa KIPINDUPINDU kwa uchafu wako mwenyewe watasema UMEULIWA. Franco tu ambaye kila Mtu anajua kuwa alifariki kwa kuugua SIDA ( UKIMWI ) Wakongo wanakuambia aliwekewa SUMU na Hayati Mobutu aliyekuwa Rais wa Zaire enzi hizo wakisema walitofautiana Kisiasa. Kama hiyo KIFO cha Tabu Ley ambaye hakuna asiyejua kuwa aliuguwa mno saratani lakini alipokufa tu Wakongo wanakuambia KAUWAWA na yote tisa kumi mwaka jana mwanamuziki wa Bendi namba mbili au ya Kikosi cha pili cha Wenge BCBC kiitwacho PPU aitwae Tatty Nkusa ambaye ndiyo alikuwa ameshapandishwa Kikosi cha kwanza alipata AJALI ya kugongwa na gari alipokuwa anaendesha pikipiki yake akitokea katika kumbi za starehe lakini hao hao Wakongo wanakuambia KAUWAWA.
Labda nikusaidie tu kukuambia kuwa hakuna Watu wajanja na wanaoenda na FURSA kama Wanamuziki wa Congo na kwa taarifa yako tu hao hao unaowasikia wanasema PAPA WEMBA kauliwa watatumia Msiba huu KUJINEEMESHA kimaslahi huku wengine wakiandaa sasa MATAMASHA ya Kumbukumbu ya KIFO cha PAPA WEMBA sehemu mbalimbali ili wapige HELA na huko watakapokuwa wanaenda watakuwa wanawaseti Watu wazidishe UVUMI kuwa jamaa kauwawa na propaganda zao zingine nyingi nyingi ili mradi tu wajaze nyomi ukumbini au uwanjani.
PAPA WEMBA wiki moja kabla alikuwa na tatizo la heart attack na physician wake alimwambia apumzike wiki mbili ndipo arudi kuendelea na mziki na ile siku aliyofariki ndiyo kwanza alikuwa kamaliza siku ya tano ( 5 ) tokea atoke kupewa huo ushauri na daktari wake je ulitegemea nini hapo Mkuu? Na ukumbuke kuwa hawa Wanamuziki wakubwa na matajiri wa Kongo hawatibiwi na Madaktari " hohe hahe " bali Madaktari wao huwa ni wale WATAALAM na BINGWA kabisa wanaojua wanafanya nini. Uzembe wake wa kutozingatia masharti ya afya ndiyo yamemfanya apoteze maisha kwa heart failure na pengine hiki KIFO cha PAPA WEMBA kiwe fundisho kwetu kuzingatia yale yote tunayoambiwa na Madaktari.
Well said mkuu!Hiyo sumu inaitwa'' Polonium 210 is a chemical element'' with symbol PO and atomic number 84,
A rare and highly radioactive element with no stable isotopes.
Polonium is chemically simiral to bismuth and tellerium and it occurs in uranium ores.
Application of polonium are sparse and include heaters in space probes.
Antistatic devices or as source of neutrons and alpha particles.
NOTE;
Polonium is highly dangerous toxic substance.
Refer the death of Alexander Litvinenko.
Polonium 210 is a problem to human being only when it gets into the body,
The radioactive substance can enter into the body by eating or drinking contaminated things ,by breathing contaminated air or inhaling or ingesting body
fluids from someone contaminated with it.
kwa kesi ya Papa Wemba itabidi kusubiri uchunguzi wa kitaalamu na Madaktari bingwa ndio watasema ukweli na hii inategemea familia yake .
Mnunulisho wa hii sumu ya polonium 210 inaonekana kama hatua ya mwisho wa mgonjwa wa kansa,
inaathiri Maini,Figo,na mfumo wa hewa na maumivu makali ya kichwa.
Ata baada ya kifo cha Yasser Arafat kulikuwepo na uvumi wa aina hiyo lakini mamlaka za Palestina mpaka leo zinakanusha kwamba ni kifo cha kawaida tu.
Mkuu Franco Luambo au mwingine? Sikiliza "kimpa kisangameni"Kusema ukweli sijapata nafasi ya kuitizama ila kidogo Mkuu wangu nina uzoefu na hawa Wanamuziki hasa wa miziki hii ya dansi ya Kikongo na hata hapa kibongo bongo kwa hizi bendi zetu pia. Sitaki uamini 100% yale maelezo yangu kwani yawezekana ikawa ni Sumu kama usemavyo ila nimekuelezea tu kwa uzoefu wangu na ni ngumu mno kuwekewa SUMU katika Mic anayoenda kutumia isipokuwa ungeniambia kuwa alifanyiwa UCHAWI ningekuamini kwa asilimia zote kwani hakuna Mwanamuziki unayemjua Wewe wa DR Congo ambaye HAROGI. Kuna siku nitakuja na UZI hapa nikuambie UCHAWI wa wote hao hasa hasa Koffi Olomide, JB Mpiana, Werrason, Roga Roga wa Bendi ya Extra Musica, Zaiko Langa Langa, Hayati Pepe Kalle, Hayati Madilu System na hawa vijana wa sasa wawili Fally Ipupa na mwenzake Fere Gola. Mkuu nikikuambia wanayoyafanya unaweza hata ukaogopa kulala au ukazichukua dvd zao hapo ulipo sasa na ukazichoma moto! Wanamuziki ambao najua walikuwa HAWAROGI ni Hayati Franco na Hayati Tabu Ley pekee.
Sina tatizo na maelezo yako, but Nilidhani utazungumza ulichokiona kwenye video mkuu!
Hiyo sumu inaitwa'' Polonium 210 is a chemical element'' with symbol PO and atomic number 84,
A rare and highly radioactive element with no stable isotopes.
Polonium is chemically simiral to bismuth and tellerium and it occurs in uranium ores.
Application of polonium are sparse and include heaters in space probes.
Antistatic devices or as source of neutrons and alpha particles.
NOTE;
Polonium is highly dangerous toxic substance.
Refer the death of Alexander Litvinenko.
Polonium 210 is a problem to human being only when it gets into the body,
The radioactive substance can enter into the body by eating or drinking contaminated things ,by breathing contaminated air or inhaling or ingesting body
fluids from someone contaminated with it.
kwa kesi ya Papa Wemba itabidi kusubiri uchunguzi wa kitaalamu na Madaktari bingwa ndio watasema ukweli na hii inategemea familia yake .
Mnunulisho wa hii sumu ya polonium 210 inaonekana kama hatua ya mwisho wa mgonjwa wa kansa,
inaathiri Maini,Figo,na mfumo wa hewa na maumivu makali ya kichwa.
Ata baada ya kifo cha Yasser Arafat kulikuwepo na uvumi wa aina hiyo lakini mamlaka za Palestina mpaka leo zinakanusha kwamba ni kifo cha kawaida tu.
umeeleza haswa wacongo walivyo. pia umechambua vizuri imani zao kimuzikiKwanini Mkuu?
Mkuu Franco Luambo au mwingine? Sikiliza "kimpa kisangameni"
umeeleza haswa wacongo walivyo. pia umechambua vizuri imani zao kimuziki
Kwani Papa Wemba amefariki lini?
bodaboda yako haina redio?Kwani Papa Wemba amefariki lini?
Mkuu hatupo ktk "bundesliga" wala la "liga"... ni kuelekezana. Au unataka nikubaliane na ulichokiandika 100%?Acha " bundesliga " Mkuu. Franco hakuwa mshirikina au mlozi na kuimba nyimbo zinazoongelea USHIRIKINA haimaanishi kuwa yeye ni MSHIRIKINA. Mtafute Mkongwe yoyote wa DR Congo akupe habari kamili. Mbona wapenda USHIRIKINA au ULOZI DR Congo wanajulikana na hata baadhi yao nimewataja hapo juu?
Mkuu naomba unirushie hiyo video tafadhali nakuja pmVideo nimedownload but nachemka kuiweka hapa!
Pole sana Mkuu kwa kuwa na mashaka ya Kifo cha Jules Shungu Kikumba Pene Wembandio alias PAPA WEMBA na pole pia kwa wale wote walioguswa na huu msiba wa JABALI la Afrika ambalo lilibaki la Kizazi cha kwanza baada ya Franco, Tabu Ley, Kabasele Yampanya PEPE KALLE, Madilu System.
Ukweli wa sababu ya Kifo chake ni MSHTUKO wa MOYO kwani imegundulika kuwa wiki moja kabla ya kwenda Abidjan alikuwa anaumwa sana BP na alipewa tiba ambayo ilimlazimu apumzike kwa angalau wiki mbili ndipo arejee kuendelea na muziki lakini mara baada ya PAPA WEMBA kuona kapata nafuu na huku tena Watu wa Kundi la Muziki maarufu ya nchini Ivory Coast la MAGIC SYSTEM ambao ndiyo walikuwa waandaji wakuu wa lile TAMASHA kumpelekea mwaliko aliona asikose kwenda kwani alitaka kuitumia hiyo siku pia kutambulisha album yake.
Kwa mnaoingia sana katika kumbi za muziki nadhani mnatambua aina ya sauti kubwa ambayo inaambata na mitambo mikubwa kabisa na spika za kufa mtu ambazo zinapiga kiasi kwamba kama una matatizo ya kushtuka kwa moyo au kisukari huwezi kukaa pale hivyo hata Marehemu PAPA WEMBA wakati amepanda pale stejini huku akiwa ana siku tano tu tokea atoke kwa Daktari wake kwa matatizo ya moyo ilikuwa ni dhahiri kuwa ile sound set up ya pale ingemuathiri.
Kujibu swali lako kwamba labda aliwekewa SUMU baada ya kuona yule Mtu anakuja kuitoa ile Mic pale na baadae kurudi na nyingine si kweli kwamba ni SUMU bali kila Mwanamuziki Kiongozi wa Bendi huwa na Mic yake MAALUM ambayo husetiwa KIUTAALAM sana na Band Sound System Engineer na hufanyiwa test mara kwa mara ili Bwana mkubwa akipanda nayo tu pale mbele isimumsumbue na huwa haiwi moja bali huwa mbili.
Na pia tambua kuwa kila Mwanamuziki Kiongozi wa Bendi hasa za Kikongo huwapa jukumu MAALUM watu wanaowaamini sana na mno la kukaa au kutunza hizi mic ili kuepuka hujuma kwani kwa msiojua hakuna Watu ambao huwa Wanarogana katika muziki kama Wakongo na ikumbukwe kuna wakati Werrason alimchezea mchezo JB Mpiana katika TAMASHA ambapo katika huo Uwanja kulinyesha mvua kubwa sana lakini cha kushangaza pembezoni na huo uwanja JUA KALI lilikuwa linawaka ( mfano wake ni kwamba pale ukumbi wa Diamond Jubilee sasa pawe wazi halafu inyeshe mvua kubwa lakini maeneo ya jirani kama Makao Makuu ya SKAUTI, Makao Makuu ya Jeshi, Shule ya Msingi ya Muhimbili na yale maeneo mengine kote kuwe na jua kali na linawaka kisawasawa ) hivyo kupelekea JB Mpiana kutofanya onyesho lake na alipokuja kugundua kuwa alifanyiwa ule mchezo na Werrason na yeye JB Mpiana akalipiza ambapo siku moja Werrason na bendi yake ya Maison Mere walikuwa na onyesho lao na cha kushangaza kila Werrason akishika Mic sauti haitoki lakini akiondoa tu ile Mic sauti inarudi na hata alipobadilishiwa Mic zingine tatizo lilikuwa ni lile lile hali ambayo ilipelekea sasa vipande vyote vya uimbaji vya Werrason aviimbe mwanamuziki wake aitwae Herritier lakini cha moto alikiona.
Mshika Mic mkuu wa Koffi Olomide ni yule Mkewe wa sasa aitwae Cindy ambaye ni Mwanamuziki wake pia japo hapo kabla mshika Mic wake alikuwa ni yule muimbaji aitwae Gibson a.k.a Kardinale huku mshika Mic mkuu wa Werrason ni yule mpiga drums wake maarufu aitwae PAPII KAKOL huku JB Mpiana mshika Mic wake mkuu akiwa ni Rapa wake kipenzi aitwae Gentamycine au Antibiotique Lisimo. Hao washika Mic wao wote ndiyo Watu ambao WANAAMINIKA nao kuliko Mtu yoyote katika bendi zao zote hizo na ndiyo wenye sauti kuu pia ya KIMAAMUZI ndani ya hizo bendi za hao MANGULI wa muziki tajwa hapo hivyo kuwekewa SUMU ni jambo gumu mno Mkuu na hawa jamaa Wakongo wanajilinda na vingi na hasa hasa ni NDUMBA.